Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilipoona hii quote hata kabla sijafungua nimecheka sana.
Mwanetu MSAGA SUMU nilimuuliza akaniambia akileta thread za hivi mods wanazifuta.
Hawa watu sijui vipi bwana,hakuna burudani kubwa huku celebrities kama news za Le Mutuz kutoka kwa my son.
I really miss those days
Damn!
Msijali wadau (bibi mkubwa +Raimundo) kuna kigongo kimoja nakiandaa cha Lemkubwaz kuhusu suala la Donald Trump na mtikisiko wa bongo social media