Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja

Hata kumsifia kwa kuua mamake unaweza tu ndugu.
 
Hivi Kuna unyama mkubwa zaidi ya kuua?
 

Si mkienda kuhesabiwa mwezi wa disemba mnaongelea mali... mnasema usiende mjini kuuza sura, katafute ela, ulete ela... hata ukienda magereza wewe ni kijana utatoka tuuu,

sasa matokeo yake ndiyo hayo. msimtafute mchawi.... mchawi ni wenyewe mliowafundisha watoto wenu kutanguliza VITU badala ya UTU.
 
Nilipoanza kubalehe tu kwenye miaka ya 80, dingi akawa ananimbia marufuku kuoa mchagga. Sikumwelewa. Chuoni mademu wazuri wenye akili walikuwa wachagga lakini nikaepuka kishawishi.
na nimagaidi kweli ,we mtt anamchinja mzazi wake kwa panga Tena n8 bint si ugaidi huo.marufuku mwanangu kuoa mchaga !! ma alshabab hao!!
 
Mama mzazi kabisa kwa mikono na macho yako unamnyonga na unashuhudia akitapatapa kukata roho na unamfukia peke yako na unaendelea kuishi eneo Hilo Hilo!! Waume zenu je? Ndugu wa waume zenu? Watoto wa mumeo je,,, πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…