DOKEZO Moshi: Mwalimu anayehisiwa Kufichua Maovu ya Afisa Elimu wa Manispaa awekwa LOCKUP na Afisa Elimu huyo (Ndg. Ngonyani)

DOKEZO Moshi: Mwalimu anayehisiwa Kufichua Maovu ya Afisa Elimu wa Manispaa awekwa LOCKUP na Afisa Elimu huyo (Ndg. Ngonyani)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ushahidi tumeuona. Ila kwa ushahidi huu walimu wote wa HALMASHAURI hiyo pumbavu zenu tena shenzi kabisa. Huyu Hadi anafanya yote haya mnamwangalia tuuu? Hivi Hadi Sasa Bado mnaamini AFISA ELIMU Hana bosi wake, mkuu wa nchi ana bosi wake sembuse nyangalika huyu? Endeleeni kulia BILA kuchukua hatua, mtakapo lawitiwa ndipo mtachukua hatua.
 
Katika kada ambayo Ina wajinga wengi ni elimu yaani hasa Msingi kumejaa vilaza ndo maana yanaonewa kupitiliza. Yaani mtu mmoja awanyanyase namna hiyo mshindwe kumshugulikia hata kibinafsi hata Kama ni kada wa CCM si ateuliwe tu aende kuungana na wezi wakubwa kuifilisi nchi. So sad
 
Katika kada ambayo Ina wajinga wengi ni elimu yaani hasa Msingi kumejaa vilaza ndo maana yanaonewa kupitiliza. Yaani mtu mmoja awanyanyase namna hiyo mshindwe kumshugulikia hata kibinafsi hata Kama ni kada wa CCM si ateuliwe tu aende kuungana na wezi wakubwa kuifilisi nchi. So sad
Na hao wajinga wako Zaid huko Moshi
 
YAH:- MWALIMU CALVIN TWARILA WA KIBO AACHIWE HURU ANAONEWA!!

NAWEKA USHAHIDI WA MAOVU YOTE YA NGONYANI!!

Somo tajwa hapo juu lahusika.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa viongozi wote waliolisimamia suala letu walimu!Nianze na ofisi ya Rais, Wizara ya Elimu Tamisemi, Ofisi ya Takukuru, Usalama wa Taifa, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Wilaya! Ukaguzi kanda na Dawati la jinsia na watoto kwa kazi kubwa mliyoifanya! Kweli serikali yetu ipo makini na inajali wananchi wake kwa kutatua kero zao kwa haraka!! Asanteni sana!

Niliwaaga ila kwa haya yanayoendelea nimeona nirudi kuwajuza wakuu wangu! Mtanisamehe sana kwa haya nitakayoongea, ni katika kuiweka Manispaa ya Moshi sehemu salama kutoka katika uzembe, unyanyasaji, ukatili na dhulumu wanazofanyiwa watumishi wa umma!

Viongozi wangu imeniuma sana walimu baadhi wasiohisiwa katika kutoa maandishi haya wanawekwa lockup bila sababu na kutishiwa kuuawa!Kwahiyo kusema ukweli ni kosa la jinai!sasa leo nitaweka wazi kila kitu..!

1: Afisa Elimu huyu anakamata ovyo walimu na kuwaweka ndani kupitia marafiki zake ambao ni maaskari; haki ipo wapi? Yeye angesubiri ukweli ubainike! Amemuweka ndani Mwalimu wa Kibo anaitwa Calvin Twarila leo ni siku ya sita kwa kumhisi tu kuwa ametoa tamko! Yeye ndiye alitakiwa awepo lockup muda huu na sio walimu wasiojua kitu!

2: Ameenda kusafisha bastola yake kwamba atakapombaini mhusika amuue! Huyu jamaa yupo sawa kweli? Anaita walimu ofisini kwake na kuwahoji pia kuwatisha kuwa ataua mtu!! Hivi anajua sheria za nchi? Kutishia ni kosa kisheria! Anachokikwepa ni nini wakati walimu wamesema ya moyoni na ukweli wote utabainika kupitia dodoso zilizotoka TAMISEMI.

3: Anajisifu kwamba yeye hawezi kuondoka Manispaa ya Moshi na hakuna wa kumtoa wala kumgusa! Anadai kuondoka kwake hapo ni kupanda cheo! (na rekodi ipo aliyorekodiwa akitoa matamshi hayo tutaweka hadharani)!

4: Ushahidi upo wa yote niliyoyabainisha upo wazi naweka baadhi ya shahidi zangu zisizokuwa na shaka hadharani: Handeni amejenga nyumba nne(4) kwenye compound moja kwa ndani ya muda mfupi na kununua magari manne ya gharama! Je, yeye mtumishi wa umma katoa wapi fedha hizo kama sio za wizi na utapeli wa miradi na kuomba walimu wakuu na waratibu (wachukue miamala yake ya 2021-2023).

5: Mkuu wa shule ya Msingi Magereza Aniseth Kileo alikamatwa na mkuu wa gereza la Karanga akihamisha mali ya umma ikiwepo mabati, saruju, mbao na vifaa vya ujenzi; alipoulizwa akasema kaelekezwa na huyo fisadi mdogo Ngonyani. Akaulizwe, taarifa zipo pale! Mali za shule unahamisha unapeleka wapi? Hata walimu wa shule ya msingi Magereza wanalijua hilo!

5: Kuna fedha zilipelekwa shule ya msingi Magereza za miradi za shule ya msingi Njoro EP4R ..why fedha hizo zipelekwe Magereza ilhali hata shule ya Msingi Njoro ina Akaunti? Nawaambia ukweli ni katika upigaji wa hizo fedha! Eti ukitaka kununua vifaa anayesaini ni mkuu wa shule ya Magereza ambaye ni rafiki mkubwa wa Ngonyani. Fuatilieni miradi ya Magereza vs Njoro. Lile lilikuwa lango kuu la wizi wa fedha za umma..!

