Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
Sijakuelewa mkuu, Kuna post fulani humu ndugu wa huyo Linjenje wanasema wanaomba kujua mwili wa ndugu yao ulitupwa wapi ili wauzike kwa heshima, Sasa kama ni hawa kubadilishwa majina, vipi watu watake mwili?Ukifuatilia toka mwanzo Adamo alisema wanapobadilishwa vituo hulazimishwa na kupewa majina tofauti na majina yao halisi so unaweza kukuta huyo Moses lijenje ni katika mlolongo huo
Hata vitabu vya dini vinasema - no stone will be left unturned!Wahenga walisema damu ya mtu haiwezi kumwagika bure, na Mimi nasubiria hiyo siku kila polisi atakapolipia damu aliyoimwaga.
Kwani mahita alikua anafanya yapi alipokua IGP hadi atake mwanae awe tofauti naye?Mzee mahita kwa nini anaruhusu mtoto wake kutumika kufanya dirt jobs utafikiri kawa kapuku, au mtoto wa nje nini huyu jamaa? Kazi ya mauaji si laana tupu aisee.
Tunalindwa na vibaka walio ndani ya sale za umaNa laki3 za Lingwenya
Fikiria mtuu alifikia hatua hiii kuitumikia nchi, halafu wanatokea vibaka kama kingai wana wadhalilisha na kuwatesa kwa kiwango kileView attachment 1955159
Kati ya hao wanne wawili wako kwenye hii picha
NdiooWale makomandoo?
Ndugu zako wakikutafuta wakukoseMi ninachojiuliza why wawabadili majina lengo lao nini?
Mpaka hapo polisi watakuwa na cha kujibu hii hoja kwa wananchi,Moses Lijenje walikuwa nae je yuko wapi ?......Nakumbuka kuna Askari mmoja sasaivi ni marehemu alikuwa ni muislamu mtu wa ibada swala 5 katika kusitaafu kwake na kabla ya kustaafu alikuwa hapendi japo mtoto wake kuingia polisi ndio naanza kuelewa sasahii kesi itavurumua mengi.... ndugu wa Moses Lijenje wakisikia haya litakuwa jambo lingine jipya.
Ujumbe murua sana huu kwa policcm.
watuambie alipo ben sa8 na moses lijenje safari hii polisi wamejiteka wenyewe kumuita mbowe gaidi imekula kwao maishaWakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa
Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika
Huyu Moses Lijenje ni nani?
Je yupo wapi?
Je yupo hai?
Je anahusika vipi na hawa makomando?
Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?
Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
Unazungumzia hili suala kanakwamba Wewe ni mwema na unaipenda nchi yetu, Wewe intarahamwe!! Kama Wewe siyo muoga, sukumagang wa kawaida, ni Nani hasa?!Naona unaombea yale aliyotaka kuyafanya Mbowe. Wewe huna tofauti na Mbowe, maana unataka kuleta total anarchy and chaos. Tatizo lako wewe ni muoga. Unataka watu wengine ndiyo wakufanyie huo ugaidi. Kitu kama hicho hakitatokea TZ. Na Mbowe atailamba miaka, huenda akaozea jela. Nasikia jela huko kuna mabauncer, mwambie awe na chupi ya chuma.
Kuna watakao fungwa! Kama hujui, kuna lisabaya linaishi Kisongo baada ya kutumia vibaya u-DC, kwa jina la hiyo hiyo Jamuhuri!Alafu mkijua mengi? Umewahi sikia Jamhuri imefungwa jela?[emoji1787][emoji1787]
Nchi yote ni ya kufumuliwa na kusukwa upya, katiba mpya!Jeshi la Polisi livunjwe lisukwe upya huo ndio mtazamo wangu.
Huyo anaelalamikiwa ana kinga kwa taarifaKuna watakao fungwa! Kama hujui, kuna lisabaya linaishi Kisongo baada ya kutumia vibaya u-DC, kwa jina la hiyo hiyo Jamuhuri!
Maana yake alitupwa ila cha kujiuliza wapi maana kutokana na ushahidi wa Adamo Kuna watuhumiwa wanapewa majina yasiyo ya kwaoSijakuelewa mkuu, Kuna post fulani humu ndugu wa huyo Linjenje wanasema wanaomba kujua mwili wa ndugu yao ulitupwa wapi ili wauzike kwa heshima, Sasa kama ni hawa kubadilishwa majina, vipi watu watake mwili?
soma pia hapa:Brings back Moses Lijenje campaign
Hutaki siri ziwe wazi, acha mambo yaonekane kama kuna uchafu uonekanehapa serikali nadhani ingeangalia namna sasa, sababu hao jamaa ni makomandoo hii kesi ipelekwe mahakama ya jeshi kwa sababu hii kesi naona inaanza kuwa mtambuka sasa
Inaletaje mchafuko wewe tulia kaa pembeni... acha mahakama ifanye kazi yakeHii kesi badala ya kuleta amani uraiani kwa kuwafungia gaidi mbowe na wenzake inakoelekea italeta machafuko nchini, kwa sababu hii kesi inaeleweka ni ya kisiasa, sasa haya mambo ya jeshi la polisi kuanza kuonekana linaua watu litawaletea shida hawa askari huku vituoni kwao mitaani.
huyu mama wa kizanzibar nimeishasema afute hii kesi, haya mambo ya askari kuua watu yalikuwa awamu ya tano huko, sasa hawa kina kingai wanataka kuanza kuyaambatanisha na awamu ya sita.