Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
MorogoroOkay, je mkoa gan mwingine wali fanya hivyo mkuu ?
Pwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MorogoroOkay, je mkoa gan mwingine wali fanya hivyo mkuu ?
Pwani sehemu ganiMorogoro
Pwani
NdesapesaMarhabaa kipindi hicho YMCA ilikuwa ndo hotel ya kitalii Moshi town na Keys hotels full wazungu
Kumbukumbu ya vita vya Kagera.Wadau habarin
Kwa mliowahi kuishi Moshi najua huwa mnafahamu pale round about ya YMCA ina sanamu kubwa ya Askari aliye shika silaha, kwa kipindi nilicho ishi moshi pale sikuwahi kueikia historia yenye kuelezea ile sanamu pale
Je, iliwekwa kama urembo au ina maana yake kama ilivyo kwa ile sanamu ya askari pale Posta Dsm
Wadau wa Moshi, wazawa wa Moshi kama kuna anaeweza kuelezea ile sanamu pale tupe elimu
Arusha mwanzo iliwekwa kwenye eneo la msikiti waumini wakalalamika ikahamishiwa karibu na eneo LA mmkuu Wa mkoa pale.Arusha pia ipo.
Ni ishara ya mashujaa.
Acha kudanganya watu hiyo roundabout imejengwa mwaka 2007 au 2008 sio ya siku nyingi Sana.Usipende kupotosha watu.Heshma yako mkuu
Na sherehe za harusi unazamia kwa kupenye kwenye nyavu kule nyumaMarhabaa kipindi hicho YMCA ilikuwa ndo hotel ya kitalii Moshi town na Keys hotels full wazungu
Acha ubishi aise kama ujui kaa kamya ilo liko kitambo sana mimi nimezaliwa na nimelikuta ilo sanamu sasaAcha kudanganya watu hiyo roundabout imejengwa mwaka 2007 au 2008 sio ya siku nyingi Sana.Usipende kupotosha watu.
Hahahaha walihisi wana tishiwa 😆😆Arusha mwanzo iliwekwa kwenye eneo la msikiti waumini wakalalamika ikahamishiwa karibu na eneo LA mmkuu Wa mkoa pale.
Lile sio eneo la msikiti bali ni eneo la wazi lililopo karibu na msikiti.Arusha mwanzo iliwekwa kwenye eneo la msikiti waumini wakalalamika ikahamishiwa karibu na eneo LA mmkuu Wa mkoa pale.
Pale kwenye ofisi za Mkuu wa MkoaPwani sehemu gani
Waislamu wanafata maandikoHahahaha walihisi wana tishiwa [emoji38][emoji38]
Kama sijakosea walitoa malalamiko yao kwa jk ndo msikiti wakapewa hilo eneo, baada ya kupewa wakalibadilisha maegesho ya magari wanajipigia jerojero.Lile sio eneo la msikiti bali ni eneo la wazi lililopo karibu na msikiti.
Hahahahaha wamekuwa wajasilia mali hahahaKama sijakosea walitoa malalamiko yao kwa jk ndo msikiti wakapewa hilo eneo, baada ya kupewa wakalibadilisha maegesho ya magari wanajipigia jerojero.
Hawa ndugu zetu Wa kambo ma vision kiduchu hawakuwa wajanja Wa kujenga kwenye maeneo makubwa ili wapate na parking ya magari.Hahahahaha wamekuwa wajasilia mali hahaha
Ile ni sanamu ya heshima ya Meja Jenerali Muhidini Kimario aliyejiuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani na kwenda vitani UgandaWadau habarin
Kwa mliowahi kuishi Moshi najua huwa mnafahamu pale round about ya YMCA ina sanamu kubwa ya Askari aliye shika silaha, kwa kipindi nilicho ishi moshi pale sikuwahi kueikia historia yenye kuelezea ile sanamu pale
Je, iliwekwa kama urembo au ina maana yake kama ilivyo kwa ile sanamu ya askari pale Posta Dsm
Wadau wa Moshi, wazawa wa Moshi kama kuna anaeweza kuelezea ile sanamu pale tupe elimu
ni maajabu kama wao waliona msingi ukiwekwa,ukuta na Lisanamu likiwekwa pale miaka ya 1980,na Kisha wadondoshe. kaputula,he kwa wale wanaozaliwa mpaka wanajifia bila kufika shashiioni,ingekuwaje kwa mfano!Wamama kutoka Uru Kishumundu waliangusha mizigo ya parachichi chini kwa kuona hiyo picha wakidhani ni mtu anawapiga risasi. Mimi sijui inamaamisha nini!