GreatMkubwa
Member
- Jun 25, 2012
- 99
- 57
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! Nimejikuta nacheka kwa sauti!Mwingine yuko ghana kasema apewe 10% ya utajiri wa kobe amfufue, yani hawa manabii nkiwakuta mbinguni najiua
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha na mie jitakuwepo kwenye list ya watakaojiuaMwingine yuko ghana kasema apewe 10% ya utajiri wa kobe amfufue, yani hawa manabii nkiwakuta mbinguni najiua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri muono wako katika hili katika threAd yake[emoji41][emoji41][emoji41]Kukusanya sadaka na kumalizia kafara
Jr[emoji769]
Watapata taabu sana
Huyu kiongozi nimesikia speech yake LIVE. Amesema polisi walitoa kibali cha siku 2 lakini hakutaja muda wa mwisho wa kibali na ni kwanini polisi wake hawakusimamisha mkutano mara walipoona muda ulioombwa umepitiliza. Huyu asiachwe kwa watakaohojiwa
Ukishaelewa kuwa ni miongoni mwa watoto wapendwa wa Mkuu, basi ahitaji mipaka ya majukumu yake.KWANI SABAYA NDIO MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO?