Moshi: Waliotuhumiwa kuua walinzi wa Asante Tours na kupora Tsh. Milioni 65 washinda kesi

Moshi: Waliotuhumiwa kuua walinzi wa Asante Tours na kupora Tsh. Milioni 65 washinda kesi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Walioachiwa huru ni Erick Teete, Fadhili Mohamed, John Daniel, Nassoro Nassoro, Paschal Mushi, Ibrahim Mkindi, Robert Massawe na Juma Hamis Ramadhan.

Uamuzi huo umetolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Moshi dhidi ya watuhumiwa walioshtakiwa kwa mauaji ya walinzi wa kampuni ya Utalii ya Ahsante Tours pamoja na uporaji wa Tsh. Milioni 65.5 Julai 3, 2016.

Watuhumiwa wameachiwa huru baada ya Jaji Adrian Kilimi kuukataa ushahidi wa Jamhuri wa maelezo ya Onyo na Video zilizorekodiwa na Polisi akisema Ushahidi wa Jamhuri ulitakiwa kuungwa mkono na Ushahidi Huru na hivyo Jamhuri imeacha mashaka kwa kushindwa kuthibitisha Mashtaka.

=========================

Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, imewaachia huru washitakiwa wote wanane waliokuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya walinzi wa kampuni ya kuhudumia watalii ya Ahsante Tours, mauaji ambayo yaliambatana na uporaji wa Sh65.5 milioni.

Mauaji na uporaji huo wa fedha zikiwamo Dola 23,300 za Marekani na Sh15 milioni za Tanzania, yaliyotokea Julai 3, 2016 yaliutikisa mji wa Moshi kutokana na kampuni hiyo kuwa ya pili kwa ukubwa, ikitanguliwa na kampuni ya Zara Tours.

Walioachiwa huru na Jaji Adrian Kilimi, ni Erick Teete, Fadhili Mohamed, John Daniel, Nassoro Nassoro, Paschal Mushi, Ibrahim MkindI maarufu kwa jina la Ibra, Robert Massawe maarufu kwa jina la Kipara na Juma Hamis Ramadhan.

Upande wa mashitaka ulikuwa unadai kuwa siku ya tukio huko eneo la Shanty Town katika Manispaa ya Moshi, washitakiwa waliwaua kwa makusudi na bila uhalali, Dominic Cheddy na Omary Idd Amin waliokuwa walinzi wa Ahsante Tours.

Maelezo ya tukio hilo yaliyowasilishwa mahakamani ni kwamba siku ya tukio marehemu hao walikuwa wakitekeleza jukumu lao la ulinzi, ndipo usiku wa siku hiyo washitakiwa walidaiwa kuvamia ofisi hiyo na kupora fedha hizo.

Ni katika kipindi hicho cha uporaji, ndipo washitakiwa walidaiwa kuchukua maamuzi ya kuwaua walinzi hao baada ya kubaini kuwa mlinzi mmoja alikuwa amemtambua mmoja wao hivyo kuhofia kuwa angewataja washitakiwa.

Miili ya walinzi hao iligunduliwa asubuhi ya saa moja na katika upelelezi wa Polisi, ndipo mshitakiwa wa pili, Fadhil Mushi alikamatwa na katika mahojiano ilielezwa kuwa alikiri kushiriki mauaji hayo na kuwataja washitakiwa wenzake hao saba.

Ilielezwa na mashahidi wa upande wa mashitaka kuwa katika mahojiano polisi wakati wa kuchukua maelezo yao ya onyo, washitakiwa wote walikiri kufanya mauaji hayo na washitakiwa wanne, mbali na maelezo walichukuliwa video.

Washitakiwa hao ni mshitakiwa wa kwanza, Erick Teete, wa pili, Fadhili Mohamed au Mushi, wa tatu, John Daniel na mshitakiwa wa 7, Robert Massawe au Kipara na katika kuthibitisha shitaka, Jamhuri iliita mashahidi 13 na kuwasilisha vielelezo 15.

Vielelezo vilivyowasilishwa kortini ni pamoja na maelezo ya onyo ya washitakiwa wote wanane, ripoti za uchunguzi wa miili ya marehemu (postmortem report) na baada ya kusomewa mashitaka yao, washitakiwa wote wanane waliyakanusha.

Ushahidi wa Jamhuri ulivyokuwa

Mmoja wa mashahidi ni aliyekuwa mkuu wa Upelelezi (OC-CID) wilaya ya Moshi, Elias Haway ambaye alieleza namna alivyopata taarifa za uwepo wa tukio hilo na baadaye Agosti 28, 2016 alipata taarifa mtuhumiwa mmoja yuko Arusha.

Alituma timu ya makachero ambao walifanikiwa kukamata baadhi ya washitakiwa ambao ni mshitakiwa wa 7 (Kipara), na mshitakiwa wa kwanza (Teete) ambao katika mahojiano na polisi walikiri kushiriki tukio hilo na kutaja washirika.

Katika ushahidi wake huo, shahidi huyo alieleza kuwa mshitakiwa Robert Massawe alimtaja Erick Tetee, Nassoro Nassoro, Juma Hamis na Ibra wakati Tetee waliwataja Massawe au Kipara, Nassoro Nassoro, Big na Ibrahim Mkindi.

Mashahidi wengine wanane ambao ni maofisa wa polisi, ushahidi wao ulikuwa hautofautiani na wa bosi wao na kwa sehemu kubwa walieleza walivyokagua eneo la tukio, kukamata washitakiwa na kuandika maelezo yao ya onyo.

Raia pekee waliotoa ushahidi wao ni Dk Patrick Amsi aliyefanya uchunguzi wa miili ya marehemu, Tom Swai aliyekuwa mtunza stoo Ahsante Tours na Gilbert Shangali aliyekuwa meneja walioeleza walivyokuta ofisi zao zimevunjwa.

