Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

aisee..... kweli ujinga hudumu milele
 
ukanyage mafuta wewe gari, na break yenu motoni wapuuzi wakubwa ninyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kizazi Cha kusafishwa kucha pumbavu kabisa.Biblia gani imeagiza umwage mafuta watu wakanyage? Hawa ni matapeli wakubwa.ukiambiwa neno upako asilimia 98 ni ushetani tu. Ndiyo maana imeandikwa Msiziamini kila roho Bali mzipime na kuzijaribu muone kama zimetokana na MUNGU.Ukiniambia kukanyaga mafuta.kunywa mafuta najua we tapeli na mwizi tu.
 
Mkuu wewe ndio unaonekana hujui unachoongea au kuchangia. Hakuna bahati mbaya kwenye maisha ya binadamu mwenzio. Ajali zote zinasababu, ma engineer na mafundi tunaamini hivyo. Angalia hata zile movie za final destination, utajua naongea nini.
huwezi weka mafuta sehemu zenye utelezi na population ya watu wengi. Mtu akikanyaga na akakosa balance na kuanguka ina maana atakanyangwa na wenzie. Vilevile huwezi weka container chache za mafuta. Angalia na muda wa hilo tendo coz inaweza ikawa jioni na giza hivyo kila mmoja anataka kuwahi nyumbani au kwingineko.
All in all, hapo kuna uuzembe na ujinga tu.
Acha ujinga mkuu, kama mafuta yanaponya mbona aendi kutoa msaada hospital kwenye wagonjwa hadi anakuja kwetu sisi wazima wa afya na nguvu ya kutafuta pesa? USITETE UPUMBAVU.
 
Wamemkamata dar Alikimbia moshi
Yuko mkononi mwa polisi sahv
Alafu wazir simbachawene amesema Sahv vibanda Imani vimekuwa vingi sanaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I am Bless Nabii wenu feki baada ya tukio hilo
Alitoka nduki moshi wamemkamatia dar, Sasa kwann baada ya songombingo huko asibaki
Moshi
Alafu wewe utakuwa ni Wale Waumini mliyowekwa uwanjaa wa ndege kipindi kile mkifanya maombi msafiri kwenda nje bila viza wala ticket..... Mpu gu@n kbsa nyie

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mauaji ya kimbari Rwanda yaliongozwa na mapadri na maaskofu wa kanisa katoliki ambao wote walikuwa na digrii za theolojia.Kagame hajielewi.Yeye mwenyewe huwa anaenda kusali Nigeria kwa TB Joshua ambaye hajawahi somea uchungaji maisha Yale yote
Uongo mtupu huu,Weka picha/video/link kuonyesha Kagame ameemda kusali kwa TB Joshua.

Unadhani huyo ni type za wakina Lowassa/Mwigilu wanaoshinda huko Nigeria kwa huyo Nabii

dodge
 
Asante kaka, Yesu mwenyewe alishughulika na Wagonjwa bila kuwatoza hata Dinari moja, ila huku siye ni mlango wa fursa
 
Utapeli (hila, udanganyifu, kujipatia kipato kwa njia za udanganyifu...)

Kuendesha ibada katika mazingira hatarishi.

Kuhatarisha maisha.

Manslaughter (kuua bila kukusudia).

Kamanda Siro amemtaka ajisalimishe.
Sababu zako hazina mashiko

Utapeli gani Kuna muumini alishaenda kumripoti au alishapata tuhuma hizo ..kwa ushahidi gani ?

Mazingira hatarishi vipi wakati wao ndo walimpa kibali cha mahubiri inamaana kwenye kutoa kibali waliangalia vitu vingi wakajiridhisha wakampa kibali

Manslaughter

Kwani ni yeye kasababisha au uzembe wa watu wenyewe wamekanyagana seriously anahusika vipi hapo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Macca kila mwaka watu kibao wanakufa hija je nayo ni kafara?
Mbona pamoja na hayo lkn watu hawajawahi kuacha kwenda...
 
Toa neno kdg kamanda
Vp unawaamini Hawa manabii

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, namuamini Mungu pekee. Zaidi ya Kusali kanisani kwangu KKKT, huwa siendi kwingine popote. Mara moja moja mno huwa nahudhuria semina za Mwakasege. Zaidi ya hapo hapana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…