Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Sasa hivi Mwamposa ametulia hotelini na mchepuko wake wanahesabu hela huku wachagga wanakodi mahema ya misiba. Kamatahii mutu. Fungia ndani. Ndalichako njoo kuna nwingine huku anahitaji ung'eng'e wako akalale ndani.
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi hao waliokufa ni raia wahamiaji kutoka mikoa mingine, mi siamini kama wachaga nao ni wajinga hivyo. ,😂😂😂😂
Kwanza wachaga hawakai mjini mpaka usiku. Wakishafunga maduka yao saa 12 jioni wanapanda zao milimani.
 
Hapa Kuna haja ya kujifunza kwa Kagame lazima wachungaji wawe na kiwango fulani Cha Elimu na sio Kila Mtu kuwa mchungaji kwani bado taifa let Lina kiwango kidogo Cha wasomi ambao wanaweza kung'amua lipi Ni sahihi na lipi sio sahihi, Tafsiri ya vitabu vya dini imekuwa ni changamoto
 
Asante kwa marekebisho.
Nadhani Ni typing error na nilipost bila kurudia kuangalia nikichokiandika.

Wengi wa Hawa watumishi Ni waongo.
MUNGU ametuagiza kuzijaribu kila roho maana si zote zitokazo kwake.
Lakini huwezi kuzijaribu Kama huna ushirika mzuri na Roho mtakatifu.
Watu wengi hawataki kutengeneza kwanza na Mungu..wanataka utajiri ila hawamtaki Mungu mwenye utajiri
So sad
 
Haieleweki alieturoga Afrika ameenda wapi..unaita mkutano watu wanakuja unawatapeli hela zao na kuwaibia

Katika wizi huo unawapa mafuta feki kabisa nao wajinga wanakanyagana wanakufa halafu unawahi Airpot hata hujali ???

Hivi kweli tuna ujinga kiasi gani sisi????

Huyu Mchungaji tapeli anatakiwa kufunguliwa kesi za kitapeli na kuua watu mpuuzi kabisa.

Lakini na nyie Wachaga kweli ujanja wenu wote huyu tapeli anawaingiza mkenge kweli?? Na hajaja kuwapa hela angalau tuseme mnapenda hela mmezifuata?? Dah
 
Aisee inakuwaje unanitukana, nimekukosea nini, na kama huamini si wewe, inakuwaje unanitukana? Bro tuheshimiane,
Nyongeza_Wewe ni mkumbaff!! Mwamposa ni mungu? Eti wanamkosea mungu!!mtu anasemwa ili aache tabia mbaya ya wizi na ushirikina wewe unasema wanamkosea mungu? Haya sasa tamaa zake zimeshasababisha vifo,ila nasikia amelala sero,angebaki huko hadi angalau keshokutwa apandishwe kizimbani na kuhukumiwa nyundo kadhaa ingependeza zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAYO MAFUTA WANAYOGOMBANIA ETI YANA UPONYAJI WA MARADHI!! SASA CHA AJABU BADALA YA KUONDOA MARADHI YENYEWE YAMELETA UMAUTI.

HEBU WATANZANIA WENZETU EPUKENI MAMBO YA NAMNA HIYO. MNAKUMBUKA MWINGINE ALICHOMA WAUMINI KULE UGANDA? MNAKUMBUKA MWINGINE ALILISHA WAUMINI MAJANI KULE SOUTH AFRICA?

KAMA HAYO MAFUTA YANGEKUWA NA HIZO POWERS YASINGEWALETEA MAAFA WENZETU HAO. DAH

HATUA ZA KISHERIA ZIMESHAANZA NGOJA TUONE MWISHO WAKE.
 

Attachments

  • Screenshot_20200202-092346_WhatsApp.jpg
    59.3 KB · Views: 1
Juzi mkurugenzi wa babati mji alianza kufunga makanisa yasiyosajiliwa watanzania hawakumuelewa.sasa huko Moshi watu20 wamekufa kwa uzembe na ujinga wa mtu moja.
 
Hii ni hatari kwa vizazi vijavyo
 
wale wakristo mnisaidiye kuna mahala kwenye biblia yesu aliwapaka mafuta watu,kuuza vitambaa,maji,chumvi na kupokea bahasha zenye pesa?je pia alipofanya miujiza alijitangaza?
Damu ya Yesu, jina la Yesu na neno lake Mungu pekee ndizo silaha tosha kupitia maombi ya kufunga, usiku wa manane na kusali mara kwa mara kwa imani lakini mengineyo yote ni utapeli mtupu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…