6: Huyo huyo mkuu wa shule ya magereza akishirikiana na boss wake wamezimiliki nyumba za shule mbili za shule ya msingi Magereza wakishirikiana kuwahamisha walimu waliokuwa wanakaa hapo na hizo nyumba moja kufanya danguro ambapo Mkuu huyo wa shule amemuweka kimada wake Mwalimu Elizabeth na huyo boss wake Ngonyani akipata Mwanamke hapo ndipo guest yao! (Abanwe huyu mkuu siri zote anazijua! Waulizeni Mwalimu Marygorate M. wa uhuru na Jackline M. wa Shaurimoyo kilichowakuta shule ya Magereza. Tena kuna walimu wengine waligomea kuhama! Walimuhamisha mama wa watu anaitwa Irene C. na kumpeleka shule ya Shirimatunda ili aachie nyumba lakini mama huyo alichoka uonevu akaenda kupiga kelele pale Manispaa akiwa na baba yake mgonjwa aliyefariki baadae kwa manyanyaso hayo (mtafuteni huyu mama).

7: Atafutwe Mwalimu mkuu wa Chemchem anaitwa Mashauri awaeleze anachopitia sasa baada ya kunyimwa mradi wa Covid 19 wa madarasa manne kwa kukataa kutoa mlungula alioombwa na huyu Ngonyani! Alitaka milioni mbili lakini Mwalimu Mashauri akatoa elfu ishirini, matokeo yake mradi wa covid haukupelekwa shuleni kwake ukapelekwa shule ya Msingi Langoni! Nendeni Langoni mtajionea

8: Lile jengo la SACCOS ambalo lipo katika eneo la shule ya msingi Uhuru, afisa elimu Ngonyani na timu yake wamechukua mkataba wa milioni mia mbili (200Mil) na kukabidhi eneo la shule kwa Saccos ili wajenge ofisi zao. Je, hii ni haki kuuza sehemu ya Shule? Na je hizo pesa zimeingizwa wapi? Kwenye akaunti ipi?

9: Kuna miradi imepelekwa shule ya Msingi Uhuru ya kujenga Ukumbi wa starehe! Jamani hivi hizo pesa kuna upungufu mkubwa wa madarasa wao wanaenda kujenga kumbi za starehe kweliiii? Tunakwamisha kwa makusudi Mama yetu Mpendwa Samia Suluhu Hassan katika jitihada zake za kuondoa uhaba wa madarasa wao wanajenga kumbi!!walimu walipohoji wakahamishwa mmoja kapelekwa shule ya Shirimatunda wafuatilieni walimu hao!!

10: Kuna walimu wamenyanyasika sana! Mwalimu Mkuu wa Njoro aliyehamishwa kwenda Pasua anaitwa Brigeti. Kuna Mwalimu Hando mpaka leo anapokea nusu mshahara mwaka wa tatu sasa!alitengenezewa zengwe la Mwalimu mkaidi baada ya kuchoka kuhamishwa hamishwa na kukataa ufisadi wa huyu boss Ngonyani wa kutaka kugawana fedha za uhamisho! Pia aliwahi kutolewa vyombo vyake nje kwenye nyumba ya shule pale Shirimatunda na vyombo kupelekwa bohari la serikali. Huu ni unyanyasaji mkubwa sana! Afisa Elimu Kata Theodora kisa katofautiana na boss akahamishwa. Kuna Mwalimu Jackline, Mwalimu Mary, Mwl Kiwale wa Kibo, huyu sasa mpaka leo kanyimwa mshahara kwa miezi mitano sasa kisa ana bifu na Ngonyani na wana mpango wa kumfukuza kazi kabisa! Wakati kuna walimu walevi kupindukia, watoro waliokithiri wengine walipoteaga miaka mpaka mitatu na wapo kazini why huyu !walimu? Wabakaji kama yule wa shule ya Msingi Muungano aliyebaka mwanafunzi pale shule akakutwa matokeo yake akahamishwa kwenda Msandaka au Msaranga kama sikosei wameachwa sasa wanataka wamfukuze kazi huyu Mwl Kiwale wakati alipata matatizo ya mirathi ya baba yake yeye akiwa kama msimamizi. Taarifa zote tunazo hakuna Mwalimu wa Moshi asiyejua hili tatizo la Afisa Elimu na huyu Mwalimu..walimu hawa watafutwe

11: Atafutwe dereva aliyekuwa anamuendesha huyu Afisa Elimu na aseme kilichomfanya akamkataa huyu boss! Haiwezekani wewe ulitumie gari la ofisi kufanyia ngono humo ndani na kumuamrisha dereva asubiri nje mpaka umalize haja zako! Je, ni sahihi kwa mtu mzima kama yule kupeperushwa? Ilifika wakati alichoka akakataa kuendesha hilo gari na kupelekea kumuweka mtu wake ambaye ndipo wakaenda kuliangusha gari la Serikali likapotelea huko mpaka leo.

12: Atafutwe Afisa Elimu Taaluma anaitwa Urasa amekuwa mhanga wa haya matatizo ya unyanyasaji! Yule boss wetu Mungu amlinde, amekuwa akijitoa sana kutafuta haki za walimu na hata kuipaisha taaluma lakini ndio kawa chungu ya boss na kutaka kumng'oa hapo ofisini.. Boss Ngonyani ameshaandika notice nyingi TAMISEMI kutaka aondolewe lakini busara za viongozi wetu wa TAMISEMI zilitumika.