Utetezi wa washitakiwa

Mshitakiwa wa kwanza, Eric Teete alikanusha mashitaka hayo akisema alikamatwa Agosti 25, 2016, alikamatwa kutokana na ugomvi uliotokea siku hiyo eneo la Ilboru kati yake na askari aitwaye Hamis aliyeahidi kumlipizia kisasi.

Alishangaa siku hiyo saa 5:00 usiku mlango ukigongwa na waliingia maofisa watano wa polisi ambao walimchukua hadi kituo cha Polisi Arusha ambapo siku iliyofuata alihamishiwa kituo kikuu cha Polisi Moshi na kushitakiwa kwa mauaji.

Mshitakiwa wa pili, Fadhil Mohamed, alidai alikamatwa na Polisi Jijini Arusha Agosti 26,2016 wakati akiuza viatu ambapo polisi walimshuku labda vimeibwa mahali, ndipo akakamatwa na kufungwa kitambaa cheusi usoni.

Anadai kilipofunguliwa, alijikuta yuko kituo kikuu cha Polisi Moshi ambapo alipelekwa katika chumba cha mateso na kuteswa na kulazimishwa kusaini karatasi alizoletewa na polisi na kama asingefanya hivyo wangemuua.

Mshitakiwa wa tatu, John Daniel alisema yeye alikamatwa Septemba 2, 2016 wakati anasafiri kutoka Arusha kwenda Moshi na polisi walipompekua walimkuta na msokoto mmoja wa bangi, alipelekwa chumba cha mateso na kuteswa.

Huko kama mshitakiwa mwenzake alitakiwa kusaini karatasi zilizoandikwa na alizisaini baada ya kudai kuteswa, huku mshitakiwa wa 4, Nassoro akidai alikwenda kituo cha Polisi Moshi kumdai koplo Charles nguo zake, akashangaa amekamatwa.

Kwa upande wake, mshitakiwa wa tano, Paschal Mushi alijitetea kuwa alikamatwa Agosti 22, 2016 huko Majengo akituhumiwa kuwa na mali ya wizi na alipopelekwa kituo kikuu mjini Moshi, alidai aliteswa na kutakiwa kusaini karatasi ambazo hakuzielewa.

Mshitakiwa wa sita, Ibrahim Mkindi yeye alidai kukamatwa Agosti 28, 2016 eneo la Kaloleni Moshi na kupelekwa katika chumba cha mateso ambapo kama wenzake, alitakiwa kusaini karatasi zenye maelezo na kudai kuwa alizisaini kutokana na kipigo.

Kwa upande wake, mshitakiwa wa saba, Robert Massawe alijitetea akidai kuwa alikamatwa Agosti 24, 2016 huko Arusha na kusafirishwa hadi Moshi na kupelekwa chumba cha mateso akitakiwa kusaini karatasi fulani na kudai alilazimika kuzisaini.

Mshitakiwa wa 8, Juma Ramadhan alidai Septemba 4, 2016 usiku wa manane alikamatwa na polisi nyumbani kwake akiwa na bangi ambapo alipelekwa chumba cha mateso na kudai kuteswa ili asaini karatasi fulani, na ilimlazimu kuzisaini.

Hukumu ya Jaji Kilimi

Katika hukumu yake hiyo jaji aliukataa ushahidi huo wa maelezo ya onyo ya washitakiwa na mikanda ya video iliyorekodiwa na maofisa wa Polisi akisema ushahidi wa namna hiyo ulitakiwa uungwe mkono na ushahidi huru.

“Nakubaliana na upande wa utetezi katika majumuisho yao ya mwisho kuwa hakuna shahidi hata mmoja aliyetoa ushahidi kwamba alishuhudia mauaji haya hivyo ushahidi wote wa kesi hii ni wa kimazingira,” alisema Jaji Kilimi.

Jaji Kilimi alisema maelezo ya onyo ya ungamo ya mshitakiwa mmoja kama yanamhusisha mshitakiwa mwingine hayawezi kuchukuliwa kuwa ni ushahidi umeungwa mkono lazima upatikane ushahidi mwingine unaounga mkono.

Ni kutokana na kutopatikana ushahidi huru wa kuunga mkono maelezo ya onyo ya washitakiwa na video walizorekodiwa, Jaji alisema upande wa ushahidi wa upande wa mashitaka, umeshindwa kuthibitisha shitaka hilo na kuacha mashaka.

MWANANCHI
 
Naona mhimili wa Mahakama unajitahidi kubana Polisi na Jamhuri wafanye kazi kwa weledi ili haki iweze kupatikana bila kuwepo shaka yoyote. Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania mjini Moshi amechora mstari nini kinatakiwa kifanyike ili kuweza kuishawishi (move) mahakama bila shaka yoyote kuhusu tuhuma hizi zilizo nzito na kusikitisha katika kesi hii husika iliyoletwa mbele ya Mahakama ...

IN THE HIGH COURT OF TANZANIA MOSHI DISTRICT REGISTRY AT MOSHI ORIGINAL JURISDICTION CRIMINAL SESSION CASE NO. 44 OF 2019

REPUBLIC

VERSUS

1. ERICK WILSON TEETE
2. FADHILI MOHAMED @ MUSHI
3. JOHN JAMES DANIEL
4. NASSORO ALFAN NASORO
5. PASCHAL JOSEPH MUSHI
6. IBRAHIM ATHUMAN MKINDI IBRA
7. ROBER JOHN MASSAWE @ KIPARA
8. JUMA HAMIS RAMADHANI

JUDGMENT 7th & 14th December, 2022 A.P.KILIMI. J.:

In this case, eight accused persons, namely Erick Wilson Teete, Fadhili Mohamed @ Mushi, John James Daniel; Nassoro Aifan Nasoro, Paschal Joseph Mushi, Ibrahim Athuman Mkind'i IBRA, Robert John Massawe ......

