Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Ukubwa wake ni upi!? Gharama ya kujenga mita moja ya mraba ni kati ya sh. 500k na milioni moja na nusu.
Fanya nusu ya gharama zote ni jengo.. na nusu ni miundombinu. Bado huwezi sema jengo hilo lina mita za mraba 9500. Ambazo ni karibia viwanja viwili vya mpira wa miguu.
Tufanye wewe hapo jikoni/stoo tumekubali jengo lina sq 9500 ili mlifanyie nn Moshi!? Mumpangishe nani!? Na kwa sh. Ngapi ili kurudisha 28bn!?
Yuko sahihi, nimemuona ITV, ndiyo utaratibu ilivyo amefanya kazi asilimia fulani ukaguzi umefanyika na Certificate ya malipo imesainiwa since November, 2020... Wafanyakazi 100 our of 150 wameshaacha kazi kwa kutolipwa. Sasa hapo ulileta ubabe haisaidii ni kulipa tuu...Anataka kugusa nyeti ya simba huyo!! Eti anaipa serikali wiki??
Adui yako mwombee njaa, mkandarasi kamatia hapohapoAnataka kugusa nyeti ya simba huyo!! Eti anaipa serikali wiki??
Nadhani hilo ni eneo inapojengwa kama vile Ubungo au Msamvu... Baadae itapewa jina tuu, au tuuite MANGI MELI BUS TERMINAL [emoji23] [emoji23]Jina la stand libadilishwe halitamkiki
Nimeona ITV amejitahidi sana probably 70 or 80 %Ina maana amelipwa bil 27 bado billion 1 , napenda nijue stend imefikia wap , Kwa deni hlo naamin stend imefikia 99% ya ujenzi wake
Shule za Kata sasa zinaongoza kufaulisha vizuri sanaNirudie nini ??, we ndo rudia , unakrupuka tuu, stend Gharama ni bil 28 , mkandarasi anadai bil 1....matokeo ya shule za kata tabu sana
Mbona Morogoro soko tuu 17 bilioni??STANDI YA BILIONI 28 MOSHI???? TAKUKURU WAMULIKE HUO MRADI LAZIMA UNA UFISADI MKUBWA SANAAAA! MIMI KAMA MWANA MOSHI SIKUBALIANI NA HILO.
WEKENI HUMU MICHORO NA DESIGN KAMA MLIVYOFANYA KWA DAR ILI TUJADILI VIZURI! DUUUU!
Mwanaume utakuwa wewe ambaye unaitwa slowlyAcha kudandia comment za wanaume , utafinywa jicho
Anagusa vipi wakati anadai haki yake,Anataka kugusa nyeti ya simba huyo!! Eti anaipa serikali wiki??
[emoji23][emoji23] ama kweli jamii forum hoja inajibiwa kwa hojaUngesoma hata hizo za kata usingeuliza jibu au uonekane tu unajua kutype
Unajua mkuu, Kuna watu ujuaji mwingi alafu hamna kitu.Mkuu kama hujui utaratibu wa malipo kwa hizi kazi za ukandarasi ni bora kuuliza kuliko kuja hivi, ulivyokuja!!kazi za ukandarasi , hulipwa kulingana na certificates, unaamaliza kazi fulani, una issue certificate, wanakuja kukagua unalipwa kwa kazi hiyo kwanza, ndipo unaendelea!!sasa ka awamu hii mkandarasi ana issue certificate kibao, halipwi, ana kuja kiongozi wa kisiasa anaanza kubwabwaja, kuwa kazi imekushinda, nitafanyaje kazi bila kulipwa pesa??huyu amethubutu kujitoa muhanga kwani kwa mazingira ya sasa ni ngumu kujitokeza nankusema hayo!!lakini ndio hali inayowakumba wakandarasi wote nchini!!na huyu usije shangaa akavunjiwa mkataba kuwa sio MZALENDO!!!Anatumika na mabeberu na asipewe kazi tena nchini!!!
Nilikuwa nakusumbiri Mkanda!!!Mkandarasi .......yes!
Zile bei za mabibo hostel bado zinaendelea? Maana kwa kamba hamjambo bei mnapanga mtakavyo na malipo mnafuata sheria na zaidiUkubwa wake ni upi!? Gharama ya kujenga mita moja ya mraba ni kati ya sh. 500k na milioni moja na nusu.
Fanya nusu ya gharama zote ni jengo.. na nusu ni miundombinu. Bado huwezi sema jengo hilo lina mita za mraba 9500. Ambazo ni karibia viwanja viwili vya mpira wa miguu.