13: Huyu Boss Ngonyani anashiriki kuwabadilishia walimu home of domicile ili kupunguza fedha wanazolipwa kwaajili ya nauli..sasa cha kuchekesha katika mafaili inaonyesha ile ya awali lkn mwalimu anapewa barua isiyo rasmi ya kubadilishiwa..hapo kuna upigaji wa fedha za walimu za nauli kwa kutumia janja hiyo!!kagueni malipo ya nauli mwaka huu na mwaka jana walimu wengi wameumizwa hapo !!je ni sahihi mwalimu kubadilishiwa home of domicile bila kumshirikisha??ushahidi upo wa walimu hao!!

14: Kuna wanafunzi walilawitiwa wakiwa tisa (9) shule ya Msingi Chemchem na mtu anaitwa babu Yahaya, kesi ilisimamiwa vizuri na Mwenyekiti wa Mtaa wa Sokoni na Mratibu kata wa kipindi hicho bwana Kiwale wakamkamata mhusika na kumfikisha kwenye vyombo vya sheria na mpaka kesi ikaenda mahakamani, walilisimamia mpaka saa nane usiku majibu yakatolewa na watoto wanne wakathibitika kuingiliwa na kulawitiwa! Lakini huyu boss alipokea rushwa ya shilingi milioni tano na kesi ikaishia hapo na Huyu Mwalimu Kiwale ambaye alikuwa afisa elimu kata akatengenezewa zengwe na kushushwa cheo na kwenda kufundisha shule ya Kibo! Fuatilieni hii kesi mtuhumiwa yupo mtaani anaendelea kuharibu watoto wa watu.

Kwa leo nawashukuru sana naomba Mungu awatangulie na pia Mwalimu Calvin aachiwe huru kabla hatua zingine hazijachukuliwa.

Ameen amani ya Bwana itawale katika anga ya Moshi Manispaa!

Mwalimu Mazalendo.

CC. Katibu Mkuu TAMISEMI
Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI
 
Katika kada ambayo Ina wajinga wengi ni elimu yaani hasa Msingi kumejaa vilaza ndo maana yanaonewa kupitiliza. Yaani mtu mmoja awanyanyase namna hiyo mshindwe kumshugulikia hata kibinafsi hata Kama ni kada wa CCM si ateuliwe tu aende kuungana na wezi wakubwa kuifilisi nchi. So sad
Kiukweli huko idara ya elimu msingi wananyanyasana sana! Walimu hawajiamini kama hawajaenda shule. Kwani bado wale wenye vyeti feki hawajaisha???
 
Sisi watanzania ni watu wa hovyo sana .
Mwalimu kaleta tuhuma badala hizo tuhuma zifanyiwe uchunguz watu mnakuja na kejer mara majungu ,sijui wivu.
Walimu wakikaa kimya walimu ni waoga sana.
Mmeifanya hii kada kama punching bag ya Kila kilaza.
Leo hii mnatype hapa Jf Kwa kujimwaga sabab ya huyu huyu mwalimu.
Sijui ni lini mtaanza kuheshimu hii kada.

Serikali iwajar hawa walimu Kwa kipato kikubwa labda IPO siku wataheshimika kama nchi za ujeruman ambako mwalimu anaheshimika sana.
 
To be honest walimu wanadharaulika kwa sababu ya mambo wanayoyafanya; huyu anayeleta majungu huku nafikiri hana kazi za kufanya nahisi ni wale walimu ambao kazi yao ni majungu tu na hawatafuti njia za kuongeza vipato vyao.hivi muda wa kufatilia hayo yote anatoa wapi?

kuna habar kazileta hapa wengine tumefatilia hakuna ukweli wowote.

mf kasema saccoss imeuziwa eneo la shule lakini lile jengo saccoss imekodi na wanalipa kodi ni mradi wa shule,afatilie vizuri ajue hilo jengo limejengwaje.

pia ishu ya mtu kuchepuka na mtu hayo ni makubaliano yao walimu wengi hujipendekeza kwa maafisa wakidhani kutembea nao ni umaarufu,kwani kuna aliyelazimishwa? Mi naamini mtu akikutongoza kama humtaki unamkataa na ukiona anakutishia mrekodi kamripoti kwa wakuu wake.

Mara ana nyumba sjui nne😂😂 mbona kuna watu wa kawaida tu wana nyumba za kutosha? Shida ni kuwa hawafikirii kufanya hata biashara wao wanawaza tu majungu hata akiona mwalimu mwenzie kajenga nyumba roho inamuuma.

Walimu epukeni kujidharaulisha kwa jamii,tafuteni hela hakuna maisha yasiyowezekana kama ukiamua kufanya kazi zako.
 
To be honest walimu wanadharaulika kwa sababu ya mambo wanayoyafanya; huyu anayeleta majungu huku nafikiri hana kazi za kufanya nahisi ni wale walimu ambao kazi yao ni majungu tu na hawatafuti njia za kuongeza vipato vyao.hivi muda wa kufatilia hayo yote anatoa wapi?

kuna habar kazileta hapa wengine tumefatilia hakuna ukweli wowote.

mf kasema saccoss imeuziwa eneo la shule lakini lile jengo saccoss imekodi na wanalipa kodi ni mradi wa shule,afatilie vizuri ajue hilo jengo limejengwaje.

pia ishu ya mtu kuchepuka na mtu hayo ni makubaliano yao walimu wengi hujipendekeza kwa maafisa wakidhani kutembea nao ni umaarufu,kwani kuna aliyelazimishwa? Mi naamini mtu akikutongoza kama humtaki unamkataa na ukiona anakutishia mrekodi kamripoti kwa wakuu wake.

