Moshi mweupe kesi ya Sabaya

Moshi mweupe kesi ya Sabaya

Katika comment za hovyo kutolea mwaka huu hii Ni namba moja. Huyo diwani wa ccm Ni chadema? Hizo Kodi za miamala zinaangalia chama? Kweli kichwa hicho Ni fuvu lililosafishwa kwa sabini na jik ili isibaki harufu hata ya ubongo. P..bafu
Wewe ndio mpumbavu!

Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi bungeni wewe na watz wengine mlikuwa busy kushangilia kukamatwa kwa Sabaya! Akili zote mlielekeza kwa sabaya huku mwigulu akifanya yake bungeni!

Sasa acheni kulia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu Sabaya wakati anakamatwa machadema yalishangilia sana humu yakasahau hata kinachoendelea bungeni ndio yanalia sasa hivi
Kwani ni kipi kingeweza kuzuia yanayoendelea bungeni,wakati ni kijiwe cha unyang'anyi cha ccm?tumia hata mgogo basi kama ubongo huna
 
Kwani ni kipi kingeweza kuzuia yanayoendelea bungeni,wakati ni kijiwe cha unyang'anyi cha ccm?tumia hata mgogo basi kama ubongo huna
Sasa mnapiga kelele sasa hivi za nini wakati ilipokuwa inawasilishwa bajeti nyie mlikuwa mnamdemkia mama kwamba anaupiga mwingi kwa kumkamata sabaya?
 
Kwa sababu mmezoea kudandia gari kwa mbele!

Hata wakati wanapitisha hii bajeti nyie mlikuwa busy kushangilia kukamatwa kwake mkisema mama anaupiga mwingi

Mkuu, kwani kuna namna bavicha au hata uvccm au yeyote nje ya Bunge anaweza kuzuia bajeti isipitishwe?? Una maana zile “ndiioooo” zingewezwa kuzuiwa???
 
Wanaharakati walikuwa busy na petisheni ya dimondi na BET na kumpigia kura Bana boy🤣🤸🐒
Hamna kitu iliniboa kwa hao wanachadema kama hii. Mambo kibao ya muhimu ya kuwahamasisha wananchi na wanasiasa wafanye bado eti mimtu kutwa nzima inamkandia msanii ambae wala hana hata muda nao.

Sijui ni mdudu gani aliwaingia wanaharakatu wale.
 
Mkuu, kwani kuna namna bavicha au hata uvccm au yeyote nje ya Bunge anaweza kuzuia bajeti isipitishwe?? Una maana zile “ndiioooo” zingewezwa kuzuiwa???
Kelele zingekuwa nyingi kama zile za kusaini petishen ili Diamond atolewe kwenye tuzo za bet au zile za kushangilia mama alipofikishwa sabaya kisongo, angalau kina ndugai wangeshtuka na kubadili msimamo
 
Wanawatafutia urahisi wa kulipa faini na kuachiwa huru...
 
Yes msaidizi wa dukani walipoenda kupokonya pesa alipoulizwa boss wake yuko wapi na kushindwa kunyoosha maelezo anakalishwa chini anavuliwa viatu, anasachiwa anapewa mateso kwa masaa kadhaa wanaondoka na kila kitu, hata kama sio Sabaya anayechukua kwa mkono wake basi hiyo 35,000 inakua imechukuliwa na hao vibaka wake wa uvccm alikuwa anatembea nao kila mahali.
Kwenye maelezo wanakuwa ni wote wamefanya uhalifu huo.

Hii kambale ina kesi nyingi za kujibu pambaf kabisa.
na utashangaa anavyotoka kiulainiii kesi ya elfu 35 na tecno
 
Wewe ndio mpumbavu!

Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kuongeza kodi bungeni wewe na watz wengine mlikuwa busy kushangilia kukamatwa kwa Sabaya! Akili zote mlielekeza kwa sabaya huku mwigulu akifanya yake bungeni!

Sasa acheni kulia
Sabaya alikamatwa lini na bajeti imesomwa lini?
 
Kwa sababu mmezoea kudandia gari kwa mbele!

Hata wakati wanapitisha hii bajeti nyie mlikuwa busy kushangilia kukamatwa kwake mkisema mama anaupiga mwingi
Kwa Yale maumbwa mliyoyajaza bungeni nani asingepitisha? Yakipigiwa mruzi yote yanaenda upande mmoja.
 
Siamini kwamba huyu jamaa ametengenezewa kesi ya kubumba kwa sababu kuna ile video ya mfanya biashara ambae alikuwa analalamika kuhusu uporaji wa huyu jamaa.

Labda CCM wanataka wamsafishe ila he is guilty indeed though court haijamuhukumu.
 
Hivi amepimwa akili kwanza huyu mhuni?
Awamu ya 5 ilikuwa na wahuni wengi ambao naamini pia ni wagonjwa wa akili.
 
anaweza kushinda kwa kuigeuza hiyo kesi ya uhujumu kuwa alikuwa anafanya kwa maslahi mapana ya nchi na ikaonyeshwa kuwa hakuhujumu kwa manufaa yake binafsi anatoka mtashangaa
Comrade punguza assumptions za kwenye movies jikite kwenye uhalisia.
 
Back
Top Bottom