....held that for circumstantial evidence to ground a valid conviction, the following three 3 conditions must be met;(i)the circum stances from which an inference o f g u iit is sought to bedrawn, must be cogently and firmly established.(ii) those circum stances sh o u ld be o f a definite tendencyunerringly pointing towards the guilty of the accused; and(Hi) the circum stances taken cumulatively, sh o u ld form a chain so,complete that there is no escape from conclusion that withinall human possibility the crime was committed by the accusedand no one else. ”[Emphasis provided].(Also see Sarkar on Evidence, 15th Ed, Vol. 1, p. 63; Andrea v Republic, Criminal Appeal No. 231 of 2005 (unreported) also see Simon Musoke VRepublic [ 1958] EA 715 RV Kipkuring arap Koske [1949] EACA135; Abdul Muganyizi VR [1980JTLR 263; Protas John Kitogo & AnotherVR [1992] TLR 51 and Hamidu Mussa Themetheo &. Another VR[1993] U R 125). From the said established authorities, it is common ground that for circumstantial evidence to found a conviction, it must be such that it irresistibly points to the guilt of the accused.31


According to the evidence, the prosecution managed to tender caution statements of all eight accused person charged in this case, however, despite both were admitted as exhibits by this court both of the said caution statements were retracted by accused persons. Both rulings in respect to trial within a trial, the court reserved the issues of time compliance of recording statements as per law and certification of the said statements by the accused persons.This was also reflected in the final submission, when Mr Emmanuel Antony who represented all defence counsel when, argued that, those statement were not taken according to section 57 of CPA Cap. 20, he further added that, in this case all statements tendered no anyone of the accused person signed certificate. He cited the case of Ibrahim Issa and 2 othersv. R Criminal Appeal No. 159 of 2006 CAT at Tabora.While the Mr. Kainunura Senior State Attorney submitted that the prosecution witnesses at the trial explained that they gave all their rights to accused, he further said others are procedural irregularities which does not affect the content of the said caution statements and even if it seems that was not read to accused, it is not fatal to jeopardies the right of the accused .....

Soma hukumu yote source : Republic vs Erick Willson Teete & Others (Criminal Session Case 44 of 2019) [2022] 64 (14 December 2022); | Tanzlii
Court name
Labour Court of Tanzania
Registry
High Court Moshi Registry
Case number
Criminal Session Case 44 of 2019

Republic vs Erick Willson Teete & Others (Criminal Session Case 44 of 2019) [2022] 64 (14 December 2022);​

Media neutral citation
[2022] 64
 
Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, imewaachia huru washitakiwa wote wanane waliokuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya walinzi wa kampuni ya kuhudumia watalii ya Ahsante Tours, mauaji ambayo yaliambatana na uporaji wa Sh65.5 milioni.

Mauaji na uporaji huo wa fedha zikiwamo Dola 23,300 za Marekani na Sh15 milioni za Tanzania, yaliyotokea Julai 3, 2016 yaliutikisa mji wa Moshi kutokana na kampuni hiyo kuwa ya pili kwa ukubwa, ikitanguliwa na kampuni ya Zara Tours.

Walioachiwa huru na Jaji Adrian Kilimi, ni Erick Teete, Fadhili Mohamed, John Daniel, Nassoro Nassoro, Paschal Mushi, Ibrahim MkindI maarufu kwa jina la Ibra, Robert Massawe maarufu kwa jina la Kipara na Juma Hamis Ramadhan.

Upande wa mashitaka ulikuwa unadai kuwa siku ya tukio huko eneo la Shanty Town katika Manispaa ya Moshi, washitakiwa waliwaua kwa makusudi na bila uhalali, Dominic Cheddy na Omary Idd Amin waliokuwa walinzi wa Ahsante Tours.

Maelezo ya tukio hilo yaliyowasilishwa mahakamani ni kwamba siku ya tukio marehemu hao walikuwa wakitekeleza jukumu lao la ulinzi, ndipo usiku wa siku hiyo washitakiwa walidaiwa kuvamia ofisi hiyo na kupora fedha hizo.

Ni katika kipindi hicho cha uporaji, ndipo washitakiwa walidaiwa kuchukua maamuzi ya kuwaua walinzi hao baada ya kubaini kuwa mlinzi mmoja alikuwa amemtambua mmoja wao hivyo kuhofia kuwa angewataja washitakiwa.

Miili ya walinzi hao iligunduliwa asubuhi ya saa moja na katika upelelezi wa Polisi, ndipo mshitakiwa wa pili, Fadhil Mushi alikamatwa na katika mahojiano ilielezwa kuwa alikiri kushiriki mauaji hayo na kuwataja washitakiwa wenzake hao saba.

Ilielezwa na mashahidi wa upande wa mashitaka kuwa katika mahojiano polisi wakati wa kuchukua maelezo yao ya onyo, washitakiwa wote walikiri kufanya mauaji hayo na washitakiwa wanne, mbali na maelezo walichukuliwa video.

Washitakiwa hao ni mshitakiwa wa kwanza, Erick Teete, wa pili, Fadhili Mohamed au Mushi, wa tatu, John Daniel na mshitakiwa wa 7, Robert Massawe au Kipara na katika kuthibitisha shitaka, Jamhuri iliita mashahidi 13 na kuwasilisha vielelezo 15.

Vielelezo vilivyowasilishwa kortini ni pamoja na maelezo ya onyo ya washitakiwa wote wanane, ripoti za uchunguzi wa miili ya marehemu (postmortem report) na baada ya kusomewa mashitaka yao, washitakiwa wote wanane waliyakanusha.

