Moshi Mjini: Sanamu ya askari pale YMCA ni alama ya Historia gani?

Moshi Mjini: Sanamu ya askari pale YMCA ni alama ya Historia gani?

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Wadau habarin

Kwa mliowahi kuishi Moshi najua huwa mnafahamu pale round about ya YMCA ina sanamu kubwa ya Askari aliye shika silaha, kwa kipindi nilicho ishi moshi pale sikuwahi kueikia historia yenye kuelezea ile sanamu pale

Je, iliwekwa kama urembo au ina maana yake kama ilivyo kwa ile sanamu ya askari pale Posta Dsm


Wadau wa Moshi, wazawa wa Moshi kama kuna anaeweza kuelezea ile sanamu pale tupe elimu
 
😃😃😃

images (5).jpeg
 
Ni kumbu kumbu ya vita vya Kagera. Baada ya majeshi yetu kumaliza kazi na kupokelewa kwa shangwe iliamuliwa zijengwe sanamu za askari wenye silaha na baadhi ya mikoa ilitekeleza ikiwemo hiyo uliyoiona Moshi.
Okay, je mkoa gan mwingine wali fanya hivyo mkuu ?
 
Ni kumbu kumbu ya vita vya Kagera. Baada ya majeshi yetu kumaliza kazi na kupokelewa kwa shangwe iliamuliwa zijengwe sanamu za askari wenye silaha na baadhi ya mikoa ilitekeleza ikiwemo hiyo uliyoiona Moshi.
Ni sanamu iiiyopewa Jina la George Memorial.

Huyo George alikuwa nani?
 
Ni kumbu kumbu ya vita vya Kagera. Baada ya majeshi yetu kumaliza kazi na kupokelewa kwa shangwe iliamuliwa zijengwe sanamu za askari wenye silaha na baadhi ya mikoa ilitekeleza ikiwemo hiyo uliyoiona Moshi.
Mkuu juzi kati nilikuwa maeneo hayo na mgeni kutoka America aliniuliza hi sanamu ni yanini hapa kwakweli nikuwa sijui ila nilimjibu kama ulivyoelezea. Dah kumbe nilipatia jibu sahihi nilijibu kwa hisia tu
 
Back
Top Bottom