Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Wameangamia kwa kukosa maarifa. Mafuta ya upako yana tofauti gani na irizi za waganga wa kienyeji?
Ifike mahali serikali ilinde raia wake dhidi ya utapeli wa kidini.
Mkuu, mbona unaongea kama sio mtanzania?
Amin, nakuambia, serikali ikifanya hivyo, watu wa haki za binadamu na hao waumini wataandamana. Maige nae hataenda marekani maana wenye midomo wataenda kusema.
wawaache tu hadi aliyewatwisha hili zigo aje awatue mwenyewe.
 
thus kagame aliwafuta hawa waganga waliojifichia kwenye dini,pia kwanini karibu wote ni wakina Mwa kina mwalafyale
 
Hunipati.
 
kwani hasa waliaminishwa wakiyakanyaga watapata nini au watakua watu wa aina gani.Duuu! kumbe ndo maana mkoloni aliweza kututawala na hata akirudi tena anaweza kututawala
 
keki za upako,sabuni za upako,chupi za upako,sidiria za upako,lesso za upako,maji ya upakowatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Hivi kweli mafuta yanatoa umasikini?kweli siku hizi uwezo wa kufikiri umekwisha kabisa.

Sio tu umasikini, yanawapa pia wadada waume wa kuwaoa. Mi ningeshauri ni bora mitume wangekuwa wanawapa hayo mafuta wayatumie kama vilainishi, hapo upako ungepenya sehemu stahiki kabisa kuliko kuyakanyaga. Huko ni kuleta dharau kwa upakwa, hivi unaukanyagaje kwanza?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nimeelewa imetokana na nini watu kukanyagana. Watu wameenda kukanyaga mafuta peku kwenye tiles hapo kila aliyekanyaga lazima atateleza na kuanguka sasa kama watu ndio wengi hapo ni mueleka huku na huko kutafuta pa kujishika ukimshika mwenzio nae mueleka pia mwisho wa siku mnajikuta kuna kulaliana na walioko chini ndio mauti huwakuta hapo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akamatwe kwa kosa gani wakati wapuuzi mijiwatu akili kisoda imejidhuru yenyewe kwa yenyewe ?ye mjanja mpiga dili anasuhusika vipi hapo

Sent using Jamii Forums mobile app

Utapeli (hila, udanganyifu, kujipatia kipato kwa njia za udanganyifu...)

Kuendesha ibada katika mazingira hatarishi.

Kuhatarisha maisha.

Manslaughter (kuua bila kukusudia).

Kamanda Siro amemtaka ajisalimishe.
 
Hivi ni mafuta haya haya au ni special kiasi gani jamani wakanyaga mafuta mtuambie hapa.
Mafuta yana nini jamani!?
Naona mafuta kama ngano vile, mapishi kibao.
maana kuna mafuta ya kula, ya taa na mafuta kupaka. Hivi hata yesu alipakwa mafuta vile?
kuna mafuta ya nywele, ya ngozi, ya transfoma, ya samaki.
Yaani, kuna mafuta ya kujichubua, na mafuta vilainishi. Haaaaaaahhhh, eti hata yale ya kina dani mtoto wa mama nayo mafuta?
Mungu aya laani mafuta yote! hata yale ya waarabu.
Mungu awape faraja wafiwa na awasamehe marehemu.
Mungu, tunusuru sisi na ujinga wa mafuta.
 
Tatizo lenu waswahili mkiona mnazidiwa ki-hoja na wengine mnakimbilia matusi, penda kupinga watu kwa hoja sio matusi, kama unaona haipendezi endelea kushindana na watu kutukanana ovyo na kupoteza muda maana si ndio sehemu yenu ya maisha,
Mijing kbs sijui lini mtapata ufahamu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mchungaji hata hakamatwi? Kama hayupo kizuizini mpaka sasa basi serikali imeoza, ikafukiwe tu tuendelee na maisha yetu.
Mwamposa inabidi awekwe LockUp kwanza,anawaaminisha watu wakanyage mafuta bila kuchukua tahadhari za usalama wao,sehemu ya kupita ni ndogo na hivyo imesababisha waamini wake 20 wapoteze maisha,anastahili KIFUNGO.
 
Sasa hivi Mwamposa ametulia hotelini na mchepuko wake wanahesabu hela huku wachagga wanakodi mahema ya misiba. Kamatahii mutu. Fungia ndani. Ndalichako njoo kuna nwingine huku anahitaji ung'eng'e wako akalale ndani.
Yaani hawa wachaga waliokufa wamezidi waliokufa Kwa tetemeko la Ardhi huko bukoba.


Yaan ujinga huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…