DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Hali si shwari katika viunga vya Msimbazi kwenye unyama mwingi baada ya kujitokeza kwa hali ya sintofahamu juu ya mahusiano hafifu yaliyopo kati ya mchezaji Moses Phiri na Uongozi na pamoja na Kocha.
Mashabiki wanadai Phiri hawezi kuwekwa benchi na Kibu Mkandaji au Bocco captain fantastic. Hali hii imepelekea kuanza kwa vuguvugu la chinichini katika mitandao ya kijamii nchini, huku asilimia kubwa ya mashabiki wakitaka kocha na uongozi utolee maelezo suala hilo. Kama vipi basi wamuache wasiue kipaji cha mchezaji ambaye alisaidia sana timu msimu ulioisha.
Wengine wakienda mbali zaidi wakitaka kocha aondoke.
#bringbackourgeneral
Mashabiki wanadai Phiri hawezi kuwekwa benchi na Kibu Mkandaji au Bocco captain fantastic. Hali hii imepelekea kuanza kwa vuguvugu la chinichini katika mitandao ya kijamii nchini, huku asilimia kubwa ya mashabiki wakitaka kocha na uongozi utolee maelezo suala hilo. Kama vipi basi wamuache wasiue kipaji cha mchezaji ambaye alisaidia sana timu msimu ulioisha.
Wengine wakienda mbali zaidi wakitaka kocha aondoke.
#bringbackourgeneral