Moses Lijenje aliyetajwa kutupwa na Polisi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni nani?

Moses Lijenje aliyetajwa kutupwa na Polisi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni nani?

Ukifuatilia toka mwanzo Adamo alisema wanapobadilishwa vituo hulazimishwa na kupewa majina tofauti na majina yao halisi so unaweza kukuta huyo Moses lijenje ni katika mlolongo huo
Sijakuelewa mkuu, Kuna post fulani humu ndugu wa huyo Linjenje wanasema wanaomba kujua mwili wa ndugu yao ulitupwa wapi ili wauzike kwa heshima, Sasa kama ni hawa kubadilishwa majina, vipi watu watake mwili?
soma pia hapa:Brings back Moses Lijenje campaign
 
hii kesi itavurumua mengi.... ndugu wa Moses Lijenje wakisikia haya litakuwa jambo lingine jipya.
Mpaka hapo polisi watakuwa na cha kujibu hii hoja kwa wananchi,Moses Lijenje walikuwa nae je yuko wapi ?......Nakumbuka kuna Askari mmoja sasaivi ni marehemu alikuwa ni muislamu mtu wa ibada swala 5 katika kusitaafu kwake na kabla ya kustaafu alikuwa hapendi japo mtoto wake kuingia polisi ndio naanza kuelewa sasa
 
Wakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.

Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?

Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa

Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika


Huyu Moses Lijenje ni nani?

Je yupo wapi?

Je yupo hai?

Je anahusika vipi na hawa makomando?

Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?

Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?

Hili limeniacha na maswali mengi sana ya kutafakari.
watuambie alipo ben sa8 na moses lijenje safari hii polisi wamejiteka wenyewe kumuita mbowe gaidi imekula kwao maisha
 
Naona unaombea yale aliyotaka kuyafanya Mbowe. Wewe huna tofauti na Mbowe, maana unataka kuleta total anarchy and chaos. Tatizo lako wewe ni muoga. Unataka watu wengine ndiyo wakufanyie huo ugaidi. Kitu kama hicho hakitatokea TZ. Na Mbowe atailamba miaka, huenda akaozea jela. Nasikia jela huko kuna mabauncer, mwambie awe na chupi ya chuma.
Unazungumzia hili suala kanakwamba Wewe ni mwema na unaipenda nchi yetu, Wewe intarahamwe!! Kama Wewe siyo muoga, sukumagang wa kawaida, ni Nani hasa?!
 
Alafu mkijua mengi? Umewahi sikia Jamhuri imefungwa jela?[emoji1787][emoji1787]
Kuna watakao fungwa! Kama hujui, kuna lisabaya linaishi Kisongo baada ya kutumia vibaya u-DC, kwa jina la hiyo hiyo Jamuhuri!
 
Sijakuelewa mkuu, Kuna post fulani humu ndugu wa huyo Linjenje wanasema wanaomba kujua mwili wa ndugu yao ulitupwa wapi ili wauzike kwa heshima, Sasa kama ni hawa kubadilishwa majina, vipi watu watake mwili?
soma pia hapa:Brings back Moses Lijenje campaign
Maana yake alitupwa ila cha kujiuliza wapi maana kutokana na ushahidi wa Adamo Kuna watuhumiwa wanapewa majina yasiyo ya kwao
 
hapa serikali nadhani ingeangalia namna sasa, sababu hao jamaa ni makomandoo hii kesi ipelekwe mahakama ya jeshi kwa sababu hii kesi naona inaanza kuwa mtambuka sasa
Hutaki siri ziwe wazi, acha mambo yaonekane kama kuna uchafu uonekane
 
Hii kesi badala ya kuleta amani uraiani kwa kuwafungia gaidi mbowe na wenzake inakoelekea italeta machafuko nchini, kwa sababu hii kesi inaeleweka ni ya kisiasa, sasa haya mambo ya jeshi la polisi kuanza kuonekana linaua watu litawaletea shida hawa askari huku vituoni kwao mitaani.

huyu mama wa kizanzibar nimeishasema afute hii kesi, haya mambo ya askari kuua watu yalikuwa awamu ya tano huko, sasa hawa kina kingai wanataka kuanza kuyaambatanisha na awamu ya sita.
Inaletaje mchafuko wewe tulia kaa pembeni... acha mahakama ifanye kazi yake
 
Back
Top Bottom