Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Wewe ndio mpumbavu!Katika comment za hovyo kutolea mwaka huu hii Ni namba moja. Huyo diwani wa ccm Ni chadema? Hizo Kodi za miamala zinaangalia chama? Kweli kichwa hicho Ni fuvu lililosafishwa kwa sabini na jik ili isibaki harufu hata ya ubongo. P..bafu
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi bungeni wewe na watz wengine mlikuwa busy kushangilia kukamatwa kwa Sabaya! Akili zote mlielekeza kwa sabaya huku mwigulu akifanya yake bungeni!
Sasa acheni kulia