Mara ana nyumba sjui nne😂😂 mbona kuna watu wa kawaida tu wana nyumba za kutosha? Shida ni kuwa hawafikirii kufanya hata biashara wao wanawaza tu majungu hata akiona mwalimu mwenzie kajenga nyumba roho inamuuma.

Walimu epukeni kujidharaulisha kwa jamii,tafuteni hela hakuna maisha yasiyowezekana kama ukiamua kufanya kazi zako.
1.https://www.jamiiforums.com/threads/uonevu-uliokithiri-idara-ya-elimu-manispaa-ya-moshi.2078086/
2. Kuna kila dalili Wewe ni chawa wa Huyo afisaelimu

3. Uliwahi kuona wapi afisaelimu ameuza eneo la shule tena shule yenye eneo dogo mjini katikati kwa Matumizi ya Saccos na Tayari jengo limejengwa kama Sio Ngonyani?

4. Gari jipya la idara ya elimu msingi liko wapi?

5. Ofisini anakula na wataaluma wawili kwa Pamoja tena ukizingatia. Kuwa kuna HIV Kila kona hapo wamama ni Wazima kweli?

6. Mdhibiti ubora Moshi Manispaa dodo so tulilosikia uliwapa walimu kuhusu utendaji wa Ngonyani ulikuwa usani na upumbavu mkubwa.
7. Anahamisha walimu hovyo tena kwa rushwa ya ngono

Tamisemi Njooni Moshi Manispaa kuna udhalimu , udhalilishaji, Wizi na ufisadi mkubwa
 
Madarasa manne kwa kukataa kutoa mlungula alioombwa na huyu Ngonyani! Alitaka milioni mbili lakini Mwalimu Mashauri akatoa elfu ishirini, matokeo yake mradi wa covid haukupelekwa shuleni kwake ukapelekwa shule ya Msingi Langoni.

"MTOA RUSHWA NA MPOKEA RUSHWA.................!"
 
1.https://www.jamiiforums.com/threads/uonevu-uliokithiri-idara-ya-elimu-manispaa-ya-moshi.2078086/
2. Kuna kila dalili Wewe ni chawa wa Huyo afisaelimu

3. Uliwahi kuona wapi afisaelimu ameuza eneo la shule tena shule yenye eneo dogo mjini katikati kwa Matumizi ya Saccos na Tayari jengo limejengwa kama Sio Ngonyani?

4. Gari jipya la idara ya elimu msingi liko wapi?

5. Ofisini anakula na wataaluma wawili kwa Pamoja tena ukizingatia. Kuwa kuna HIV Kila kona hapo wamama ni Wazima kweli?

6. Mdhibiti ubora Moshi Manispaa dodo so tulilosikia uliwapa walimu kuhusu utendaji wa Ngonyani ulikuwa usani na upumbavu mkubwa.
7. Anahamisha walimu hovyo tena kwa rushwa ya ngono

Tamisemi Njooni Moshi Manispaa kuna udhalimu , udhalilishaji, Wizi na ufisadi mkubwa
mi sio mwalimu ndugu na siwezi kuwa chawa wa mtu nina maisha yangu.ila ni mfatiliaji wa habari zinazoandikwa ndo mana nikakwambia fatilia ujue kama limeuzwa au halijauzwa?nimefatilia nikajua halijauzwa,kwa nn usifanye utafiti kabla hujaandika baadhi ya vitu? hivi eneo la shule linaweza kuuzwa bila ardhi kujua,ofs ya mkurugenz isijue,yaani eneo la serikali liuzwe kirahisi hivyo? basi huyo atakuwa ni zaidi ya afisa elimu. chunguza vitu pata uhakika 100% kabla hujaandika huku
 
mi sio mwalimu ndugu na siwezi kuwa chawa wa mtu nina maisha yangu.ila ni mfatiliaji wa habari zinazoandikwa ndo mana nikakwambia fatilia ujue kama limeuzwa au halijauzwa?nimefatilia nikajua halijauzwa,kwa nn usifanye utafiti kabla hujaandika baadhi ya vitu? hivi eneo la shule linaweza kuuzwa bila ardhi kujua,ofs ya mkurugenz isijue,yaani eneo la serikali liuzwe kirahisi hivyo? basi huyo atakuwa ni zaidi ya afisa elimu. chunguza vitu pata uhakika 100% kabla hujaandika huku
Eneo limeuzwa na limejengwa nyumba ya saccos na limekamilika na pesa alishaweka mfuko.

2. Kama hilo gari lipo muambie Jumanne alipeleke kwa DED alione kwa macho.
 
Huyo Mr Ngonyani awajibishwe haraka iwezekanavyoo. Sheria ichukue mkondo wake.
 
Hii dunia inabidi uwe ngumi mkononi!muda wote VINGINEVYO hawa akina ngonyani cjui ngonguruwe watakupelekesha sana
 
YAH:- MWALIMU CALVIN TWARILA WA KIBO AACHIWE HURU ANAONEWA!!

NAWEKA USHAHIDI WA MAOVU YOTE YA NGONYANI!!

Somo tajwa hapo juu lahusika.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa viongozi wote waliolisimamia suala letu walimu!Nianze na ofisi ya Rais, Wizara ya Elimu Tamisemi, Ofisi ya Takukuru, Usalama wa Taifa, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Wilaya! Ukaguzi kanda na Dawati la jinsia na watoto kwa kazi kubwa mliyoifanya! Kweli serikali yetu ipo makini na inajali wananchi wake kwa kutatua kero zao kwa haraka!! Asanteni sana!

