Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

na bado waumini wa dar wamempokea na kushiriki nae katika ibada kama hakuna kitu kilicho tokea vile ambacho ni kibaya na kimeumiza hisia za watu wengi.........
hili taifa lina watu wengi vichaa
Waafrika wengi wana uwezo mdogo wa kufikiri
 
na bado waumini wa dar wamempokea na kushiriki nae katika ibada kama hakuna kitu kilicho tokea vile ambacho ni kibaya na kimeumiza hisia za watu wengi.........
hili taifa lina watu wengi vichaa
Waafrika wengi wana uwezo mdogo wa kufikiri
 
daaah, pamoja na yote ayo alikuja Dar kuendelea kupiga wajinga, uyu phala inabidi atupwe Wuhan uko
 
na bado waumini wa dar wamempokea na kushiriki nae katika ibada kama hakuna kitu kilicho tokea vile ambacho ni kibaya na kimeumiza hisia za watu wengi.........
hili taifa lina watu wengi vichaa
Waafrika wengi wana uwezo mdogo wa kufikiri
 
Kwa ufupi jamaa kasababisha mauaji, sheria kupitia mahakama haitamfunga lipo wazi.

Pili backmagic+😈 power imetumika kuuwa watu ili avune pesa na kujaza watu, sababu hakuna mchungaji mwenye akili timamu watu wanakufa alafu yeye anakimbia, NO!
 
Bukyanagandi,
Yes am a Roman Catholic. Hayo ya 40 yrs later RC itakuwa haina waumini ni kujitia ukichaa. Kama unaongelea waumini chengachenga kama hao wanaoenda kukanyagana kwenye vibanda vya kishirikina nitakuelewa. Catholics na waumini wake huwa atupeperuki hovyohovyo.

Catholics ukiondoa kasoro ndogo ndogo za kibinadamu zinazolikumba kanisa, huwa hatuna longolongo. Mambo ya kudanganyana hakuna, ukweli unasemwa kule. Haya ya mwamposa na wengine ya kutumia matatizo ya watu kama chambo ya kujipatia ufahari duniani ni ushirikina tu kama watu wengine wanavyoenda kwa waganga wala hakuna tofauti.

Aisee usimlinganishe huyo mganga wako mwamposa na Yesu. Haya Yesu alifufua wafu mwambie huyo mganga wako mwamposa awafufue hao watu aliowaua tuone.

Hizo stories za sijui askofu alifanya hivi ikawa vile ziko nyingi hii ya kwako hata data haina inaonekana kama ya kugushi vile. Na kama ni ya kweli basi ndiyo Catholic yenyewe hiyo hata kama ni askofu, wakiona unaleta mambo ya kishirikina kanisani hawawezi kukuacha uendelee kuchafua kanisa lazima watakuwajibisha na ukijifanya mbishi utabanwa mpaka uondoke mwenyewe kama huyo askofu uliyesimulia maana inaonekana alibanwa hadi ushirikina wake uka-expire hadi kachanganyikiwa na kuishia kuwa mzinzi.

Take home message for you: whether you agree or not "Catholic is a real Church of Jesus Christ" hata wajasiliamali wa dini wote akiwemo mwamposa wanalijua hili.
 
Back
Top Bottom