Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Huu si uungwanaWapumbavu sana watoto wa kaskazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu si uungwanaWapumbavu sana watoto wa kaskazini
Yakitokea pengine uongee ivyo ivyo.... kuishi Moshi haimaanishi ni mchaga na hata kama angekuwa mchaga haimaanishi ethnicities wengine hayo matukio hayapo na hata yakiwepo kwingine haimaanishi jamii nzima inafanya hivyo; rather, ni tabia binafsi ambayo huwezi kui-populate kwa jamii nzima. Right?
Vipi mkuu! Nyie wachaga mmekumbukwa kwenye balaza hili maana awamu ile mlisema mnabaguliwaMbona umejazibika sana ,ni hili tu au unalako lingine ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya atanikuta rom namba 101 asicheleweEeh safi hii fundisho kwa wale wazazi wanaoendelea na ule msemo wa "hizi zangu katafute zako"
Nani kasema huyo ni mchaga?Wengi Huwa Hawaolewi Ndiyo Walivyo
Una kichaaMama alikuwa nesi???kcmc!
Matukio mengine tusiangalie upande mmoja.
Kuna vifo vingi sana vinavyosababishwa na dharau na uzembe wa ma Dr. na manesi wetu hapo tuache deal za kuuza viungo vya binadamu.
Huyu mama inawezakana kabisa kashiriki katika mauaji mengi sana huko hospitali kiasi laana imemfuata ...
Tuwe makini sana sie ambao tupo katika sehemu za kusaidia watu wemye matatizo
Makanisani,hospitalini Na kadhalika.
Matendo yetu uwaga yanahukumiwa hapa hapa dunia kama sio sisi basi kizaZi lazima kilipe.
Kwa upande mwingine vijana tuache short cut za maisha sasa hata hizo mali atazifanyia nini
Eh siasa tayari 😂😂Vipi mkuu! Nyie wachaga mmekumbukwa kwenye balaza hili maana awamu ile mlisema mnabaguliwa
Mzee ,kuna wazazi mitihani si kitoto, unakuta mzee wako mali kibao na pesa nyingi. ila anataka utafute kazi ,kisa kakusomesha.Wazazi toeni urithi watoto wasimame kiuchumi.Wee sema hivyo tuu....sasa mali umahangaika kuzipa ila kwa sababu ya uchoyo watoto wako wenyewe wanakuondoa. Wazazi acheni ubinafsi gaweni mali hizo
Awe na chura sasa mtafaidiHiyo pisi kali ihukumiwe kifungo cha maisha na iletwe kwenye hili gereza huku niliko nianze kujipimia najua hiyo ni mboga ya maafande tangu sasa
Tafuta hela zakoMzee ,kuna wazazi mitihani si kitoto, unakuta mzee wako mali kibao na pesa nyingi. ila anataka utafute kazi ,kisa kakusomesha.Wazazi toeni urithi watoto wasimame kiuchumi.
Ni uchoyo wa kipuuzi ,kama ushawahi soma kitabu cha "The richest man in Babylon"utaona Arkad, anampatia mwanae hela za kusimama kiuchumi ,wahindi na waarabu wapo hivyo pia.wazazi wakibongo ni wachoyo mno...Tafuta hela zako
PumbafEeh safi hii fundisho kwa wale wazazi wanaoendelea na ule msemo wa "hizi zangu katafute zako"
Wewe una tatizo Kama wenzio na una mawazo hayo hayo huwezi kutetea unyama huo, mzazi akupe ulimsaidia kuzitafuta tafuta zako, kazi yenyewe nesi apige shift za asubuhi, mchana na usiku akulishe, kukuvisha na kukusomesha umekua mkubwa badala ya kufikiria utamsaidiaje mzazi baada ya yeye kustaafu wewe unawaza akugawie mafao, Bora ungebaki tumboni kwa kweliWee sema hivyo tuu....sasa mali umahangaika kuzipa ila kwa sababu ya uchoyo watoto wako wenyewe wanakuondoa. Wazazi acheni ubinafsi gaweni mali hizo
Hata Donald Trump alipewa hela na dingi yake Dola milioni mbili aanze biashara japo ulikuwa mkopo usio na riba wala muda maalum wa kulipa.Ni uchoyo wa kipuuzi ,kama ushawahi soma kitabu cha "The richest man in Babylon"utaona Arkad, anampatia mwanae hela za kusimama kiuchumi ,wahindi na waarabu wapo hivyo pia.wazazi wakibongo ni wachoyo mno...
Tupac explains that the Acronym Thug Life “The Hate U Give Little Infants Fucks Everybody”.