Moshi unafuka,Diamond amekataa Lemutuz kurudia wimbo wa "tatizo kwetu Mbagala"

Kwetu downtown [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Kwani huyu jamaa kawafanya nini wabongo maana kila mtu anamponda .............. mbona mi namuona yuko pisi sana ???
 
Kwani huyu jamaa kawafanya nini wabongo maana kila mtu anamponda .............. mbona mi namuona yuko pisi sana ???

Mkuu utani tu.

Wengi wetu tunamkubali sana akili kubwaz nikiwemo mimi, ningependa siku moja aingie bongo movie akachuane na wakina JB..
 
50+ miaka 3 ilopita!!! Dah! Ukubwa dawa lakini. Msaga sumu mpokee atakufaa
 
Le Mutuz ana miaka 61?

Watu wamejuaje? Walimzaa wao?

Halafu watu wanafiki kweli. Jamaa akianza kuponda wabeba maboksi anaonekana wa maana. Anaamika.

Lakini ikija kwenye mambo yake mengine mnamdhihaki.
 
Unamzungumzia mtaalamu wa kutwanga fotoo na le mabebez wakati hajawahi hata kuwaonja...
 
Jamani samahani kuna mtu aliwai nipa ubuyu eti lemutuz ndio mmiliki wa JF....tafadhali naomba kupewa jibu sahihi nimalize mgogoro na huyu jamaa yangu.
 

Naweza mpataje huyu mtu....nipatie waya wake nimpandie hewani ila sio michongo ya pesa....ni mishe tu
 
[emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila huyu jamaa huwa mnamuonea sana, LE BIG BICHWAAAAZ
 
Huyu jamaa akifa atakumbukwa kwa mabaya tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…