Ushahidi wa Jamhuri ulivyokuwa

Mmoja wa mashahidi ni aliyekuwa mkuu wa Upelelezi (OC-CID) wilaya ya Moshi, Elias Haway ambaye alieleza namna alivyopata taarifa za uwepo wa tukio hilo na baadaye Agosti 28, 2016 alipata taarifa mtuhumiwa mmoja yuko Arusha.

Alituma timu ya makachero ambao walifanikiwa kukamata baadhi ya washitakiwa ambao ni mshitakiwa wa 7 (Kipara), na mshitakiwa wa kwanza (Teete) ambao katika mahojiano na polisi walikiri kushiriki tukio hilo na kutaja washirika.

Katika ushahidi wake huo, shahidi huyo alieleza kuwa mshitakiwa Robert Massawe alimtaja Erick Tetee, Nassoro Nassoro, Juma Hamis na Ibra wakati Tetee waliwataja Massawe au Kipara, Nassoro Nassoro, Big na Ibrahim Mkindi.

Mashahidi wengine wanane ambao ni maofisa wa polisi, ushahidi wao ulikuwa hautofautiani na wa bosi wao na kwa sehemu kubwa walieleza walivyokagua eneo la tukio, kukamata washitakiwa na kuandika maelezo yao ya onyo.

Raia pekee waliotoa ushahidi wao ni Dk Patrick Amsi aliyefanya uchunguzi wa miili ya marehemu, Tom Swai aliyekuwa mtunza stoo Ahsante Tours na Gilbert Shangali aliyekuwa meneja walioeleza walivyokuta ofisi zao zimevunjwa.

Utetezi wa washitakiwa

Mshitakiwa wa kwanza, Eric Teete alikanusha mashitaka hayo akisema alikamatwa Agosti 25, 2016, alikamatwa kutokana na ugomvi uliotokea siku hiyo eneo la Ilboru kati yake na askari aitwaye Hamis aliyeahidi kumlipizia kisasi.

Alishangaa siku hiyo saa 5:00 usiku mlango ukigongwa na waliingia maofisa watano wa polisi ambao walimchukua hadi kituo cha Polisi Arusha ambapo siku iliyofuata alihamishiwa kituo kikuu cha Polisi Moshi na kushitakiwa kwa mauaji.

Mshitakiwa wa pili, Fadhil Mohamed, alidai alikamatwa na Polisi Jijini Arusha Agosti 26,2016 wakati akiuza viatu ambapo polisi walimshuku labda vimeibwa mahali, ndipo akakamatwa na kufungwa kitambaa cheusi usoni.

Anadai kilipofunguliwa, alijikuta yuko kituo kikuu cha Polisi Moshi ambapo alipelekwa katika chumba cha mateso na kuteswa na kulazimishwa kusaini karatasi alizoletewa na polisi na kama asingefanya hivyo wangemuua.

Mshitakiwa wa tatu, John Daniel alisema yeye alikamatwa Septemba 2, 2016 wakati anasafiri kutoka Arusha kwenda Moshi na polisi walipompekua walimkuta na msokoto mmoja wa bangi, alipelekwa chumba cha mateso na kuteswa.

Huko kama mshitakiwa mwenzake alitakiwa kusaini karatasi zilizoandikwa na alizisaini baada ya kudai kuteswa, huku mshitakiwa wa 4, Nassoro akidai alikwenda kituo cha Polisi Moshi kumdai koplo Charles nguo zake, akashangaa amekamatwa.

Kwa upande wake, mshitakiwa wa tano, Paschal Mushi alijitetea kuwa alikamatwa Agosti 22, 2016 huko Majengo akituhumiwa kuwa na mali ya wizi na alipopelekwa kituo kikuu mjini Moshi, alidai aliteswa na kutakiwa kusaini karatasi ambazo hakuzielewa.

Mshitakiwa wa sita, Ibrahim Mkindi yeye alidai kukamatwa Agosti 28, 2016 eneo la Kaloleni Moshi na kupelekwa katika chumba cha mateso ambapo kama wenzake, alitakiwa kusaini karatasi zenye maelezo na kudai kuwa alizisaini kutokana na kipigo.

Kwa upande wake, mshitakiwa wa saba, Robert Massawe alijitetea akidai kuwa alikamatwa Agosti 24, 2016 huko Arusha na kusafirishwa hadi Moshi na kupelekwa chumba cha mateso akitakiwa kusaini karatasi fulani na kudai alilazimika kuzisaini.

Mshitakiwa wa 8, Juma Ramadhan alidai Septemba 4, 2016 usiku wa manane alikamatwa na polisi nyumbani kwake akiwa na bangi ambapo alipelekwa chumba cha mateso na kudai kuteswa ili asaini karatasi fulani, na ilimlazimu kuzisaini.

Hukumu ya Jaji Kilimi

Katika hukumu yake hiyo jaji aliukataa ushahidi huo wa maelezo ya onyo ya washitakiwa na mikanda ya video iliyorekodiwa na maofisa wa Polisi akisema ushahidi wa namna hiyo ulitakiwa uungwe mkono na ushahidi huru.

“Nakubaliana na upande wa utetezi katika majumuisho yao ya mwisho kuwa hakuna shahidi hata mmoja aliyetoa ushahidi kwamba alishuhudia mauaji haya hivyo ushahidi wote wa kesi hii ni wa kimazingira,” alisema Jaji Kilimi.

Jaji Kilimi alisema maelezo ya onyo ya ungamo ya mshitakiwa mmoja kama yanamhusisha mshitakiwa mwingine hayawezi kuchukuliwa kuwa ni ushahidi umeungwa mkono lazima upatikane ushahidi mwingine unaounga mkono.

