mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana JF
Kama ulikuwa hujui watu waliokuwa wanaaminika kwa misimamo dhabiti ni watu wa kigoma, hawa jamaa huko nyuma walikuwa vyuma sana kupinga uthalimu wowote ule uliokuwa unafanywa na serikali, walikuwa wakali wa hoja, waliaminika sana Kupita maelezo, ugonjwa wa usaliti ulioanzishwa na Dr. Kaburuu, akaja Kafulila, akaja Zitto na sasa Mosesi Machali itoshe tu kusema wameendekeza njaa zaidi na kuwatelekeza wapendwa wao katika duru la kisasa. Kwa sasa mkoa wa kigoma hauaminiki tena kutoa vijana machachari wenye weledi bali unadhalisha zaidi wapenda masilahi.
Kitendo cha Mosesi Machali kukumbatia fikira za mlevi mmoja aliyelevya kwa machozi na kuamka na matingasi na kusimama na kutamka kuwa chato Marehemu alisema ana ndoto iwe mkoa ni jambo lisilo la kistaarabu kwa kuwa wilaya hiyo haina hadhi mpaka ikope ardhi kwa mikoa mingine. Pia ni kuongeza mzigo serikali katika kutandaza tawala mbalimbali kukidhi mahitaji.
Juzi katika kikao cha kujadili Chato iwe mkoa amesikika akisema anaunga hoja iwe mkoa wakati wanajua akiwa tena jirani madhara yote yatokanayo na kadhia hii. Lalini anaongozwa na njaa baada ya kupingwa chini kwenye ubunge na inabidi Aunge juhudi, njaa hii ndio inmates mpaka sasa.
Kama ulikuwa hujui watu waliokuwa wanaaminika kwa misimamo dhabiti ni watu wa kigoma, hawa jamaa huko nyuma walikuwa vyuma sana kupinga uthalimu wowote ule uliokuwa unafanywa na serikali, walikuwa wakali wa hoja, waliaminika sana Kupita maelezo, ugonjwa wa usaliti ulioanzishwa na Dr. Kaburuu, akaja Kafulila, akaja Zitto na sasa Mosesi Machali itoshe tu kusema wameendekeza njaa zaidi na kuwatelekeza wapendwa wao katika duru la kisasa. Kwa sasa mkoa wa kigoma hauaminiki tena kutoa vijana machachari wenye weledi bali unadhalisha zaidi wapenda masilahi.
Kitendo cha Mosesi Machali kukumbatia fikira za mlevi mmoja aliyelevya kwa machozi na kuamka na matingasi na kusimama na kutamka kuwa chato Marehemu alisema ana ndoto iwe mkoa ni jambo lisilo la kistaarabu kwa kuwa wilaya hiyo haina hadhi mpaka ikope ardhi kwa mikoa mingine. Pia ni kuongeza mzigo serikali katika kutandaza tawala mbalimbali kukidhi mahitaji.
Juzi katika kikao cha kujadili Chato iwe mkoa amesikika akisema anaunga hoja iwe mkoa wakati wanajua akiwa tena jirani madhara yote yatokanayo na kadhia hii. Lalini anaongozwa na njaa baada ya kupingwa chini kwenye ubunge na inabidi Aunge juhudi, njaa hii ndio inmates mpaka sasa.