Tufanye wewe hapo jikoni/stoo tumekubali jengo lina sq 9500 ili mlifanyie nn Moshi!? Mumpangishe nani!? Na kwa sh. Ngapi ili kurudisha 28bn!?
Kuwa na heshima mpumbavu wewe!Unavuta bangi?
Serikali hii hailipi madeni ya wakandarasi ndio maana inaamua kutumia taasisi za za uma kwenye miradi karibu yote kwani haziruhusiwi kulalamika. Mimi naishi serikali ya Magufuli kwa zaidi ya miaka 6 na nimeiahakata tamaa ya kupata haki yanguMkandarasi anayejenga stendi kubwa ya mabasi ya kimataifa ya Ngangamfumini, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro yenye thamani ya bilioni 28, ametoa wiki moja kwa serikali imlipe fedha zake ambazo ni zaidi ya bilioni 1 anazodai kabla hajasimama kuendelea na ujenzi wa stendi hiyo.
Charles Shimilwa, Msimamizi wa ujenzi wa stendi hiyo kutoka kampuni ya CRJE East Africa.
Msimamizi wa ujenzi wa jengo hilo kutoka kampuni ya CRJE East Africa, Charles Shimilwa, amesema kuwa mpaka sasa kampuni hiyo imeshindwa kuendelea na ujenzi kutokana na madeni wanayoidai serikali kwa kipindi kirefu hali iliyosababisha kupoteza ajira zaidi ya 100.
Kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya fedha na utawala ambaye pia ni mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu, amesema endapo mkandarasi huyo atasimamisha ujenzi wa jengo hilo serikali italazimika kumlipa fidia kwa mujibu wa mkataba wa ujenzi huo na kuiomba serikali kulipa fedha hizo ili kukamilisha kwa wakati ujenzi wa stendi hiyo.
Naye Diwani wa kata ya Ngangamfuni inapojengwa stendi hiyo, Stuart Nathanael, amesema endapo mradi wa stendi hiyo utasimama utaathiri shughuli za uchumi katika kata hiyo na manispaa kukosa mapato na kuiomba serikali kuangalia uwezekano wa kulipa fedha hizo kwa haraka.
EATV
Shida yake.. unairudishaje hiyo fedha.. kwa makusanyo ya vizimba!? Ni ufahari tu.. ila economically doesn't make sense.
Unaona Nani kakosa heshima hapoKubwa na heshima mpumbavu wewe!
Wanakuchochea nn!?
Hizi ni public investments kama hazina faida ..ziwekwe kwenye uhujumu uchumi.. uchukue bilioni 28 kwa mji usiogenerate trips.. 50 percentage ya wasafiri wake ni wa kupita.. kwenda au kutoka Arusha..Nilikuwa nakusumbiri Mkanda!!!
Zile bei za mabibo hostel bado zinaendelea? Maana kwa kamba hamjambo bei mnapanga mtakavyo na malipo mnafuata sheria na zaidi
I don't care about you distorted mind.. nikukosee heshima kwa kuhighlight mapungufu ya fikra wakati wa kujenga wazo!?Unaona Nani kakosa heshima hapo
Ajaribu aone. Atafugiwa kufanya kazi hapa mpaka alipe fidiaMkandarasi anayejenga stendi kubwa ya mabasi ya kimataifa ya Ngangamfumini, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro yenye thamani ya bilioni 28, ametoa wiki moja kwa serikali imlipe fedha zake ambazo ni zaidi ya bilioni 1 anazodai kabla hajasimama kuendelea na ujenzi wa stendi hiyo.
Charles Shimilwa, Msimamizi wa ujenzi wa stendi hiyo kutoka kampuni ya CRJE East Africa.
Msimamizi wa ujenzi wa jengo hilo kutoka kampuni ya CRJE East Africa, Charles Shimilwa, amesema kuwa mpaka sasa kampuni hiyo imeshindwa kuendelea na ujenzi kutokana na madeni wanayoidai serikali kwa kipindi kirefu hali iliyosababisha kupoteza ajira zaidi ya 100.
Kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya fedha na utawala ambaye pia ni mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu, amesema endapo mkandarasi huyo atasimamisha ujenzi wa jengo hilo serikali italazimika kumlipa fidia kwa mujibu wa mkataba wa ujenzi huo na kuiomba serikali kulipa fedha hizo ili kukamilisha kwa wakati ujenzi wa stendi hiyo.
Naye Diwani wa kata ya Ngangamfuni inapojengwa stendi hiyo, Stuart Nathanael, amesema endapo mradi wa stendi hiyo utasimama utaathiri shughuli za uchumi katika kata hiyo na manispaa kukosa mapato na kuiomba serikali kuangalia uwezekano wa kulipa fedha hizo kwa haraka.
EATV