Niliwaaga ila kwa haya yanayoendelea nimeona nirudi kuwajuza wakuu wangu! Mtanisamehe sana kwa haya nitakayoongea, ni katika kuiweka Manispaa ya Moshi sehemu salama kutoka katika uzembe, unyanyasaji, ukatili na dhulumu wanazofanyiwa watumishi wa umma!

Viongozi wangu imeniuma sana walimu baadhi wasiohisiwa katika kutoa maandishi haya wanawekwa lockup bila sababu na kutishiwa kuuawa!Kwahiyo kusema ukweli ni kosa la jinai!sasa leo nitaweka wazi kila kitu..!

1: Afisa Elimu huyu anakamata ovyo walimu na kuwaweka ndani kupitia marafiki zake ambao ni maaskari; haki ipo wapi? Yeye angesubiri ukweli ubainike! Amemuweka ndani Mwalimu wa Kibo anaitwa Calvin Twarila leo ni siku ya sita kwa kumhisi tu kuwa ametoa tamko! Yeye ndiye alitakiwa awepo lockup muda huu na sio walimu wasiojua kitu!

2: Ameenda kusafisha bastola yake kwamba atakapombaini mhusika amuue! Huyu jamaa yupo sawa kweli? Anaita walimu ofisini kwake na kuwahoji pia kuwatisha kuwa ataua mtu!! Hivi anajua sheria za nchi? Kutishia ni kosa kisheria! Anachokikwepa ni nini wakati walimu wamesema ya moyoni na ukweli wote utabainika kupitia dodoso zilizotoka TAMISEMI.

3: Anajisifu kwamba yeye hawezi kuondoka Manispaa ya Moshi na hakuna wa kumtoa wala kumgusa! Anadai kuondoka kwake hapo ni kupanda cheo! (na rekodi ipo aliyorekodiwa akitoa matamshi hayo tutaweka hadharani)!

4: Ushahidi upo wa yote niliyoyabainisha upo wazi naweka baadhi ya shahidi zangu zisizokuwa na shaka hadharani: Handeni amejenga nyumba nne(4) kwenye compound moja kwa ndani ya muda mfupi na kununua magari manne ya gharama! Je, yeye mtumishi wa umma katoa wapi fedha hizo kama sio za wizi na utapeli wa miradi na kuomba walimu wakuu na waratibu (wachukue miamala yake ya 2021-2023).

5: Mkuu wa shule ya Msingi Magereza Aniseth Kileo alikamatwa na mkuu wa gereza la Karanga akihamisha mali ya umma ikiwepo mabati, saruju, mbao na vifaa vya ujenzi; alipoulizwa akasema kaelekezwa na huyo fisadi mdogo Ngonyani. Akaulizwe, taarifa zipo pale! Mali za shule unahamisha unapeleka wapi? Hata walimu wa shule ya msingi Magereza wanalijua hilo!

5: Kuna fedha zilipelekwa shule ya msingi Magereza za miradi za shule ya msingi Njoro EP4R ..why fedha hizo zipelekwe Magereza ilhali hata shule ya Msingi Njoro ina Akaunti? Nawaambia ukweli ni katika upigaji wa hizo fedha! Eti ukitaka kununua vifaa anayesaini ni mkuu wa shule ya Magereza ambaye ni rafiki mkubwa wa Ngonyani. Fuatilieni miradi ya Magereza vs Njoro. Lile lilikuwa lango kuu la wizi wa fedha za umma..!

6: Huyo huyo mkuu wa shule ya magereza akishirikiana na boss wake wamezimiliki nyumba za shule mbili za shule ya msingi Magereza wakishirikiana kuwahamisha walimu waliokuwa wanakaa hapo na hizo nyumba moja kufanya danguro ambapo Mkuu huyo wa shule amemuweka kimada wake Mwalimu Elizabeth na huyo boss wake Ngonyani akipata Mwanamke hapo ndipo guest yao! (Abanwe huyu mkuu siri zote anazijua! Waulizeni Mwalimu Marygorate M. wa uhuru na Jackline M. wa Shaurimoyo kilichowakuta shule ya Magereza. Tena kuna walimu wengine waligomea kuhama! Walimuhamisha mama wa watu anaitwa Irene C. na kumpeleka shule ya Shirimatunda ili aachie nyumba lakini mama huyo alichoka uonevu akaenda kupiga kelele pale Manispaa akiwa na baba yake mgonjwa aliyefariki baadae kwa manyanyaso hayo (mtafuteni huyu mama).

7: Atafutwe Mwalimu mkuu wa Chemchem anaitwa Mashauri awaeleze anachopitia sasa baada ya kunyimwa mradi wa Covid 19 wa madarasa manne kwa kukataa kutoa mlungula alioombwa na huyu Ngonyani! Alitaka milioni mbili lakini Mwalimu Mashauri akatoa elfu ishirini, matokeo yake mradi wa covid haukupelekwa shuleni kwake ukapelekwa shule ya Msingi Langoni! Nendeni Langoni mtajionea

8: Lile jengo la SACCOS ambalo lipo katika eneo la shule ya msingi Uhuru, afisa elimu Ngonyani na timu yake wamechukua mkataba wa milioni mia mbili (200Mil) na kukabidhi eneo la shule kwa Saccos ili wajenge ofisi zao. Je, hii ni haki kuuza sehemu ya Shule? Na je hizo pesa zimeingizwa wapi? Kwenye akaunti ipi?

9: Kuna miradi imepelekwa shule ya Msingi Uhuru ya kujenga Ukumbi wa starehe! Jamani hivi hizo pesa kuna upungufu mkubwa wa madarasa wao wanaenda kujenga kumbi za starehe kweliiii? Tunakwamisha kwa makusudi Mama yetu Mpendwa Samia Suluhu Hassan katika jitihada zake za kuondoa uhaba wa madarasa wao wanajenga kumbi!!walimu walipohoji wakahamishwa mmoja kapelekwa shule ya Shirimatunda wafuatilieni walimu hao!!

