Tano ni nyingi aiseee...!!! Tano zinakupa kiwewe mpaka siku utakayorudisha..!!Huko ndani ya Simba yamo mengi tu ambayo hayajawekwa hadharani, kunafukuta kabisa.
Zile [emoji2772] bado zinawauma mno
Ha ha haAfadhali robatinyo amefukuzwa kocha mpya ataanza kumchezesha phiri, alisikika kolo kolo mmoja