We umeandika niniMama alikuwa nesi???kcmc!
Matukio mengine tusiangalie upande mmoja.
Kuna vifo vingi sana vinavyosababishwa na dharau na uzembe wa ma Dr. na manesi wetu hapo tuache deal za kuuza viungo vya binadamu.
Huyu mama inawezakana kabisa kashiriki katika mauaji mengi sana huko hospitali kiasi laana imemfuata ...
Tuwe makini sana sie ambao tupo katika sehemu za kusaidia watu wemye matatizo
Makanisani,hospitalini Na kadhalika.
Matendo yetu uwaga yanahukumiwa hapa hapa dunia kama sio sisi basi kizaZi lazima kilipe.
Kwa upande mwingine vijana tuache short cut za maisha sasa hata hizo mali atazifanyia nini
USSR.Kwa mchaga kuuwa iliapate pesa ni jambo la kawaida
USSR
Unataka kuolewa na mchaga?Kwa mchaga kuuwa iliapate pesa ni jambo la kawaida
USSR
Hata kama ushoga ni kazi yakoKwa mchaga kuuwa iliapate pesa ni jambo la kawaida
USSR
Baasi usichukie kiasi hichi bana 😂Unajihisi tu, au ndo mkeo wa kanda hiyo basi unajishtukia,, jiandae
Kama hujaoa mchaga utakua umeoa wapi? Mkuria👹? Mjita👹, Muha?Kila siku tunasema ......wachaga sio wa kuoa ........mnakua wabishi
Ona Sasa wameanza kuwahishana wao kwa wao
Anyway huu ni unyama mkubwa
Acha kukurupuka wapi taarifa imesema ni mchaga? au umekariri kila anaeishi Moshi ni mchagaKila siku tunasema ......wachaga sio wa kuoa ........mnakua wabishi
Ona Sasa wameanza kuwahishana wao kwa wao
Anyway huu ni unyama mkubwa
Wanaume wa huko siku hizi wanaoa njee na kwao wanajua mziki wao 😂😂Kama hujaoa mchaga utakua umeoa wapi? Mkuria👹? Mjita👹, Muha?
Ujinga mtupu.Eeh safi hii fundisho kwa wale wazazi wanaoendelea na ule msemo wa "hizi zangu katafute zako"
Ukabila gani wakati ni kawaida mkuu. Sasa huyu kaua mamaye wa kumzaa atashindwa kuua mmewe ambaye Hana undugu naye Kama yule wa dumila kuwa huyo fala mmeshamaliza ama yule mkikuyu aliyemuua mholanzi akamuweka kwa shimo Cha choo jumlisha huyu dogo Arusha aliyeua mamaye akamchimbia kwa septic tank.... acha ukabila wewe!
Na mmasy akaua maza yake huku Arusha na akakiriMOSHI: BINTI AMUUA MAMA YAKE MZAZI ILI ARITHI MALI, MWILI WAGUNDULIWA BAADA YA MWAKA MMOJA
• Meya Juma Raibu ashindwa kujizua amwaga machozi na kulaani vikali, awaasa vijana kuacha tamaa na starehe
•Meya Raibu ampongeza Rpc Kilimanjaro ACP Simon Maigwa na timu Yake Kuendelea Kusikiliza Na Kutatua Jinai Mbali Mbali
Ikiwa zimepita siku kadhaa toka litokee tukio la kijana mmoja jijini Arusha kumuua mama yake mzazi Kwa tamaa ya Mali, Limegundulika tukio lingine la kinyama mkoani Kilimanjaro katika Manispaa ya Moshi ambapo binti mmoja aliejulikana Kwa jina Moja la Wendy amemuua Mama yake mzazi (Mama Ipepu) ambae ni Nesi mstaafu wa Hospital ya KCMC.
Jeshi la Polisi limeufukua Mwili huo leo tarehe 09-01-2022 katika kata ya Rau baada ya kumhoji binti huyo Kwa zaidi ya wiki mbili sasa Kisha kukiri kumchinja mama yake Kwa panga na kumfukia nyumbani hapo.
Ni takribani Mwaka sasa ndugu na majirani walipokuwa wamuulizia mama huyo walipatiwa majibu na binti huyo kuwa amesafiri Kwa matibabu nje ya nchi.
Akizingumza Kwa uchungu huku akilengwalengwa na machozi Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Ndg Juma Raibu ameonesha kusikitishwa na kitendo hicho na amelaani vikali tabia ya vijana kuendekeza tamaa na kukosa uvumilivu wa utafutaji Mali Kisha wanaishia kufanya matendo ya kinyama.
Namnukuu
"Kiukweli hili ni tukio la kutisha, nitoe pole Kwa familia ndugu na majirani wote mliofika hapa, nimepata huzuni sana kuona jinsi gani ya taamaa Mali imetufikisha hapa, nalaani na ninatoa wito Kwa vijana wenzangu wote nchini kuacha kupaparikia Mali na starehe mwisho wake tunageuka kuwa wanyama kiasi hiki, yaani unamuua mama mzazi? hivi unakuwa huoogopi laana na adhabu ya mola? nalipongeza Jeshi letu la Polisi Kwa hatua hii nawatia Moyo mwendelee na kazi hii njema ya kufichua na kudhibiti wahalifu wa namna hii na wanaoshirikiana nao"
mwisho wa kunukuu.
Tayari madaktari wameanza kufanyia uchunguzi wa postmortem Mwili huo kwajili ya hatua zinazofuata.
#MoshiBlog UpdatesView attachment 2075108View attachment 2075109
Na December huwa wanaenda kuringishiana na ndo Mana asiye na pesa huwa harudi kwao iyo holiday Mana watatweza Sana utu wake mpaka jamaa anaamua kukaa na sie vyasakaNmekaa na watu wa mikoa hii asee hela kwao n zaid ya ubinadam
Hawa ni kufanyiwa mazoezi tu. Afu kuoa kaoe kwenu mkuu ambalo hata wajua asilia Yao binti vizuriWengi Huwa Hawaolewi Ndiyo Walivyo
Duu akiwa wa huko ni kichaa wengine ndo Tabia yaoKuna mgonjwa ya akili pia, watu wengi ni vichaa kichwani na mara nyingi ni wa kurithi unakuta Wazazi ni vichaa pia, Babu na Bibi na kuendelea.
... kuishi Moshi haimaanishi ni mchaga na hata kama angekuwa mchaga haimaanishi ethnicities wengine hayo matukio hayapo na hata yakiwepo kwingine haimaanishi jamii nzima inafanya hivyo; rather, ni tabia binafsi ambayo huwezi kui-populate kwa jamii nzima. Right?Ukabila gani wakati ni kawaida mkuu. Sasa huyu kaua mamaye wa kumzaa atashindwa kuua mmewe ambaye Hana undugu naye Kama yule wa dumila kuwa huyo fala mmeshamaliza ama yule mkikuyu aliyemuua mholanzi akamuweka kwa shimo Cha choo jumlisha huyu dogo Arusha aliyeua mamaye akamchimbia kwa septic tank.
Sema unataka uonekane wako watakatifu Sana .
Yaani ndugu yangu akioa Kilimanjaro nitapambana Sana mpaka asioe yaani nitatishia mpaka kujiua
Moshi hakuna wa mkazi wa Kuja na huyo ni mchaga kubaliAcha kukurupuka wapi taarifa imesema ni mchaga? au umekariri kila anaeishi Moshi ni mchaga