Ni kutokana na kutopatikana ushahidi huru wa kuunga mkono maelezo ya onyo ya washitakiwa na video walizorekodiwa, Jaji alisema upande wa ushahidi wa upande wa mashitaka, umeshindwa kuthibitisha shitaka hilo na kuacha mashaka.

MWANANCHI
Bribe
 
Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, imewaachia huru washitakiwa wote wanane waliokuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya walinzi wa kampuni ya kuhudumia watalii ya Ahsante Tours, mauaji ambayo yaliambatana na uporaji wa Sh65.5 milioni.

Mauaji na uporaji huo wa fedha zikiwamo Dola 23,300 za Marekani na Sh15 milioni za Tanzania, yaliyotokea Julai 3, 2016 yaliutikisa mji wa Moshi kutokana na kampuni hiyo kuwa ya pili kwa ukubwa, ikitanguliwa na kampuni ya Zara Tours.

Walioachiwa huru na Jaji Adrian Kilimi, ni Erick Teete, Fadhili Mohamed, John Daniel, Nassoro Nassoro, Paschal Mushi, Ibrahim MkindI maarufu kwa jina la Ibra, Robert Massawe maarufu kwa jina la Kipara na Juma Hamis Ramadhan.

Upande wa mashitaka ulikuwa unadai kuwa siku ya tukio huko eneo la Shanty Town katika Manispaa ya Moshi, washitakiwa waliwaua kwa makusudi na bila uhalali, Dominic Cheddy na Omary Idd Amin waliokuwa walinzi wa Ahsante Tours.

Maelezo ya tukio hilo yaliyowasilishwa mahakamani ni kwamba siku ya tukio marehemu hao walikuwa wakitekeleza jukumu lao la ulinzi, ndipo usiku wa siku hiyo washitakiwa walidaiwa kuvamia ofisi hiyo na kupora fedha hizo.

Ni katika kipindi hicho cha uporaji, ndipo washitakiwa walidaiwa kuchukua maamuzi ya kuwaua walinzi hao baada ya kubaini kuwa mlinzi mmoja alikuwa amemtambua mmoja wao hivyo kuhofia kuwa angewataja washitakiwa.

Miili ya walinzi hao iligunduliwa asubuhi ya saa moja na katika upelelezi wa Polisi, ndipo mshitakiwa wa pili, Fadhil Mushi alikamatwa na katika mahojiano ilielezwa kuwa alikiri kushiriki mauaji hayo na kuwataja washitakiwa wenzake hao saba.

Ilielezwa na mashahidi wa upande wa mashitaka kuwa katika mahojiano polisi wakati wa kuchukua maelezo yao ya onyo, washitakiwa wote walikiri kufanya mauaji hayo na washitakiwa wanne, mbali na maelezo walichukuliwa video.

Washitakiwa hao ni mshitakiwa wa kwanza, Erick Teete, wa pili, Fadhili Mohamed au Mushi, wa tatu, John Daniel na mshitakiwa wa 7, Robert Massawe au Kipara na katika kuthibitisha shitaka, Jamhuri iliita mashahidi 13 na kuwasilisha vielelezo 15.

Vielelezo vilivyowasilishwa kortini ni pamoja na maelezo ya onyo ya washitakiwa wote wanane, ripoti za uchunguzi wa miili ya marehemu (postmortem report) na baada ya kusomewa mashitaka yao, washitakiwa wote wanane waliyakanusha.

Ushahidi wa Jamhuri ulivyokuwa

Mmoja wa mashahidi ni aliyekuwa mkuu wa Upelelezi (OC-CID) wilaya ya Moshi, Elias Haway ambaye alieleza namna alivyopata taarifa za uwepo wa tukio hilo na baadaye Agosti 28, 2016 alipata taarifa mtuhumiwa mmoja yuko Arusha.

Alituma timu ya makachero ambao walifanikiwa kukamata baadhi ya washitakiwa ambao ni mshitakiwa wa 7 (Kipara), na mshitakiwa wa kwanza (Teete) ambao katika mahojiano na polisi walikiri kushiriki tukio hilo na kutaja washirika.

Katika ushahidi wake huo, shahidi huyo alieleza kuwa mshitakiwa Robert Massawe alimtaja Erick Tetee, Nassoro Nassoro, Juma Hamis na Ibra wakati Tetee waliwataja Massawe au Kipara, Nassoro Nassoro, Big na Ibrahim Mkindi.

Mashahidi wengine wanane ambao ni maofisa wa polisi, ushahidi wao ulikuwa hautofautiani na wa bosi wao na kwa sehemu kubwa walieleza walivyokagua eneo la tukio, kukamata washitakiwa na kuandika maelezo yao ya onyo.

Raia pekee waliotoa ushahidi wao ni Dk Patrick Amsi aliyefanya uchunguzi wa miili ya marehemu, Tom Swai aliyekuwa mtunza stoo Ahsante Tours na Gilbert Shangali aliyekuwa meneja walioeleza walivyokuta ofisi zao zimevunjwa.

Utetezi wa washitakiwa

Mshitakiwa wa kwanza, Eric Teete alikanusha mashitaka hayo akisema alikamatwa Agosti 25, 2016, alikamatwa kutokana na ugomvi uliotokea siku hiyo eneo la Ilboru kati yake na askari aitwaye Hamis aliyeahidi kumlipizia kisasi.

Alishangaa siku hiyo saa 5:00 usiku mlango ukigongwa na waliingia maofisa watano wa polisi ambao walimchukua hadi kituo cha Polisi Arusha ambapo siku iliyofuata alihamishiwa kituo kikuu cha Polisi Moshi na kushitakiwa kwa mauaji.

