Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Umaskini ni mbaya sana. Huyo mchungaji akamatwe haraka sana.
Kuna mahali wanadamu tumeshindwa kupatumia ktk ubongo wetu, inafika mahali ukisikia kitu huamini unachosikia, mafuta uyakanyage halafu maisha yako yanabadilika kweli?![emoji36][emoji36]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata uchagani wapo kumbe wajinga? Mbona huwa mnasema humu kuwa wachaga wamesoma sana? Au hawakuelimika? Pole zao!
Ndugu kwa hawa wachungaji sijui mtu atachomokaje hata angalikuwa na elimu gani, wanajua sana kusoma madhaifu ya wana nzengo haijalishi kabila wala Elimu gani unayo wao wanatega mitego na lazima unase hasa wakiwa wameshasoma ramani zao vyema.[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni ndugu zetu God's Plan.
Not GOD's plan... mungu huyo huyo watu wanaemuabudu awaue wakiwa wanamuabudu????? Atakua mkatili kupitiliza.... hapa ni wajinga waliodanganywa mafuta ya upako, wakaanza kuyagombania kwa ujinga wao, wakakanyagana wakauana... usimuingize Mungu kwenye utapeli na ujinga huu
 
Very sad to hear about the loss of lives. May the deceased RIP.

This so called Prophet should be taken to task....
 
Hata macca hayo mambo hutokea ni kawaida kwenye misingamano hata kwenye viwanja vya soka pia hio ni ajari
 
Sijakuelewa mkuu! Yaani wamekanyagana wakigombea kukanyaga mafuta au wakigombea kuchukua hayo mafuta?

Mungu tuhurumie Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa iko hivi kuna sehemu inaandaliwa watu mnakuwa mnapita mnakanyaga hiyo sehemu huwa na mafuta hayo yaliyoombewa na mtumishi was mungu. Huwa sio sehemu kubwa hapana ni kama upana mita 1 na urefu kama mita 5 . yaani kama ka redcarpert flani hivi mkuu. Sasa tatizo sisi hatuna utaratibu mzuri was kupita kila mmoja anataka kuwa was kwanza.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu huyu mtu achukuliwe hatua stahiki....

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…