Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

*Common Scrupulosity OCD obsessions:*

[emoji904]Fear of living a life of sin or one that God wouldn’t approve of.
[emoji904]Fear of doing something that doesn’t align with your moral or ethical standards.
[emoji904]Constantly wondering if you’re praying enough or the right way.

Sent using Jamii Forums mobile app
Common Scrupulosity compulsions:
[emoji904]Excessive prayer.

Saying the same prayer over and over again until a state of certainty has been achieved. You feel as if God would approve of the amount.

[emoji904]Reassurance.

Seeking constant reassurance from God.

[emoji904]Excessive reflection.
Making sure that you haven’t said something God would blasphemous.

[emoji904]Going to church or temple.
Constant visits to places of worship.

[emoji904]Confession.
Excessive confessions to a priest, rabbi, other clergy or even a significant other.

[emoji904]Thoughts of unholiness.
Having natural associations that you think are unholy and offensive to God.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chanzo cha habari ni kipi? Chanzo cha habar kweny mitandao bila kutupa hyperlink sijakubali bado.
 
Common Scrupulosity compulsions:
[emoji904]Excessive prayer.

Saying the same prayer over and over again until a state of certainty has been achieved. You feel as if God would approve of the amount.

[emoji904]Reassurance.

Seeking constant reassurance from God.

[emoji904]Excessive reflection.
Making sure that you haven’t said something God would blasphemous.

[emoji904]Going to church or temple.
Constant visits to places of worship.

[emoji904]Confession.
Excessive confessions to a priest, rabbi, other clergy or even a significant other.

[emoji904]Thoughts of unholiness.
Having natural associations that you think are unholy and offensive to God.

Sent using Jamii Forums mobile app
Common misconceptions about Scrupulosity:
[emoji904]OCD only comes in one, general type. Subsets like Scrupulosity don’t exist.
[emoji904]You’re more devout than other non-sufferers.
[emoji904]You care about your character, morals or ethics more than other non-sufferers.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaoingoa kwenye unabii wa uongo ni shida zinasababisha na wale wanowafuata pia ni shida zinasababisha. Muhimu kupambana na hii shida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waumini 18 wa Dini ya Kikristo wamefariki dunia usiku huu mjini Moshi, wakati wakikanyagana kugombea kukanyaga mafuta ya upako katika kongamano la kidini la Mtume Boniface Mwamposa, DC wa Moshi Kippi Warioba amethibitisha

Updates: 00:45
Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kukanyagana imefikia 20 na uenda idadi hiyo ikaongezeka Mkuu wilaya amethibitisha.

UPDATES:
Watu 20 wamefariki dunia leo jioni Jumamosi Februari 1,2020 katika ibada ya mahuburi wakati wa harakati za kukanyaga mafuta ya upako kwenye kongamano la Mtume Boniface Mwamposa 'Buldoza' katika Viwanja vya Majengo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Inadaiwa kuwa waumini hao walikumbwa na maafa hayo wakati wakikanyagana kwa ajili ya kugombania kukanyaga mafuta yaliyomwagwa na mhubiri huyo yakidaiwa kuwa na upako.

Inaelezwa kuwa watu zaidi ya 40 walikanyagana katika harakati za kugombania mafuta ya upako na kukimbizwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro ya Mawenzi.

Idadi ya waliokufa huenda ikaongezeka kwa kuwa hakuna taarifa ya ujumla ya majeruhi waliopelekwa katika vituo vya afya vya jirani pamoja na Hospitali ya Rufaa ya KCMC.

Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Kippi Warioba amelithibitisha leo saa 5:00 usiku kuwa taarifa za awali waumini 20 wamekufa lakini akasisitiza hizo ni taarifa za awali.
“Taarifa za awali tulizonazo ni kuwa ni waumini 20 wamepoteza maisha lakini tunaendelea kufuatilia maeneo mengine ya zahanati, vituo vya afya na hospitali kama kuna watu walipelekwa huko,” amesema Kippi.

Taarifa zinaeleza kuwa baada ya tukio hilo Mhubiri huyo alielekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) akitaka kuondoka, lakini ndege aliyokuwa amepangwa kuondoka nayo ilichelewa (delayed) na ndipo Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro lilipomtia mbaroni uwanjani hapo.
Apostle Boniface Mwamposa a.k.a Bulldozer

Chanzo: Mwananchi

=====


MWAMPOSA ATAKIWA POLISI KWA MAHOJIANO

Jeshi la Polisi limemtaka Boniface Mwamposa kujisalimisha polisi kwa mahojiano ya vifo vya watu 20 vilivyotokea mjini Moshi Mkoa wa Kilimanjaro usiku Februari Mosi, 2020

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Salum Hamduni amesema mchungaji wa Kanisa la Calvary Assemblies of God, Elia Mwambapa ndiye aliyeomba kibali cha kongamano hilo la siku tatu lililomalizika jana Jumamosi

Amesema baada ya hilo tukio wamemtafuta sana huyo Boniface Mwamposa maarufu kama Bulldozer bila mafanikio. Na kumtaka ajisalimishe kwa mahojiano

Kamanda Hamduni alifafanua kuwa idadi ya waliokufa ni 20 hadi sasa, ambapo kati yao watoto wadogo ni wanne, watu wazima 16
Kumbe wajinga wapo kila mkoa hapa nchini
 
Huyo mchungaji hata hakamatwi? Kama hayupo kizuizini mpaka sasa basi serikali imeoza, ikafukiwe tu tuendelee na maisha yetu.

Kwa kosa gani! Aliwalazimisha wakanyage mafuta !? Si ujinga wao hao wakristo ..
 
Back
Top Bottom