Moshi Mjini: Sanamu ya askari pale YMCA ni alama ya Historia gani?

Moshi Mjini: Sanamu ya askari pale YMCA ni alama ya Historia gani?

Nadhani ni kumbukumbu za askari wa Tanganyika walioshiriki kwenye vita vya pili vya dunia (wakati huo wakipigana upande wa uingereza). Uingereza iliweka utamaduni wa kujenga sanamu za Askari katika miji ya makoloni yao waliopigana kwenye vita vya pili vya dunia.
 
Wadau habarin

Kwa mliowahi kuishi Moshi najua huwa mnafahamu pale round about ya YMCA ina sanamu kubwa ya Askari aliye shika silaha, kwa kipindi nilicho ishi moshi pale sikuwahi kueikia historia yenye kuelezea ile sanamu pale

Je, iliwekwa kama urembo au ina maana yake kama ilivyo kwa ile sanamu ya askari pale Posta Dsm


Wadau wa Moshi, wazawa wa Moshi kama kuna anaeweza kuelezea ile sanamu pale tupe elimu
Kumbukumbu ya vita vya Kagera.
 
Hahahaha walihisi wana tishiwa [emoji38][emoji38]
Waislamu wanafata maandiko

Kut 20:4-6

Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
 
Lile sio eneo la msikiti bali ni eneo la wazi lililopo karibu na msikiti.
Kama sijakosea walitoa malalamiko yao kwa jk ndo msikiti wakapewa hilo eneo, baada ya kupewa wakalibadilisha maegesho ya magari wanajipigia jerojero.
 
Kama sijakosea walitoa malalamiko yao kwa jk ndo msikiti wakapewa hilo eneo, baada ya kupewa wakalibadilisha maegesho ya magari wanajipigia jerojero.
Hahahahaha wamekuwa wajasilia mali hahaha
 
Wadau habarin

Kwa mliowahi kuishi Moshi najua huwa mnafahamu pale round about ya YMCA ina sanamu kubwa ya Askari aliye shika silaha, kwa kipindi nilicho ishi moshi pale sikuwahi kueikia historia yenye kuelezea ile sanamu pale

Je, iliwekwa kama urembo au ina maana yake kama ilivyo kwa ile sanamu ya askari pale Posta Dsm


Wadau wa Moshi, wazawa wa Moshi kama kuna anaeweza kuelezea ile sanamu pale tupe elimu
Ile ni sanamu ya heshima ya Meja Jenerali Muhidini Kimario aliyejiuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani na kwenda vitani Uganda
 
Wamama kutoka Uru Kishumundu waliangusha mizigo ya parachichi chini kwa kuona hiyo picha wakidhani ni mtu anawapiga risasi. Mimi sijui inamaamisha nini!
ni maajabu kama wao waliona msingi ukiwekwa,ukuta na Lisanamu likiwekwa pale miaka ya 1980,na Kisha wadondoshe. kaputula,he kwa wale wanaozaliwa mpaka wanajifia bila kufika shashiioni,ingekuwaje kwa mfano!
 
Back
Top Bottom