[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilipoona hii quote hata kabla sijafungua nimecheka sana.
Mwanetu
MSAGA SUMU nilimuuliza akaniambia akileta thread za hivi mods wanazifuta.
Hawa watu sijui vipi bwana,hakuna burudani kubwa huku celebrities kama news za Le Mutuz kutoka kwa my son.
I really miss those days
Damn!