Moshi: Mzee ahukumiwa kwenda jela miaka 20 kwa kusafirisha mirungi

Moshi: Mzee ahukumiwa kwenda jela miaka 20 kwa kusafirisha mirungi

Sasa kama ni vijijini waumia nn? Dada zako na nduguzo wanajua ndo town. Mmezoea kuishi mabandani lazima roho ikupwite. Unafundisha wapi? Ikuini? Ama halmashauri hapo?[emoji23][emoji23][emoji23] tutajie kijijini kwako

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mimi tangu lini nikawa Mwalimu?
 
Hivi mirungi ina athari gani ktk jamii?

Inchi hii kuna watu wana roho mbaya sn.
 
Tumia akili unaposoma comment,elewa comment kabla ya kukurupuka,kuna sehemu nimesema nimefikia conclusion kua ametelekezwa?soma tena comment na uzingatie alama ya kuuliza (?)
Umeelewa maana ya conclusion kwenye hii context?Tuanzie hapo.
 
Hua sibishani na vitoto vya Shule,hivyo viswali vyako subiri waje watoto wenzako.
Anayekimbilia matusi ndio anaonyesha maturity rate yake.
Mkuu nilikuwa sibishani na wewe nilikuwa najaribu kuelewa.Mimi sisomi mkuu na nadhani mimi ni senior sana kwako.Nimezaliwa mwaka 1963 wewe je?
Una assume tu hivyo sio kosa lako.
 
Mpaka Ukiona Katoboa Ujue Amepiga Deal Haramu Za Kutosha
Oops!! Alikuwa Anajiandaa Na Christmas
Krismas anaanza kuiandaa mwezi wa tatu, Kwa nini isiwe pasaka basi? Kakamatwa 2017, pengine hukusoma habari yenyewe.
 
Back
Top Bottom