Moshi: Mkandarasi atoa wiki 1 kwa Serikali kumlipa fedha zake zaidi ya Bilioni 1


Unavuta bangi?
 
Serikali inapata raha kudai wadaiwa lkn kuidai kwa kasi uchunguzi utafanyika mpaka ajute
 
Anataka kugusa nyeti ya simba huyo!! Eti anaipa serikali wiki??
Yuko sahihi, nimemuona ITV, ndiyo utaratibu ilivyo amefanya kazi asilimia fulani ukaguzi umefanyika na Certificate ya malipo imesainiwa since November, 2020... Wafanyakazi 100 our of 150 wameshaacha kazi kwa kutolipwa. Sasa hapo ulileta ubabe haisaidii ni kulipa tuu...

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nirudie nini ??, we ndo rudia , unakrupuka tuu, stend Gharama ni bil 28 , mkandarasi anadai bil 1....matokeo ya shule za kata tabu sana
Shule za Kata sasa zinaongoza kufaulisha vizuri sana
 
STANDI YA BILIONI 28 MOSHI???? TAKUKURU WAMULIKE HUO MRADI LAZIMA UNA UFISADI MKUBWA SANAAAA! MIMI KAMA MWANA MOSHI SIKUBALIANI NA HILO.

WEKENI HUMU MICHORO NA DESIGN KAMA MLIVYOFANYA KWA DAR ILI TUJADILI VIZURI! DUUUU!
Mbona Morogoro soko tuu 17 bilioni??

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Unajua mkuu, Kuna watu ujuaji mwingi alafu hamna kitu.
Bora umewafafanulia vizuri wasipoelewa usiumize kichwa, unafikiri malipo ya kazi za serikali kama unaenda kwa mangi kununua mchele
 
Mkandarasi .......yes!
Nilikuwa nakusumbiri Mkanda!!!
Zile bei za mabibo hostel bado zinaendelea? Maana kwa kamba hamjambo bei mnapanga mtakavyo na malipo mnafuata sheria na zaidi
 
Serikali hii hailipi madeni ya wakandarasi ndio maana inaamua kutumia taasisi za za uma kwenye miradi karibu yote kwani haziruhusiwi kulalamika. Mimi naishi serikali ya Magufuli kwa zaidi ya miaka 6 na nimeiahakata tamaa ya kupata haki yangu
 
Nilikuwa nakusumbiri Mkanda!!!

Zile bei za mabibo hostel bado zinaendelea? Maana kwa kamba hamjambo bei mnapanga mtakavyo na malipo mnafuata sheria na zaidi
Hizi ni public investments kama hazina faida ..ziwekwe kwenye uhujumu uchumi.. uchukue bilioni 28 kwa mji usiogenerate trips.. 50 percentage ya wasafiri wake ni wa kupita.. kwenda au kutoka Arusha..

Na hapo hapo inajenga mjengo mkubwa ili upangishe wakati kuna majengo mjini kati hayana wapangaji!?
 
Unaona Nani kakosa heshima hapo
I don't care about you distorted mind.. nikukosee heshima kwa kuhighlight mapungufu ya fikra wakati wa kujenga wazo!?

Mjini moshi kuna majengo yako tupu.. hayana wapangaji. Huko stand mpya unakwenda kuwatoa wapangaji wapi!? Au washona viatu unatarajia wataingia walipe kodi ya pango!?

Na trip generation moshi iko wapi!? Mabasi yote yanaondoka asubuhi na kurudi usiku.. asilimia hamsini na zaidi na watu wanapita tu kwenye DOm Arusha Tanga na DSM... Halafu unaweka bilioni 28!? Uzirudisheje!? Kama sio ufahari tuu
 
Ajaribu aone. Atafugiwa kufanya kazi hapa mpaka alipe fidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…