Mshitakiwa wa pili, Fadhil Mohamed, alidai alikamatwa na Polisi Jijini Arusha Agosti 26,2016 wakati akiuza viatu ambapo polisi walimshuku labda vimeibwa mahali, ndipo akakamatwa na kufungwa kitambaa cheusi usoni.

Anadai kilipofunguliwa, alijikuta yuko kituo kikuu cha Polisi Moshi ambapo alipelekwa katika chumba cha mateso na kuteswa na kulazimishwa kusaini karatasi alizoletewa na polisi na kama asingefanya hivyo wangemuua.

Mshitakiwa wa tatu, John Daniel alisema yeye alikamatwa Septemba 2, 2016 wakati anasafiri kutoka Arusha kwenda Moshi na polisi walipompekua walimkuta na msokoto mmoja wa bangi, alipelekwa chumba cha mateso na kuteswa.

Huko kama mshitakiwa mwenzake alitakiwa kusaini karatasi zilizoandikwa na alizisaini baada ya kudai kuteswa, huku mshitakiwa wa 4, Nassoro akidai alikwenda kituo cha Polisi Moshi kumdai koplo Charles nguo zake, akashangaa amekamatwa.

Kwa upande wake, mshitakiwa wa tano, Paschal Mushi alijitetea kuwa alikamatwa Agosti 22, 2016 huko Majengo akituhumiwa kuwa na mali ya wizi na alipopelekwa kituo kikuu mjini Moshi, alidai aliteswa na kutakiwa kusaini karatasi ambazo hakuzielewa.

Mshitakiwa wa sita, Ibrahim Mkindi yeye alidai kukamatwa Agosti 28, 2016 eneo la Kaloleni Moshi na kupelekwa katika chumba cha mateso ambapo kama wenzake, alitakiwa kusaini karatasi zenye maelezo na kudai kuwa alizisaini kutokana na kipigo.

Kwa upande wake, mshitakiwa wa saba, Robert Massawe alijitetea akidai kuwa alikamatwa Agosti 24, 2016 huko Arusha na kusafirishwa hadi Moshi na kupelekwa chumba cha mateso akitakiwa kusaini karatasi fulani na kudai alilazimika kuzisaini.

Mshitakiwa wa 8, Juma Ramadhan alidai Septemba 4, 2016 usiku wa manane alikamatwa na polisi nyumbani kwake akiwa na bangi ambapo alipelekwa chumba cha mateso na kudai kuteswa ili asaini karatasi fulani, na ilimlazimu kuzisaini.

Hukumu ya Jaji Kilimi

Katika hukumu yake hiyo jaji aliukataa ushahidi huo wa maelezo ya onyo ya washitakiwa na mikanda ya video iliyorekodiwa na maofisa wa Polisi akisema ushahidi wa namna hiyo ulitakiwa uungwe mkono na ushahidi huru.

“Nakubaliana na upande wa utetezi katika majumuisho yao ya mwisho kuwa hakuna shahidi hata mmoja aliyetoa ushahidi kwamba alishuhudia mauaji haya hivyo ushahidi wote wa kesi hii ni wa kimazingira,” alisema Jaji Kilimi.

Jaji Kilimi alisema maelezo ya onyo ya ungamo ya mshitakiwa mmoja kama yanamhusisha mshitakiwa mwingine hayawezi kuchukuliwa kuwa ni ushahidi umeungwa mkono lazima upatikane ushahidi mwingine unaounga mkono.

Ni kutokana na kutopatikana ushahidi huru wa kuunga mkono maelezo ya onyo ya washitakiwa na video walizorekodiwa, Jaji alisema upande wa ushahidi wa upande wa mashitaka, umeshindwa kuthibitisha shitaka hilo na kuacha mashaka.

MWANANCHI
Polisi imezidi UKATILI
Ukikamatwa na polisi ujue kutoka huko ni muujiza kwa sababu wanazo kesi nyingi za uchunguzi na wanatafuta wanyonge wa kuwabambikizia.

Polisi wachunguzwe maana wamewaumiza raia wema wengi
 
Hakuna uchawi, watu wameshindwa kuithibitishia mahamal pasipo kuacha shaka.
 
Naona mhimili wa Mahakama unajitahidi kubana Polisi na Jamhuri wafanye kazi kwa weledi ili haki iweze kupatikana bila kuwepo shaka yoyote. Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania mjini Moshi amechora mstari nini kinatakiwa kifanyike ili kuweza kuishawishi (move) mahakama bila shaka yoyote kuhusu tuhuma hizi zilizo nzito na kusikitisha katika kesi hii husika iliyoletwa mbele ya Mahakama ...

IN THE HIGH COURT OF TANZANIA MOSHI DISTRICT REGISTRY AT MOSHI ORIGINAL JURISDICTION CRIMINAL SESSION CASE NO. 44 OF 2019

REPUBLIC

VERSUS

1. ERICK WILSON TEETE
2. FADHILI MOHAMED @ MUSHI
3. JOHN JAMES DANIEL
4. NASSORO ALFAN NASORO
5. PASCHAL JOSEPH MUSHI
6. IBRAHIM ATHUMAN MKINDI IBRA
7. ROBER JOHN MASSAWE @ KIPARA
8. JUMA HAMIS RAMADHANI

JUDGMENT 7th & 14th December, 2022 A.P.KILIMI. J.:

In this case, eight accused persons, namely Erick Wilson Teete, Fadhili Mohamed @ Mushi, John James Daniel; Nassoro Aifan Nasoro, Paschal Joseph Mushi, Ibrahim Athuman Mkind'i IBRA, Robert John Massawe ......

