Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Brain washed..laa utakua mchepuko wa bulldoza wewe..so niambie wapi kristo alimwaga mafuta kwenye kongamani...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wale wanaofia kule maka hamuulizi mneona kwa wakristo tuu.
 
Sio yeye tuu kuna tb joshia nae kanisa liliia kuna kibwetere nae aliwasha moto kabisa[emoji1][emoji1][emoji1]
Yaani hizi imani nyingine tabu tupu
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Umaskini ni mbaya sana. Huyo mchungaji akamatwe haraka sana.
 
Hata uchagani wapo kumbe wajinga? Mbona huwa mnasema humu kuwa wachaga wamesoma sana? Au hawakuelimika? Pole zao!
Una uhakika walokufa ni wachaga?au umekariri wanaokaa moshi ni wachaga tuu
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,sijawahi amini katika huu upuuzi,ivi wakristo nani katuroga......upumbavu sana huu hata hawa walikufa wala binafsi roho hainiumi
 
Kwani hao wanaoenda kukanyaga mafuta dogrii hawana? Kikombe Cha Babu walifurika kukinywa Hadi maprofesa.Imani kitu kingine kabisa issue sio elimu
 
Hapa Kuna haja ya kujifunza kwa Kagame lazima wachungaji wawe na kiwango fulani Cha Elimu
Mauaji ya kimbari Rwanda yaliongozwa na mapadri na maaskofu wa kanisa katoliki ambao wote walikuwa na digrii za theolojia.Kagame hajielewi.Yeye mwenyewe huwa anaenda kusali Nigeria kwa TB Joshua ambaye hajawahi somea uchungaji maisha Yale yote
 
Your browser is not able to display this video.
 
*Living with Religious OCD (Scrupulosity)*

[emoji904]What’s Going On?

Religious OCD, also known as *Scrupulosity*, is an observed condition that dates back to the 1600s in the Catholic church. It was noticed that some monks were engaging in excessive prayer. Their behavior and constant praying weren’t in keeping with what they believed to be an expression of God’s love. They were actually trying to achieve an unrealistic state of holiness. This is where the term Scrupulosity comes from.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Common Scrupulosity OCD obsessions:*

[emoji904]Fear of living a life of sin or one that God wouldn’t approve of.
[emoji904]Fear of doing something that doesn’t align with your moral or ethical standards.
[emoji904]Constantly wondering if you’re praying enough or the right way.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…