Kwani wasimamizi wa pambano hawazingatii vigezo? Hili jitu si lingemuua mandonga na kingumi chake cha ndukube?Mdomo umemponza Karim Mandonga, Leo kakutana na dozi kubwa iliyompuliza na kwenda chini katika raundi ya tatu na hivyo kumfanya kuishuhudia bendera ya TKO ikipita mbele yake.
Mganda hakuwa na utani hata kidogo alichojua yeye ni kupeleka moto kwa bondia wetu.
Ifike hatua Mandonga ajitafakari juu ya career yake ya Ndondi asipokuwa Makini Historia itaandikwa kwenye vitabu maana mpinzani wake muonekano wake tu ulitisha kabla hata ya pambano.
View attachment 2702509
Mandonga alishaongea na refa.. Nikiangushwa tuu maliza pambanoHii game Mandonga angeshinda kabisa, maana jamaa mwenyewe anarusha makota tu. Halafu Mandonga angeweza kuendelea, nadhani refa alikua na sababu nzuri zaidi.
Mimi nilidhani wame edit😃😃
tafuteni pesa mandonga apigwe asipigwe yeye anayoyoma tu kipesa na umaarufu...Mdomo umemponza Karim Mandonga, Leo kakutana na dozi kubwa iliyompuliza na kwenda chini katika raundi ya tatu na hivyo kumfanya kuishuhudia bendera ya TKO ikipita mbele yake.
Mganda hakuwa na utani hata kidogo alichojua yeye ni kupeleka moto kwa bondia wetu.
Ifike hatua Mandonga ajitafakari juu ya career yake ya Ndondi asipokuwa Makini Historia itaandikwa kwenye vitabu maana mpinzani wake muonekano wake tu ulitisha kabla hata ya pambano.
Daaah!!View attachment 2702770
Hii ngumi iliishia face-off, ulingoni ilikuwa kukamilisha ratiba tu
BiasharaMpaka waliue lijinga hilo linapenda misifa sana ila uwezo hakuna.
Sidhani kama anafanya ndondi kwa maana ya ndondi.Jamaa hana muda wa kupumzika, hii ya kufululiza mapambano itakuja kumpa tabu kwenye afya. Ndani ya wiki mbili bondia anapigana mapambano mawili!?
Jamaa ndio anatembelea style ya MandongaJamaa linamuita Mandonga kinyume cha maumbile, eti linamuita Mama mdogo.
Halafu anaongea kama vile amemeza mabetri. Mandonga mwenyewe kabaki anajiuliza "jamaa katokea wapi huyu? Mbona hawakuniambia kuwa anachonga hivo?"
View attachment 2702669
Muasisi kapinduliwaJamaa ndio anatembelea style ya Mandonga