Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

Wastaafu wengi wanapangiwa kuuwawa na watoto wao,sema tu ni chance inakosa matukio yangekuwa mengi zaidi
Malezi tu, mzazi wangu alipostaafu nilimshikisha kama 500K anywe bia hata miezi mitatu bila kugusa pension yake (maana tayari nilikuwa ajira kwa elimu waliyonilipia wazazi)...na ningekuwa na uwezo kipindi kile ningempa zaidi..sijawahi hata kuwaza kuhusu hela zake sana sana nikiwa freshi namtumia kidogo alipie hata maji na king'amuzi...hela wanazopata wakistaafu kwa kijana anaeza akaona nyingi ila kiukweli ni ndogo. Hapo hapo afanye biashara ambazo mara nyingi zinabuma hapo hapo ale hapo hapo ahonge na kuvimba kidogo kitaa hapo hapo alipe wasaidizi wa kazi nyumbani hapo hapo afanye house maintenance etc
 
Mkuu tatizo ni roho tu Tatizo ulilo litaja lipo kwenye kila jamiii lakin mbona jamii tofauti na wao matukio siyo mengi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa polisi wetu ukute wamemuingizia sana chupa za mirinda na bia huyo binti huwa najiuliza Kwan hakunaga mbinu zingine za kugundua ushahidi wa haya matukio ukiacha hii ya kutesa
Hapo hamna hata haja ya kumtesa...maiti kafukia chini kwenye mchanga hata hajajengea.. yani mwela wakija na German Shepherd au Belgian Malinois mmoja ni dakika sifuri wanamsanukia
 
Ukiamua kua mhalifu angalau uwe na akili.

Hii njia ya kujibu 'Ameenda mkoa X' 'Ameenda nchi X' ni majibu ya zamani ambako hakukua na simu, mitandao wala miundombinu ya kueleweka.

Crime 1 on 1 utakamatwa kwa kukutwa na silaha ya tukio au mwili. How do you get rid of both? Hapo ndiyo itakutofautisha kati ya average criminal na not-average-criminal.
 
Hawezi kukuua anajua Mali zake zipo tu muda wowote.
Au Kama vipi muandalie mazingira mazuri ya maisha Kama kafeli shule mpe hata msingi wa biashara.
Ile kauli ya nenda katafute Mali zako sio nzuri.
Muite mwanao kaa nae kirafiki mwambie mwnang una mipango gani atakueleza mwisho wa siku mtafikia muafaka
sasa ukimuandikia urithi si ndio umempa uhakika kabisa.
 
Dogo acha ujinga,halafu futa hii comment sababu utakuja kujitundika kweli
 
Taarifa inaeleza mhusika ni mwanae. Sasa huko kwenye uwajibikaji wake inaingiaje?
 
Na kilimanjaro kwa akili yako wazawa ni wachaga tu, jiongeze acha upumbavu!! Makabila wazawa wapo zaidi matatu,,
Nimekuambia wa kuja Moshi labda ni mtumishi tu.
Mana ule mji sio rafiki kwa mgeni. Ni sawa na mkikuyu aende kwa wakalenjini atatengwaje kisa ni kyasaka.
Ivi unamjua mchagga kwa ubaguzi.yaani ukiishi kule mdanganye kuwa na wewe ni mchaga sema babu yako alipotea miaka na miaka ndo utapata favour za kutosha na wataku treat Kama wa kwao
 
Unawajua watoto wa dot com, insta, Facebook unawasikia?? Hujazaa wala kukuza mkuu, ulevi ni changamoto!

Wanabweteka unawaona kabisa, wakijua ukifa watakuwepo wakitafuna jasho lako ovyo.

Kuna mahali tulikosea tulipoondoa viboko na adhabu, tukaingiza uzungu.
Wenzetu wazungu. Wanafundisha social responsibility, Ku tidy up toys, organizations kama wazazi wetu vijijini wanavyofanya, sisi mijini kila kitu dada WA kazi, mtoto katupa nguo viatu matoy dada awajibike, mtoto anapikiwa, anapakuliwa, anakula hatoi wala kuosha hata sahani yake.

Bladifakeni😕 naogopa Sana nionavyo tunavyolea watoto siku hizi, kila siku nawaambia. Mama Yao ni mke wangu wakue watafute vyao, wake zao wakuwatesa. Na wanajua kuwaona mama zao, na mama zao wanawadekeza.
Eti tuwajengee, too hell navyojenga vyangu nikimalizana kusomesha nauza kimojakimoja nakula taratibu Kwa sababu hata ukiwaachia watauza.
 
Binti mwenyewe pisi fulani anaonekana
Kwa tukio alilofanya unaweza kushangaa
Mali hizi zitawatoa roho watu

Ova
Atapata ama akipata mchumba atajilipua kuwa huyu huyu ndo wife material jamani. Rangi inavutia ile emotions zikiwa zinafanya kazi na zime overtake cortex brain hutaelewa mpaka ziishe.
Ukipata Mali tu ndo utamjua ataanza kiburi kurudi asubuhi ili uongee tu akumalize.
Kiukweli nishawahi kukuta wanawake wa kichaga wanapiga story aisee ni wakatili kinouma asikauambie.
Yaani neno nililolisikia ni "kwani huko kwao Kuna makaburi mangapi kwenye ukoo wake,je na likiongezeka la kwako Kuna hatari gani'

Ke wa kichaga weka mbali na wako smart kuwakamata watu wa kuwaoa Mana wako waerevu Sana na ukiongea naye ni suala la hela tu unajiona kuwa nimepata mke jamani hapa.kumbe mkuu unaishi jambazi ndani
 
Hii ni societal evolution. Pre-colonialism jamii za wanyamwezi, wayao walitajwa kama makabila yaliyokua kinara kwenye biashara. Leo wako wapi?
Jamii ya kichaga ilisifika kwa utafutaji mali, lakini kadri zama zinavyokwenda kizazi cha sasa si tena kama cha zamani, na mabadiliko yatakwenda mpaka itakuja tena jamii nyingine itaibuka kuwa kinara. Na itakua hivyohivyo.
 
Wachagga Mali zilishawatawala ! Endeleeni kuuana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…