Moshi: Mkandarasi atoa wiki 1 kwa Serikali kumlipa fedha zake zaidi ya Bilioni 1

STANDI YA BILIONI 28 MOSHI???? TAKUKURU WAMULIKE HUO MRADI LAZIMA UNA UFISADI MKUBWA SANAAAA! MIMI KAMA MWANA MOSHI SIKUBALIANI NA HILO.

WEKENI HUMU MICHORO NA DESIGN KAMA MLIVYOFANYA KWA DAR ILI TUJADILI VIZURI! DUUUU!
Usijifanye mjuaji sana,hata huyo mungu wako Jiwe alishapita hapo na akakubaliana na hiyo budget.
 
Moshi jengo gani halina watu?
Stend kusiwe na biashara Moshi?
Unaijua Moshi mjini vizuri?
Kuanzia dar Street,majengo na mitaa yake,njoro na mitaa yake,kcmc na mitaa yake, rau na mitaa yake , ngangamfumuni na mitaa yake,ushirika,Kiboriloni,shant town,ccp,Soweto, mbuyuni,
 
Usijifanye mjuaji sana,hata huyo mungu wako Jiwe alishapita hapo na akakubaliana na hiyo budget.
Wamezoea stend ya kumwaga lami Kama ya kange,singida ,na nyingine
Mtanganyika anataka kitu kizuri kwa bei ndogo ndo shida
 
Uchumi house

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Unajua mkuu, Kuna watu ujuaji mwingi alafu hamna kitu.
Bora umewafafanulia vizuri wasipoelewa usiumize kichwa, unafikiri malipo ya kazi za serikali kama unaenda kwa mangi kununua mchele
Yaani kuna watu,ni wa ajabu sana!!kila sehemu analeta ushabiki wa yanga na simba, bila hata kujua utaratibu uliopo wa jambo husika!!
 

Asicheze na JIWE atamfanyia kitu mbaya ,amuulize MANJI.
 
Nirudie nini ??, we ndo rudia , unakrupuka tuu, stend Gharama ni bil 28 , mkandarasi anadai bil 1....matokeo ya shule za kata tabu sana
Amekueleza vizuri kuwa urudie kusoma, hujaelewa.

Gharama ya mradi 28 billion. Hawajasema amelipwa 27 bilioni. Mradi huwa una phases, na kila phase ina malipo yake. Anaposema anadai bilioni 1 ina maana ni malipo ya phase aliyokamilisha. Na haijulikani kuna phases ngapi, na amekamilisha phase ya ngapi.

Hiyo 28 bilioni ni thamani ya mradi mzima, na inawezekana kuna subcontractors.
 
Mkandarasi mwenyewe ni beberu wa kikomunisti ambaye ndio alijenga na kuwekeza kwenye miradi mikubwa nazani hata reli ya tazara alijenga yeye pia kwaio sio wa mchezo mchezo mjini amejenga majengo mengi na hoteli visiwani
 
Ndiyo, si anadai chake?? Sasa anajenga kwa pesa ipi km ela hapewi??

Serikali iache uhuni na imlipe, mbona hawazembei kt kukusanya kodi
Anataka kugusa nyeti ya simba huyo!! Eti anaipa serikali wiki??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…