Moshi unafuka,Diamond amekataa Lemutuz kurudia wimbo wa "tatizo kwetu Mbagala"

Moshi unafuka,Diamond amekataa Lemutuz kurudia wimbo wa "tatizo kwetu Mbagala"

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilipoona hii quote hata kabla sijafungua nimecheka sana.
Mwanetu MSAGA SUMU nilimuuliza akaniambia akileta thread za hivi mods wanazifuta.

Hawa watu sijui vipi bwana,hakuna burudani kubwa huku celebrities kama news za Le Mutuz kutoka kwa my son.
I really miss those days
Damn!

Msijali wadau (bibi mkubwa +Raimundo) kuna kigongo kimoja nakiandaa cha Lemkubwaz kuhusu suala la Donald Trump na mtikisiko wa bongo social media

Please do it ASAP tuuanze mwaka na vicheko.

Halafu The bold anaandika, Kumbe ni MSAGA SUMU! Eti source mimi mwenyewe.
 
Huyu jamaa anavyopenda kujigamba mitandaoni kuwa yeye ni akili kubwa sasa kulikoni kukopi kazi za wengine kwanini asifanye kazi yake mwenyewe bila kuigiza vya watu....!
 
Back
Top Bottom