Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo umeongea nini sasa we kolo. Kwahiyo ndo tuseme bado uko kwenye box na bila aibu unatolea ufafanuz ukolo wako. Ficha ujinga wako. Mbona wenzako wanaenda kwa mganga kimya kimya?Huwa iko hivi kuna sehemu inaandaliwa watu mnakuwa mnapita mnakanyaga hiyo sehemu huwa na mafuta hayo yaliyoombewa na mtumishi was mungu. Huwa sio sehemu kubwa hapana ni kama upana mita 1 na urefu kama mita 5 . yaani kama ka redcarpert flani hivi mkuu. Sasa tatizo sisi hatuna utaratibu mzuri was kupita kila mmoja anataka kuwa was kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia hayo makanisa ya wanaojiita manabii na mitume, asilimia 95 ni wachaga.Hata uchagani wapo kumbe wajinga? Mbona huwa mnasema humu kuwa wachaga wamesoma sana? Au hawakuelimika? Pole zao!
Kwanini asiombee mafuta yatokayo viwandani 1 kwa 1 watu wakinunua madukani wapone shida zao badala ya hapo kanisani? Mwamposa ni Nabii wa uwongo kama ilivyonenwa katika MATHAYO 24 yote .Huwa iko hivi kuna sehemu inaandaliwa watu mnakuwa mnapita mnakanyaga hiyo sehemu huwa na mafuta hayo yaliyoombewa na mtumishi was mungu. Huwa sio sehemu kubwa hapana ni kama upana mita 1 na urefu kama mita 5 . yaani kama ka redcarpert flani hivi mkuu. Sasa tatizo sisi hatuna utaratibu mzuri was kupita kila mmoja anataka kuwa was kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wote waishio Moshi ni wachagga. Hakuna mchaga utamkuta Majengo uwanjani saa 5 usiku.Hata uchagani wapo kumbe wajinga? Mbona huwa mnasema humu kuwa wachaga wamesoma sana? Au hawakuelimika? Pole zao!
[emoji3][emoji16][emoji4][emoji16][emoji16]Mwingine yuko ghana kasema apewe 10% ya utajiri wa kobe amfufue,yani hawa manabii nkiwakuta mbinguni najiua
Sent using Jamii Forums mobile app
Utu utokee wapi nakati katika ulimwengu wa roho hizo ni kafara za nguvu za giza kulingana maagano baina yake Lucifer(shetani) ?Kibaya zaidi baada ya ibada akaelekea uwanja wa ndege, huku nyuma akiacha maiti za watu? Yani hata ule utu moyoni hana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi hao waliokufa ni raia wahamiaji kutoka mikoa mingine, mi siamini kama wachaga nao ni wajinga hivyo. ,😂😂😂😂Hata uchagani wapo kumbe wajinga? Mbona huwa mnasema humu kuwa wachaga wamesoma sana? Au hawakuelimika? Pole zao!
Kwa kukosa maarifa
Yaache yapukutike tu maana kila siku Aroon anayahubiria hapa JF lakini hata hayasikii, yanadhani Mungu aliandika tu habari hizo kama stories za vijiweni [emoji35]Watu wengi wanatafuta upako badala ya kunitafuta Mungu mwenye upako.
Watu wengi wanatafuta utajiri badala ya kumtafuta Mungu mwenye utajiri
Yeye(MUNGU) anasema utafuteni kwanza ufalme Wake na enzi yake na hayo mengine yote mtazidishiwa.
Watu wanatafuta kuzidishiwa kabla hawajautafuta ufalme wa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kykanyagamkuuu huwaa anawekaa DUBWASHA LA plastick anamwaga mafuta MENGI watuwanapita na KUONDOKA UPANDE wapiliSijakuelewa mkuu! Yaani wamekanyagana wakigombea kukanyaga mafuta au wakigombea kuchukua hayo mafuta?
Mungu tuhurumie Africa
Sent using Jamii Forums mobile app