10: Kuna walimu wamenyanyasika sana! Mwalimu Mkuu wa Njoro aliyehamishwa kwenda Pasua anaitwa Brigeti. Kuna Mwalimu Hando mpaka leo anapokea nusu mshahara mwaka wa tatu sasa!alitengenezewa zengwe la Mwalimu mkaidi baada ya kuchoka kuhamishwa hamishwa na kukataa ufisadi wa huyu boss Ngonyani wa kutaka kugawana fedha za uhamisho! Pia aliwahi kutolewa vyombo vyake nje kwenye nyumba ya shule pale Shirimatunda na vyombo kupelekwa bohari la serikali. Huu ni unyanyasaji mkubwa sana! Afisa Elimu Kata Theodora kisa katofautiana na boss akahamishwa. Kuna Mwalimu Jackline, Mwalimu Mary, Mwl Kiwale wa Kibo, huyu sasa mpaka leo kanyimwa mshahara kwa miezi mitano sasa kisa ana bifu na Ngonyani na wana mpango wa kumfukuza kazi kabisa! Wakati kuna walimu walevi kupindukia, watoro waliokithiri wengine walipoteaga miaka mpaka mitatu na wapo kazini why huyu !walimu? Wabakaji kama yule wa shule ya Msingi Muungano aliyebaka mwanafunzi pale shule akakutwa matokeo yake akahamishwa kwenda Msandaka au Msaranga kama sikosei wameachwa sasa wanataka wamfukuze kazi huyu Mwl Kiwale wakati alipata matatizo ya mirathi ya baba yake yeye akiwa kama msimamizi. Taarifa zote tunazo hakuna Mwalimu wa Moshi asiyejua hili tatizo la Afisa Elimu na huyu Mwalimu..walimu hawa watafutwe

11: Atafutwe dereva aliyekuwa anamuendesha huyu Afisa Elimu na aseme kilichomfanya akamkataa huyu boss! Haiwezekani wewe ulitumie gari la ofisi kufanyia ngono humo ndani na kumuamrisha dereva asubiri nje mpaka umalize haja zako! Je, ni sahihi kwa mtu mzima kama yule kupeperushwa? Ilifika wakati alichoka akakataa kuendesha hilo gari na kupelekea kumuweka mtu wake ambaye ndipo wakaenda kuliangusha gari la Serikali likapotelea huko mpaka leo.

12: Atafutwe Afisa Elimu Taaluma anaitwa Urasa amekuwa mhanga wa haya matatizo ya unyanyasaji! Yule boss wetu Mungu amlinde, amekuwa akijitoa sana kutafuta haki za walimu na hata kuipaisha taaluma lakini ndio kawa chungu ya boss na kutaka kumng'oa hapo ofisini.. Boss Ngonyani ameshaandika notice nyingi TAMISEMI kutaka aondolewe lakini busara za viongozi wetu wa TAMISEMI zilitumika.

13: Huyu Boss Ngonyani anashiriki kuwabadilishia walimu home of domicile ili kupunguza fedha wanazolipwa kwaajili ya nauli..sasa cha kuchekesha katika mafaili inaonyesha ile ya awali lkn mwalimu anapewa barua isiyo rasmi ya kubadilishiwa..hapo kuna upigaji wa fedha za walimu za nauli kwa kutumia janja hiyo!!kagueni malipo ya nauli mwaka huu na mwaka jana walimu wengi wameumizwa hapo !!je ni sahihi mwalimu kubadilishiwa home of domicile bila kumshirikisha??ushahidi upo wa walimu hao!!

14: Kuna wanafunzi walilawitiwa wakiwa tisa (9) shule ya Msingi Chemchem na mtu anaitwa babu Yahaya, kesi ilisimamiwa vizuri na Mwenyekiti wa Mtaa wa Sokoni na Mratibu kata wa kipindi hicho bwana Kiwale wakamkamata mhusika na kumfikisha kwenye vyombo vya sheria na mpaka kesi ikaenda mahakamani, walilisimamia mpaka saa nane usiku majibu yakatolewa na watoto wanne wakathibitika kuingiliwa na kulawitiwa! Lakini huyu boss alipokea rushwa ya shilingi milioni tano na kesi ikaishia hapo na Huyu Mwalimu Kiwale ambaye alikuwa afisa elimu kata akatengenezewa zengwe na kushushwa cheo na kwenda kufundisha shule ya Kibo! Fuatilieni hii kesi mtuhumiwa yupo mtaani anaendelea kuharibu watoto wa watu.

Kwa leo nawashukuru sana naomba Mungu awatangulie na pia Mwalimu Calvin aachiwe huru kabla hatua zingine hazijachukuliwa.

Ameen amani ya Bwana itawale katika anga ya Moshi Manispaa!

Mwalimu Mazalendo.
Tatizo hii nchi ukiona mtu anabweka Sana
Kuna anayemtegemea hapo juu
Either Waziri au Kuna Mtu mkubwa alimuweka hapo wizarani
So Ndio kinampa ujasiri
 
Tatizo jeshi letu la polisi lina njaa sana hivyo ni rahisi tuu huyo afisa elimu kuhonga askari na askari wakamtengenezea kesi huyo mwalimu wakamkamata na kumuweka ndani maana sheria zetu ni kandamizi sana kwa raia
Sure
 
Km ni ya kwel
YAH:- MWALIMU CALVIN TWARILA WA KIBO AACHIWE HURU ANAONEWA!!

NAWEKA USHAHIDI WA MAOVU YOTE YA NGONYANI!!

