Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nop nipo nje hapa nashangaashangaa naperuzi nilikuwa ndan ibada SAA sita na nusu inaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Malizia ....Subiri majina yatoke ndo utajua kuwa sio wote wakristo.. Hata .....wapo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa siyo nabii feki baada ya tukio la vifo hivyo asingeondoka (tuseme asingekimbia) na kuacha miili ya waliomchangia sadaka (kondoo wake) ikiwa hata haijatolewa eneo la tukio. Umeniuliza swali hapo juu na hii ni sehemu ya majibu uliyohitaji.Hata mimi kwa upande wangu ninahisi kuna uzembe utakuwa umetokea, maandalizi yalikuwa mabovu au utaratibu na maelekezo kwa waumini hayakueleweka, na pia kuhusu kuondoka baada ya tukio sio sawa pia ila mimi kilicho nisikitisha watu wana-conclude kuwa Mwamposa ni nabii feki kitu ambacho ni makosa hata kwa Mungu,
Shetani ana mbinu nyingi za kumtumia Mwanadamu ili kuthihirisha ufalme wake.
Alimtumia mzee moja wa huko Arusha akawa anatoa kikombe cha dawa ya miti maarufu kama kikombe cha Babu. Huyu naye alikuwa anatumia jina la Yesu. Sasa hivi huyu babu hatumskii tena.
Wako manabii wengi sana wa uongo hapa Tanzania ambao wanatumia Jina la Yesu Kristo.
Yesu Kikristo alisema " watakuja manabii wengi wa uongo na watatoa pepo kwa jina langu"
Ukiona muhubiri anakuwa na Kanisa lake, Mhasibu wa Sadaka ni yeye na mtunza fedha ni mke wake au binti yake ujue hiyo si kutangaza ne no la Mungu ila ni Biashara.
Kwa kifupi Ufalme wa shetani haudumu kamwe na wafuasi wake nao hawadumu kamwe,
Tujiepushe na Manabii wa Uongo.
Serikali izuie Taasisi za Dini za watu Binafsi ambazo hazina mfumo wa Kikanisa na zinakusanya sadaka na kuzitumia kwa maslahi binafsi bila kulipa kodi.
Uchagani wajinga ni wengi sana....... Wewe huoni wanavyoburuzwa na Chadema!
Utajiua wakati utakuwa ushakufa. Au utaiua roho? Kule zinaenda roho tuMwingine yuko ghana kasema apewe 10% ya utajiri wa kobe amfufue,yani hawa manabii nkiwakuta mbinguni najiua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata uchagani wapo kumbe wajinga? Mbona huwa mnasema humu kuwa wachaga wamesoma sana? Au hawakuelimika? Pole zao!
Waganga wa kienyeji huu utawala wanakuja kwa njia ya kichungaji..zamani lete njiwa wa njano...siku hizi njoo upakwe mafuta ya majini..sijui na keki za kuzimu..ukute huu nao ni mkafara tu....hilo neno wasilitafute kwe biblia kutwa kukimbilia keki
Hapana aisee hyo siyo sababu watu wamekanyagana kwa uzembe wao wenyeweKaua ndiyo. Bila mkutano wake watu wasingekufa. Bila kuwaambia watu wakanyage mafuta,vifo hivyo visingetokea.