1000 sq meters... It seems hata hujui physical dimensions za vitu..
1000 sq meters ni ndogo mno, meter 31.6 meters urefu kwa 31.6 meters upana or 25 meters kwa 40 meters etc etc
Sasa hilo ni eneo kubwa?
Small mind.Ndo maana nasema nyie mashabiki wa NATO hamna akili kwa sababu hamuelewi.narudia kusema kwanza Marekani hataki vita vya nuclear kwake pia urusi ananuclear nyingi.anaweza kuangamia Marekani mara 10.
Russia akitumia nuclear hakuna wa kumgusa hata Marekani mwenyewe hatasogea kwa sababu anasilaha za nuclear kuliko NATO combined.alafu vipi kuhusu counteroffensive Mbona mmefeli.
Putin alisema ikishambuliwa Urusi atajibu kwa nuclear mara ngapi ishambuliwe tena ukitoa ile iliyogonga pale anapolala bosi wenu Putin kule Ikulu KremlinNdo maana nasema nyie mashabiki wa NATO hamna akili kwa sababu hamuelewi.narudia kusema kwanza Marekani hataki vita vya nuclear kwake pia urusi ananuclear nyingi.anaweza kuangamia Marekani mara 10.
Takwimu za jeshi la nchi huwa ni Siri kubwa ambayo Huwa haivujishwi kwa mtu yeyote,hivi nyie wenzetu huwa mnazitoa wapi hizi takwimu?Russia akitumia nuclear hakuna wa kumgusa hata Marekani mwenyewe hatasogea kwa sababu anasilaha za nuclear kuliko NATO combined.alafu vipi kuhusu counteroffensive Mbona mmefeli.
Issue siyo ukubwa wa eneo,issue ni kwamba mkubwa super power aeishapenyezewa vidrone mpaka kwenye mji mkuu wake,wanachokifanya Ukrein hapa ni kupeleka meseji kwamba Moscow siyo salama tena.1000 sq meters... It seems hata hujui physical dimensions za vitu..
1000 sq meters ni ndogo mno, meter 31.6 meters urefu kwa 31.6 meters upana or 25 meters kwa 40 meters etc etc
Sasa hilo ni eneo kubwa?