Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Watu 18 wamekufa leo Jumamosi Februari Mosi, 2020 baada ya kukanyagana katika harakati za kukanyaga mafuta ya upako kwenye

kongamano la Mtume Boniface Mwamposa mjini Moshi, DC wa Moshi Kippi Warioba amethibitishaView attachment 1343848

Chanzo:Mwananchi


Watu 18 Niwengi Sana Sana Jamani Tanzania Tunaangamia Kwakukosa Maarifa

Am Speechless [emoji26][emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
BadNews
Screenshot_2020-02-01-23-29-07-201_com.twitter.android.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waganga wa kienyeji huu utawala wanakuja kwa njia ya kichungaji..zamani lete njiwa wa njano...siku hizi njoo upakwe mafuta ya majini..sijui na keki za kuzimu..ukute huu nao ni mkafara tu....hilo neno wasilitafute kwe biblia kutwa kukimbilia keki
 
Watu 18 wamekufa leo Jumamosi Februari Mosi, 2020 baada ya kukanyagana katika harakati za kukanyaga mafuta ya upako kwenye

kongamano la Mtume Boniface Mwamposa mjini Moshi, DC wa Moshi Kippi Warioba amethibitishaView attachment 1343848

Chanzo:Mwananchi


Watu 18 Niwengi Sana Sana Jamani Tanzania Tunaangamia Kwakukosa Maarifa

Am Speechless [emoji26][emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka Mwakasege aliahirisha Mkutano wake pale karimhee baada ya kuona nyomi ya watu ni wengi sana
 
Back
Top Bottom