....held that for circumstantial evidence to ground a valid conviction, the following three 3 conditions must be met;(i)the circum stances from which an inference o f g u iit is sought to bedrawn, must be cogently and firmly established.(ii) those circum stances sh o u ld be o f a definite tendencyunerringly pointing towards the guilty of the accused; and(Hi) the circum stances taken cumulatively, sh o u ld form a chain so,complete that there is no escape from conclusion that withinall human possibility the crime was committed by the accusedand no one else. ”[Emphasis provided].(Also see Sarkar on Evidence, 15th Ed, Vol. 1, p. 63; Andrea v Republic, Criminal Appeal No. 231 of 2005 (unreported) also see Simon Musoke VRepublic [ 1958] EA 715 RV Kipkuring arap Koske [1949] EACA135; Abdul Muganyizi VR [1980JTLR 263; Protas John Kitogo & AnotherVR [1992] TLR 51 and Hamidu Mussa Themetheo &. Another VR[1993] U R 125). From the said established authorities, it is common ground that for circumstantial evidence to found a conviction, it must be such that it irresistibly points to the guilt of the accused.31


According to the evidence, the prosecution managed to tender caution statements of all eight accused person charged in this case, however, despite both were admitted as exhibits by this court both of the said caution statements were retracted by accused persons. Both rulings in respect to trial within a trial, the court reserved the issues of time compliance of recording statements as per law and certification of the said statements by the accused persons.This was also reflected in the final submission, when Mr Emmanuel Antony who represented all defence counsel when, argued that, those statement were not taken according to section 57 of CPA Cap. 20, he further added that, in this case all statements tendered no anyone of the accused person signed certificate. He cited the case of Ibrahim Issa and 2 othersv. R Criminal Appeal No. 159 of 2006 CAT at Tabora.While the Mr. Kainunura Senior State Attorney submitted that the prosecution witnesses at the trial explained that they gave all their rights to accused, he further said others are procedural irregularities which does not affect the content of the said caution statements and even if it seems that was not read to accused, it is not fatal to jeopardies the right of the accused .....

Soma hukumu yote source : Republic vs Erick Willson Teete & Others (Criminal Session Case 44 of 2019) [2022] 64 (14 December 2022); | Tanzlii
Court name
Labour Court of Tanzania
Registry
High Court Moshi Registry
Case number
Criminal Session Case 44 of 2019

Republic vs Erick Willson Teete & Others (Criminal Session Case 44 of 2019) [2022] 64 (14 December 2022);​

Media neutral citation
[2022] 64

KIPENGELE CHA USHAHIDI WA VIDEO YA POLISI

Ushahidi wa video na CD ya Video yawa challenged na upande wa mawakili wa utetezi kuwa ... nyuma ya pazia kulisikika silaha ikikokiwa ... sauti ya simu ya radio call na sauti za pilika nyingi huku watuhumiwa wakionekana wanageuza shingo / vichwa vyao kutokana na ingia toka ya watu wasiojulikana hivyo kutia shaka kama ushahidi wa kukubali tuhuma ya kesi yao kama ulikua huru .... kutokana na ushahidi wa video / CD ... uliowasilishwa mbele ya mahakama kuu ...


accused (see Thadei Mlomo and Others v. Republic [1995] TLR 187).In the circumstances, I am of settled opinion, this Court is unable to find this group of accused persons guilty for the offence of murder as charged.

Next group, is the second group which includes, Erick Wilson Teete (first accused), Fadhili Mohamed Mushi (second accused), John James Daniel (third accused) and Robert John Masawe (seventh accused). As said above this is the group where they were video recorded.

In that video each stated in respect to his participation of the offence charged but in their defence all accused person retracted the said interrogations to be forced one. In their final submission, the defence argued that, the evidence of video was taken without any authorization of law to record video, although prosecution says that it is by virtue of section 59 of CPA Cap 20 R.E. 2022, further they submitted that, the said provision deals with investigation, and is for photos and not moving pictures.

They also submitted that, even if it could have been legally, the accused persons were not given a copy and lastly, they submitted that, is how it was tendered for admission, the one who tendered the said CD, did not say the CD be played full time. However,40


the prosecution in their submission also was of the same view that by then there was no law required to do so.In my view, I don't concede with both contentions. For the purpose of this argument let me reproduce the said provision on the respective matter;'5 9 - ( l) Any police officer in charge o f a policestation o r any police officer investigating an offence m ay take o r cause to be taken measurements, prints o f the hand, fingers, fe e t or toes of, or recordings of the voice or,photographs of, o r sam ples o f the handw riting o fany person who is charged with an offence,whether such person is in la w fu l custody o f thep o lic e o r otherwise where such measurements, prints, recordings, photographs o r samples, asthe case may be, are reasonably b elieved to benecessary fo r the identification o f the person withrespect to, o r for affording evidence as to thecommission of an offence for which he is incustody or charged,'
(Emphasize supplied)There is no dispute that the offence alleged was committed in the year 2016, the said provision was provided in our criminal procedure Act/1 concede with


the defense submission that the law did not provides for moving pictures, but the evidence itself tendered as PE5 comprises the recording of voice of the accused person which to my opinion is more important in this case than mere pictures without voice, the law above allows recording of voice which in fact it is available on that exhibit when is played. In my interpretation of the above provision, the said provision was not offended when the CD tendered comprised recorded voice of the accused persons plus their images in form of video, nonetheless, I think the intention of legislature was met which is done for purpose of affording evidence as to the commission of an offence for which is charged. In view of the above, it is my opinion no law was infringed on such recording and it is my settled mind is acceptable and proper.

