Moshi Mjini: Sanamu ya askari pale YMCA ni alama ya Historia gani?

Acha kudanganya watu hiyo roundabout imejengwa mwaka 2007 au 2008 sio ya siku nyingi Sana.Usipende kupotosha watu.
Round about ni ya siku nyingi sana ila hyo unayoiona imefanywa kuboreshwa hyo miaka unayosena
 
Kama sijakosea walitoa malalamiko yao kwa jk ndo msikiti wakapewa hilo eneo, baada ya kupewa wakalibadilisha maegesho ya magari wanajipigia jerojero.
Hawajapewa hilo eneo ni la wazi bali sanamu ilihamishwa kwa heshima ya msikiti. Wanauchukua ushuru wa magari pale ni halmashauri.
 
Hawajapewa hilo eneo ni la wazi bali sanamu ilihamishwa kwa heshima ya msikiti. Wanauchukua ushuru wa magari pale ni halmashauri.
Mkuu ni kweli aisee. Nimepita hapo Leo nimeona limegawanywa na senyenge kati ya open space na masijid,ila usafi Wa kuondoa mabanda ya chingaz Leo hii jpili umetamalaki balaa hapa rchuga.
 
Acha kudanganya watu hiyo roundabout imejengwa mwaka 2007 au 2008 sio ya siku nyingi Sana.Usipende kupotosha watu.
Unazungumzia hiyo garden labda ila hyo sanamu ya soja ya kitambo balaa hapo round about ya YMCA.

Nimesoma moshi nikaishi moshi 1988_1992 hill jisanamu nililikuta hapo.
 
Hili sanamu lakitambo Sana mababa zetu wenyew wamelikuta huwa inaashiria mashujaa waliopigana vita kuitetea Tanganyika
 
 
Ha ha we acha tu aise kipindi tuko manyoka tumezamia bana kumbe sherehe yenyewe wamehesabiana mpaka sahani za ubweche mbona palichimbika pale na walinzi
 
Mimi Home ilikuwa naaga naenda lala alafu napita dirishani nasepa nashukuru Mungu nilikuwa nafanya upuuzi lakini upstairs nilikuwa ok home jirani na Aslam garage hapo
 
Hii picha kitambo Sana hapo tulikuwa tunakata kuni za kucheza 83s huko

Heshma yako mkuu

Marhabaa kipindi hicho YMCA ilikuwa ndo hotel ya kitalii Moshi town na Keys hotels full wazungu

Acha kudanganya watu hiyo roundabout imejengwa mwaka 2007 au 2008 sio ya siku nyingi Sana.Usipende kupotosha watu.

Nimedanganya nini!!? Kukurupuka kuandika sio kuzuri halafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…