Moshi: Bweni laungua moto, wanafunzi 50 wanasurika

Moshi: Bweni laungua moto, wanafunzi 50 wanasurika

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
Zaidi ya wanafunzi 50 wa Shule ya Sekondari ya Kaloleni Islamic ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika kuungua na moto baada ya bwenì walilokuwa wakiishi kulipuka moto leo saa saba mchana.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limefika katika eneo la tukio na kufanikiwa kuzima moto katika bweni hilo la wasichana lenye vyumba 20.

Chanzo cha moto huo kinaelezwa kuwa ni wanafunzi wa chumba cha tatu ndani ya bweni kilicholipuka moto kuwa na vifaa vinavyolipuka.

Akizungumza na vyombo vya habari katika eneo la tukio Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Jeremiah Mkomagi amesema hakuna majeruhi yaliyojitokeza licha ya vifaa vya wanafunzi yakiwamo madaftari, magodoro.

Kaloleni Islamic Seminary imekuwa na historia ya kuungua ikiwa ni mara ya pili kupatwa na janga la moto.
 
Kuna tukio limetokea jana hapa nawaza nakuwazua sipat majibu ila siwez kutoa taarifa ngoja wakuu wenye wakisema ndio nitatoa ila vijana hatari now
 
"vifaa vya mlipuko" mimi nakumbuka Bwenini tulikuwa hatukosi "local heater". muda wowote tu unasikia puf ,giza,kitu kimejibu ...ngoma inasukwa upya kazi inaendelea.
 
Zaidi ya wanafunzi 50 wa Shule ya Sekondari ya Kaloleni Islamic ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika kuungua na moto baada ya bwenì walilokuwa wakiishi kulipuka moto leo saa saba mchana.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limefika katika eneo la tukio na kufanikiwa kuzima moto katika bweni hilo la wasichana lenye vyumba 20.

Chanzo cha moto huo kinaelezwa kuwa ni wanafunzi wa chumba cha tatu ndani ya bweni kilicholipuka moto kuwa na vifaa vinavyolipuka.

Akizungumza na vyombo vya habari katika eneo la tukio Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Jeremiah Mkomagi amesema hakuna majeruhi yaliyojitokeza licha ya vifaa vya wanafunzi yakiwamo madaftari, magodoro.

Kaloleni Islamic Seminary imekuwa na historia ya kuungua ikiwa ni mara ya pili kupatwa na janga la moto.
Kuna uzembe sana kwenye hizi shule za Islamic
 
Zaidi ya wanafunzi 50 wa Shule ya Sekondari ya Kaloleni Islamic ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika kuungua na moto baada ya bwenì walilokuwa wakiishi kulipuka moto leo saa saba mchana.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limefika katika eneo la tukio na kufanikiwa kuzima moto katika bweni hilo la wasichana lenye vyumba 20.

Chanzo cha moto huo kinaelezwa kuwa ni wanafunzi wa chumba cha tatu ndani ya bweni kilicholipuka moto kuwa na vifaa vinavyolipuka.

Akizungumza na vyombo vya habari katika eneo la tukio Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Jeremiah Mkomagi amesema hakuna majeruhi yaliyojitokeza licha ya vifaa vya wanafunzi yakiwamo madaftari, magodoro.

Kaloleni Islamic Seminary imekuwa na historia ya kuungua ikiwa ni mara ya pili kupatwa na janga la moto.
sio mara ya pili, inaweza fika hata mara ya tano, hii shule inaungua sana, kuna stori za hujuma za mara kwa mara japo hazijawah kudhibitishwa, ila kama chanzo ni wanafunzi kumiliki vifaa vya ki elektroniki, ukizingatia shule ni ya kidini na ni girls tupu basi tiba za ki saikolojia na za kimaadili ziwe zinatolewa, inaonesha ma bint wana wapenz wanaowasiliana nao kinyemela, hakuna sababu ya msingi ya bint kuwa na vifaa hvyo shuleni.
 
Zaidi ya wanafunzi 50 wa Shule ya Sekondari ya Kaloleni Islamic ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika kuungua na moto baada ya bwenì walilokuwa wakiishi kulipuka moto leo saa saba mchana.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limefika katika eneo la tukio na kufanikiwa kuzima moto katika bweni hilo la wasichana lenye vyumba 20.

Chanzo cha moto huo kinaelezwa kuwa ni wanafunzi wa chumba cha tatu ndani ya bweni kilicholipuka moto kuwa na vifaa vinavyolipuka.

Akizungumza na vyombo vya habari katika eneo la tukio Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Jeremiah Mkomagi amesema hakuna majeruhi yaliyojitokeza licha ya vifaa vya wanafunzi yakiwamo madaftari, magodoro.

Kaloleni Islamic Seminary imekuwa na historia ya kuungua ikiwa ni mara ya pili kupatwa na janga la moto.
Picha
 
Back
Top Bottom