Somo tajwa hapo juu lahusika.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa viongozi wote waliolisimamia suala letu walimu!Nianze na ofisi ya Rais, Wizara ya Elimu Tamisemi, Ofisi ya Takukuru, Usalama wa Taifa, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Wilaya! Ukaguzi kanda na Dawati la jinsia na watoto kwa kazi kubwa mliyoifanya! Kweli serikali yetu ipo makini na inajali wananchi wake kwa kutatua kero zao kwa haraka!! Asanteni sana!

Niliwaaga ila kwa haya yanayoendelea nimeona nirudi kuwajuza wakuu wangu! Mtanisamehe sana kwa haya nitakayoongea, ni katika kuiweka Manispaa ya Moshi sehemu salama kutoka katika uzembe, unyanyasaji, ukatili na dhulumu wanazofanyiwa watumishi wa umma!

Viongozi wangu imeniuma sana walimu baadhi wasiohisiwa katika kutoa maandishi haya wanawekwa lockup bila sababu na kutishiwa kuuawa!Kwahiyo kusema ukweli ni kosa la jinai!sasa leo nitaweka wazi kila kitu..!

1: Afisa Elimu huyu anakamata ovyo walimu na kuwaweka ndani kupitia marafiki zake ambao ni maaskari; haki ipo wapi? Yeye angesubiri ukweli ubainike! Amemuweka ndani Mwalimu wa Kibo anaitwa Calvin Twarila leo ni siku ya sita kwa kumhisi tu kuwa ametoa tamko! Yeye ndiye alitakiwa awepo lockup muda huu na sio walimu wasiojua kitu!

2: Ameenda kusafisha bastola yake kwamba atakapombaini mhusika amuue! Huyu jamaa yupo sawa kweli? Anaita walimu ofisini kwake na kuwahoji pia kuwatisha kuwa ataua mtu!! Hivi anajua sheria za nchi? Kutishia ni kosa kisheria! Anachokikwepa ni nini wakati walimu wamesema ya moyoni na ukweli wote utabainika kupitia dodoso zilizotoka TAMISEMI.

3: Anajisifu kwamba yeye hawezi kuondoka Manispaa ya Moshi na hakuna wa kumtoa wala kumgusa! Anadai kuondoka kwake hapo ni kupanda cheo! (na rekodi ipo aliyorekodiwa akitoa matamshi hayo tutaweka hadharani)!

4: Ushahidi upo wa yote niliyoyabainisha upo wazi naweka baadhi ya shahidi zangu zisizokuwa na shaka hadharani: Handeni amejenga nyumba nne(4) kwenye compound moja kwa ndani ya muda mfupi na kununua magari manne ya gharama! Je, yeye mtumishi wa umma katoa wapi fedha hizo kama sio za wizi na utapeli wa miradi na kuomba walimu wakuu na waratibu (wachukue miamala yake ya 2021-2023).

5: Mkuu wa shule ya Msingi Magereza Aniseth Kileo alikamatwa na mkuu wa gereza la Karanga akihamisha mali ya umma ikiwepo mabati, saruju, mbao na vifaa vya ujenzi; alipoulizwa akasema kaelekezwa na huyo fisadi mdogo Ngonyani. Akaulizwe, taarifa zipo pale! Mali za shule unahamisha unapeleka wapi? Hata walimu wa shule ya msingi Magereza wanalijua hilo!

5: Kuna fedha zilipelekwa shule ya msingi Magereza za miradi za shule ya msingi Njoro EP4R ..why fedha hizo zipelekwe Magereza ilhali hata shule ya Msingi Njoro ina Akaunti? Nawaambia ukweli ni katika upigaji wa hizo fedha! Eti ukitaka kununua vifaa anayesaini ni mkuu wa shule ya Magereza ambaye ni rafiki mkubwa wa Ngonyani. Fuatilieni miradi ya Magereza vs Njoro. Lile lilikuwa lango kuu la wizi wa fedha za umma..!

6: Huyo huyo mkuu wa shule ya magereza akishirikiana na boss wake wamezimiliki nyumba za shule mbili za shule ya msingi Magereza wakishirikiana kuwahamisha walimu waliokuwa wanakaa hapo na hizo nyumba moja kufanya danguro ambapo Mkuu huyo wa shule amemuweka kimada wake Mwalimu Elizabeth na huyo boss wake Ngonyani akipata Mwanamke hapo ndipo guest yao! (Abanwe huyu mkuu siri zote anazijua! Waulizeni Mwalimu Marygorate M. wa uhuru na Jackline M. wa Shaurimoyo kilichowakuta shule ya Magereza. Tena kuna walimu wengine waligomea kuhama! Walimuhamisha mama wa watu anaitwa Irene C. na kumpeleka shule ya Shirimatunda ili aachie nyumba lakini mama huyo alichoka uonevu akaenda kupiga kelele pale Manispaa akiwa na baba yake mgonjwa aliyefariki baadae kwa manyanyaso hayo (mtafuteni huyu mama).

7: Atafutwe Mwalimu mkuu wa Chemchem anaitwa Mashauri awaeleze anachopitia sasa baada ya kunyimwa mradi wa Covid 19 wa madarasa manne kwa kukataa kutoa mlungula alioombwa na huyu Ngonyani! Alitaka milioni mbili lakini Mwalimu Mashauri akatoa elfu ishirini, matokeo yake mradi wa covid haukupelekwa shuleni kwake ukapelekwa shule ya Msingi Langoni! Nendeni Langoni mtajionea

8: Lile jengo la SACCOS ambalo lipo katika eneo la shule ya msingi Uhuru, afisa elimu Ngonyani na timu yake wamechukua mkataba wa milioni mia mbili (200Mil) na kukabidhi eneo la shule kwa Saccos ili wajenge ofisi zao. Je, hii ni haki kuuza sehemu ya Shule? Na je hizo pesa zimeingizwa wapi? Kwenye akaunti ipi?

