MOSSAD: "A" "BE" na "CHE" ya mashetani wenye ithibati ya mauaji

Kudos mzee unachambua bila bias endelea kutushushia mavitu aisee
Ahsante sana mkuu. Tutaendeleza hiki kitu pasi na shaka. Natumia simu hivyo nitakuwa taratibu kidogo. Ningependa tuwe pamoja.
 
Mkuu uwe unanitag sana. Napenda sana vitu hivi vya Intelijensia.

Sawa Lepalai?
 
the bold kula tano mkuuuu nashukuru unavyokubali machapisho ya wengine hyo ndo njia rahisi ya kujifunza vitu vingine vipya hongereni kwa watu mliochukua muda wenu kutujuza mambo tusioyajua pamoja sana mungu awabariki wote kwenye jukwaa hili
Shukrani zirejee kwako tena mkuu
 
[HASHTAG]#FREEMAXENCEMELO[/HASHTAG]


Sent from mTalkl
 
Reactions: J C
Tunaitaji mossad yetu kuwamaliza mafisadi
 
Nazipenda hizi simulizi mkuu ukileta nyingine unishitue zinapendeza sana kuwaona Israel wakiwa ktk kiwango cha juu kabisa ktk uwezo wao

Ila naona kwa sasa Irani ni kitisho chao kikuu.
 
Leo kwenye bbc news. Hamass wanaituhumu MOSSAD kwa kumuua engineer wao wa kutengeneza mabomu, huko tunisia. Siku ya alhamis na wamepanga ku-revenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…