Ndiyo upo unyama zaidi ya huo ila kwakua wote mnajidai vijukuu vya mitume humu mnajidai kwamba ni unyama sana hamjawahi kuuskia unyama zaid ya huoKuna unyama mkubwa zaidi ya kumchinja MAMA YAKO MZAZI na kumfukia kwenye nyumba hiyo hiyo mnayoishi ili Umiliki Mali alizozitafuta yeye mwenyewe!!!!?
Bro acha masikhara bhana,
Hebu taja unyama mwingine mkubwa zaidi ya huo tafadhali.
Upo sahihi kabisa.Bado ipo kwenye khiyari ya mzazi.....na khiyari hiyo ya mzazi itasukumwa na utashi na mwenendo wako kijana...
Mkuu,usitumie nguvu nyingi kushawishi jamii yenye fikra mgando..... kuishi Moshi haimaanishi ni mchaga na hata kama angekuwa mchaga haimaanishi ethnicities wengine hayo matukio hayapo na hata yakiwepo kwingine haimaanishi jamii nzima inafanya hivyo; rather, ni tabia binafsi ambayo huwezi kui-populate kwa jamii nzima. Right?
Ila hii ni PISI bhana. Naamini huyu demu alirubuniwa na mwanaume wake.Credit kwani
Picha ya kwanza muuaji, picha ya pili muuliwaView attachment 2075265View attachment 2075266
Binti kutoka kabila tofauti na mchaga, mmeru, mpare hawezi kufanya ukatili huoNani kasema huyo ni mchaga?
Mtoto hawezi kurithi Mali za wazazi wakiwa bado wapo haiMzee ,kuna wazazi mitihani si kitoto, unakuta mzee wako mali kibao na pesa nyingi. ila anataka utafute kazi ,kisa kakusomesha.Wazazi toeni urithi watoto wasimame kiuchumi.
Watoto watafute zao!!ukiwapa. Zako hawataweza kuendeleza hizo Mali!!!Wee sema hivyo tuu....sasa mali umahangaika kuzipa ila kwa sababu ya uchoyo watoto wako wenyewe wanakuondoa. Wazazi acheni ubinafsi gaweni mali hizo
Utakuta huyo binti alikuwa ana pewa pesa ana zifuja Tu akaona hapewi tena akaamua kumuua mzaz wakeWewe una tatizo Kama wenzio na una mawazo hayo hayo huwezi kutetea unyama huo, mzazi akupe ulimsaidia kuzitafuta tafuta zako, kazi yenyewe nesi apige shift za asubuhi, mchana na usiku akulishe, kukuvisha na kukusomesha umekua mkubwa badala ya kufikiria utamsaidiaje mzazi baada ya yeye kustaafu wewe unawaza akugawie mafao, Bora ungebaki tumboni kwa kweli
Nani amekwambia hilo unless umelea watoto kindeziWatoto watafute zao!!ukiwapa. Zako hawataweza kuendeleza hizo Mali!!!
Kuna mdau kasema siyo mchaga kikawaida hakuna binti kutoka kabila tofauti na wachaga, wameru, wapare anaye weza kufanya ukatili kama huo hakunana nimagaidi kweli ,we mtt anamchinja mzazi wake kwa panga Tena n8 bint si ugaidi huo.marufuku mwanangu kuoa mchaga !! ma alshabab hao!!
Ile chuki ndogo mnayowajengea watoto huwa ina mrudia kila mtu.
Kwa tafasri isiyo ya moja kwa moja.
sasa ukimuandikia urithi si ndio umempa uhakika kabisa.Vijana wanaona wazee hawafi mapema[emoji16][emoji16].
Muandike urithi mapema kuepuka haya mtoto awe na uhakika na Mali za wazazi wake