9: Kuna miradi imepelekwa shule ya Msingi Uhuru ya kujenga Ukumbi wa starehe! Jamani hivi hizo pesa kuna upungufu mkubwa wa madarasa wao wanaenda kujenga kumbi za starehe kweliiii? Tunakwamisha kwa makusudi Mama yetu Mpendwa Samia Suluhu Hassan katika jitihada zake za kuondoa uhaba wa madarasa wao wanajenga kumbi!!walimu walipohoji wakahamishwa mmoja kapelekwa shule ya Shirimatunda wafuatilieni walimu hao!!

10: Kuna walimu wamenyanyasika sana! Mwalimu Mkuu wa Njoro aliyehamishwa kwenda Pasua anaitwa Brigeti. Kuna Mwalimu Hando mpaka leo anapokea nusu mshahara mwaka wa tatu sasa!alitengenezewa zengwe la Mwalimu mkaidi baada ya kuchoka kuhamishwa hamishwa na kukataa ufisadi wa huyu boss Ngonyani wa kutaka kugawana fedha za uhamisho! Pia aliwahi kutolewa vyombo vyake nje kwenye nyumba ya shule pale Shirimatunda na vyombo kupelekwa bohari la serikali. Huu ni unyanyasaji mkubwa sana! Afisa Elimu Kata Theodora kisa katofautiana na boss akahamishwa. Kuna Mwalimu Jackline, Mwalimu Mary, Mwl Kiwale wa Kibo, huyu sasa mpaka leo kanyimwa mshahara kwa miezi mitano sasa kisa ana bifu na Ngonyani na wana mpango wa kumfukuza kazi kabisa! Wakati kuna walimu walevi kupindukia, watoro waliokithiri wengine walipoteaga miaka mpaka mitatu na wapo kazini why huyu !walimu? Wabakaji kama yule wa shule ya Msingi Muungano aliyebaka mwanafunzi pale shule akakutwa matokeo yake akahamishwa kwenda Msandaka au Msaranga kama sikosei wameachwa sasa wanataka wamfukuze kazi huyu Mwl Kiwale wakati alipata matatizo ya mirathi ya baba yake yeye akiwa kama msimamizi. Taarifa zote tunazo hakuna Mwalimu wa Moshi asiyejua hili tatizo la Afisa Elimu na huyu Mwalimu..walimu hawa watafutwe

11: Atafutwe dereva aliyekuwa anamuendesha huyu Afisa Elimu na aseme kilichomfanya akamkataa huyu boss! Haiwezekani wewe ulitumie gari la ofisi kufanyia ngono humo ndani na kumuamrisha dereva asubiri nje mpaka umalize haja zako! Je, ni sahihi kwa mtu mzima kama yule kupeperushwa? Ilifika wakati alichoka akakataa kuendesha hilo gari na kupelekea kumuweka mtu wake ambaye ndipo wakaenda kuliangusha gari la Serikali likapotelea huko mpaka leo.

12: Atafutwe Afisa Elimu Taaluma anaitwa Urasa amekuwa mhanga wa haya matatizo ya unyanyasaji! Yule boss wetu Mungu amlinde, amekuwa akijitoa sana kutafuta haki za walimu na hata kuipaisha taaluma lakini ndio kawa chungu ya boss na kutaka kumng'oa hapo ofisini.. Boss Ngonyani ameshaandika notice nyingi TAMISEMI kutaka aondolewe lakini busara za viongozi wetu wa TAMISEMI zilitumika.

13: Huyu Boss Ngonyani anashiriki kuwabadilishia walimu home of domicile ili kupunguza fedha wanazolipwa kwaajili ya nauli..sasa cha kuchekesha katika mafaili inaonyesha ile ya awali lkn mwalimu anapewa barua isiyo rasmi ya kubadilishiwa..hapo kuna upigaji wa fedha za walimu za nauli kwa kutumia janja hiyo!!kagueni malipo ya nauli mwaka huu na mwaka jana walimu wengi wameumizwa hapo !!je ni sahihi mwalimu kubadilishiwa home of domicile bila kumshirikisha??ushahidi upo wa walimu hao!!

14: Kuna wanafunzi walilawitiwa wakiwa tisa (9) shule ya Msingi Chemchem na mtu anaitwa babu Yahaya, kesi ilisimamiwa vizuri na Mwenyekiti wa Mtaa wa Sokoni na Mratibu kata wa kipindi hicho bwana Kiwale wakamkamata mhusika na kumfikisha kwenye vyombo vya sheria na mpaka kesi ikaenda mahakamani, walilisimamia mpaka saa nane usiku majibu yakatolewa na watoto wanne wakathibitika kuingiliwa na kulawitiwa! Lakini huyu boss alipokea rushwa ya shilingi milioni tano na kesi ikaishia hapo na Huyu Mwalimu Kiwale ambaye alikuwa afisa elimu kata akatengenezewa zengwe na kushushwa cheo na kwenda kufundisha shule ya Kibo! Fuatilieni hii kesi mtuhumiwa yupo mtaani anaendelea kuharibu watoto wa watu.

Kwa leo nawashukuru sana naomba Mungu awatangulie na pia Mwalimu Calvin aachiwe huru kabla hatua zingine hazijachukuliwa.

Ameen amani ya Bwana itawale katika anga ya Moshi Manispaa!

Mwalimu Mazalendo.
I haya basi ingieni magotini,Mungu hujibu kwa haki
 
Back
Top Bottom