Moreover, according to the cross examination on part of the defence, when exhibit PE5 which is CD was used in proving the case, it seems they took squarely those interrogation recorded as caution statement. In his final submission Mr. Kainunura Senior State Attorney submitted that, the video is not to be taken as a caution statement, be taken as a supplement or corroborate the caution statement. Also as said PW8 and PW7 informed

(Page 42)


those were preliminary interview taken as supplement to caution statement. In my view, taking the provision I have interpreted herein above, I am in agreement with the learned Senior State Attorney viewpoint. Therefore, no requirement of giving a copy to accused person was necessary.The next point to be considered in this evidence of CD (PE5) is its weight in proving the offence charged. As rule admissibility is one thing and according weight another thing. There is no dispute that this is electronic evidence, and by then, when it was recorded, we had a law which is The Electronic Transaction Act of 2015, the section 18 of the said law did provide some requisites in admission of the electronic evidence, I reproduce the important part in this regard as hereunder;'18.-(1) In any le g a l proceedings, nothing in theru le s o f evidence s h a ll ap ply so as to deny thead m issibility o f data message on g rou n d th a t i t is adata message. ,(2) In determining admissibility and evidentialweight of a data message, the following shallbe considered-(a) the reliability of the manner in which thedata message was generated, stored orcommunicated;

(Page 43)


(b) the reliability o f the manner in which the integrity of the data message was maintained;(c) the manner in which its originator wasidentified; and(d) any other factor that may be relevant inassessing the weight of evidence.(3 ) The authenticity o f an electronic records systemin which an e lectronic record is recorded o r stored shall, in the absence o f evidence to the contrary, bepresum ed where-(a) there is evidence that supports a fin d in g th at a tall materia! times the computer system orother similar device was operating properly or,i f i t was not, the fa c t o f its n o t operating p rop erly d idn o t a ffe c t the integrity o f an e lectro n ic record an dthere are no other reasonable grounds on whichto doubt the authenticity of the electronicrecords system;'(Emphasize supplied)According to the prosecution, PW6. Rogath Constantini Minja, on 28/8/2016 being a police officer at Forensic Bureau Department at Kilimanjaro RCO office, he recorded the said video using camera SONY PD 175, then he used firewire cable to insert the data from the camera to


computer using a program called Pinacle 15, he said the computer was perfect, then he used NERO program to burn a re-writable DVD, being a custodian he handled the said CDs to S/Sgt Zephrine who went with it for approval of its authenticity at Photographic forensic Bureau at Police Headquarter Dar es salaam, he tendered the said haanding over certificate which was admitted as exhibit PE6. At Forensic Bureau Department Headquarter, PW5. E 3234 D/S/SGT James did forensic investigation, he identifies that those video inside is pure with authenticity and not man made, he also discovered that both CD have the same video clip. He tendered the said certificate which was not objected and admitted as exhibit PE4. Again, he handled over to S/Sgt Zephrine who later handled over to D/Sgt Rogath while DC Msangarufu witnessed, the handing over was admitted certificate as PEI5.According to the above prosecution evidence, I am settled and satisfied that the reliability of the manner in which the data message was generated, stored or communicated, the reliability of the manner in which the integrity of the data message was maintained and the manner in which its originator was identified was in accordance with the law.


(Page 45)


Another point, which need to be highlighted at this juncture is the video itself and how it was tendered and played, the said video comprises sound and moving pictures, and the said CD was tendered by PW5. E 3234 D/S/SGT James who proved its authentic from Police Headquarter, He was the material witness to tender it since he made forensic research to know its authenticity. Therefore, he possessed the knowledge to explained to this court. The said video was played after being admitted as exhibit PE5, Furthermore, it was played again when Rogath Minja (PW6) was recalled for purpose of cross examination, it was played again by Elias Haway (PW8) and also played F1157 D/Ssgt Hashimu (PW7) when testified on how they did interrogation With the accused persons, so it was played more than once. In my view nowhere the right of the accused persons was jeopardized.Nonetheless, I am mindful this witness being an expert is not a witness of fact, his evidence is really of an advisory character. It is from those advisory and images as in this case, the court may form its own judgment by its own observation. (See the case of Hilda Abel v.R (1993) TLR 243, Zefelinus Lumb @ Philimon v. R, Criminal Appeal No. 243 of 2013 CAT and Director of Public Prosecutions v. Shida Manyama@ SelemaniMabuba, Criminal Appeal No. 285 of 2012 (unreported)


However, when said video was playing in this court, the defense counsels noted some disruptions/ commotions, which in fact, I also noted them in the proceeding, I think I have a duty to address them. Example when PW6 was cross examined on 30/11/2022. Mr Elisante Kimaro prayed the said DVD be played at the time of 1:10:30 this means played at point of one hour, ten minutes and thirty second, Mr Elisante contended that, at that time the recording was having jump cut (mkatiko), same also was at 41:10 , in all incidents PW6 maintained that was an error between DVD and Tape, Also in cross examination made to PW8 Elias Haway by Mr Emmanuel defence counsel, at some point of time which this court recorded time length of play, it was seen and head sound of radio call, shaking of accused in interrogation, a door opening and dosed, accused looking back.Another incidents while the said PE5 was playing is external voices, this court recorded that some point of time we heard external sound like sound of motor vehicle and motorcycle, people talking out of office and once at one point a sound of gun corking which was at 1:19:17. in responding these allegations PW8 who was QC CID and one of the interrogators recorded of the said video, said the same was recorded in his office which is near the road where movements continued, also there other offices near h.....

Source : Republic vs Erick Willson Teete & Others (Criminal Session Case 44 of 2019) [2022] 64 (14 December 2022); | Tanzlii
 
Mimi swali ni hili.

Je walomuua huyu jamaa, wako wapi???.

Je Polisi wetu ni mandezi sana .


Je hamna tukio Hilo kwamba ni lakusukwa tu?


Ila hii Nchi bana 😃😃😃
 
Unaweza kuwa lijambazi lililokubuhu na ukawa huru inawezekana kweli waliua ila polisi wameshindwa kwenye upelelezi
 
Back
Top Bottom