MOSSAD: "A" "BE" na "CHE" ya mashetani wenye ithibati ya mauaji

Hongera mkubwa nimeifuatilia na kuisoma kwa umakin mkubwa sana hii habar UMETANUA FIKRA NA MAWAZO YANGU KWA UJUMLA. SHUKRAN, pia ningependa kujua lini utaendelea kutupasha muendelezo wa habar hiii ili nisipitwe.?
 
Yote uliyoyaandika naona ni upunguani tu. Sioni haja ya kusoma vitu hovyo sana kama hivi.
 
Dah...ngoja nisubiri mwendelezo...!! Hawa jamaa inaaminika pia wamepandikiza vibaraka wao ktk nchi zote walizo na uadui nazo. Mkuu mollel hili lina ukweli!!?
 
Ahsante mkuu. Ila jaribu kidogo kuufuatilia huo motto wa Mossad. Tangu uasisi wake. Labda kama umekengeuka hapa karibuni.
 
Cc Eiyer...
 
Hii historia ni ndefu but inav2 vngi sn ndan yke.
 
Amen kiongozi unitag kwani ntakuwa moshi kuhesabiwa usisahau kunitag kabisa ntakuwa kijijini kuonyesha passo yangu mpya

Duh hongera mkuu wikiend imekuwa poa sanaaa haichoshi kusoma kwa kweli

Mossad, the world's most killing Machine

Mkuu uwe unanitag sana. Napenda sana vitu hivi vya Intelijensia.

Sawa Lepalai?

Napendaga vitu hivi mimi

Naweka alama hapa

Mkuu tuwekee nyingine hizi stori tamu sana

Naamka asubuhi nakutana na utamu kama huu mezani, what a beautiful day. SteveMollel safi kwa kazi nzuri, ukirudi usisahau kunitag. Salute!

upo vizuri kaka....mnalinogesha sana jukwaa....la intell...
the bold
complex
jamaa kaleta huo uzi...[emoji1] [emoji1]
najua muda. wowote mtafyatuka.....

Nazipenda hizi simulizi mkuu ukileta nyingine unishitue zinapendeza sana kuwaona Israel wakiwa ktk kiwango cha juu kabisa ktk uwezo wao

Ila naona kwa sasa Irani ni kitisho chao kikuu.

Mkuu utakaporejea naomba unitag

Mossad ni habari ingine iyo kabisa.
Naishia apo tuu maana usikute ata JF wana uwezo wa kudukua bila akina Max kujua.....just kidding

Please kaka ukiendelea na visa vingine naomba UNITAG

Huu Uzi uendelee mkuu kila siku tuwekee vitu humu tusome

Shukraan wote pia kwa mleta uzi

Huu Uzi mtamu dah

Mkuu SteveMollel, uki update usisahau kunitag.

hili jukwaa limenifungua kwa mambo mengi
asante mkuu kwa kutuletea mada fikirishi

Nafuatilia, vipi utafanya kuindeleza pale pale ulipoishia? nikimaanisha nikitaka kujua muendelezo wake nifungue thread hiihii?

SteveMollel naomba unitag simulizi itakapoendelea mkuu

Hongera mkubwa nimeifuatilia na kuisoma kwa umakin mkubwa sana hii habar UMETANUA FIKRA NA MAWAZO YANGU KWA UJUMLA. SHUKRAN, pia ningependa kujua lini utaendelea kutupasha muendelezo wa habar hiii ili nisipitwe.?

Dah...ngoja nisubiri mwendelezo...!! Hawa jamaa inaaminika pia wamepandikiza vibaraka wao ktk nchi zote walizo na uadui nazo. Mkuu mollel hili lina ukweli!!?

Hii historia ni ndefu but inav2 vngi sn ndan yke.
Haya tuendelee kujifunza mkuu. Nimeshusha nondo zingine leo hii.
 
Kwa uelewa wangu mdogo chimbuko la mossad ni kikundi kilichofahamika kama "hagganah" kilichokua kikiingiza kinyemela wahamiaji wa kiisrael toka ulaya kuwarudisha nyumbani. Hapo ndipo mossad ilipozaliwa!
 
Yale yale tu mkuu.....
Mkuu salaam, upo? Kusema kweli kati ya watu nnaomisi michango yenu ni wewe. Nimefarijika sana kuona comment yako, natumai u mzima wa Afya. Mfikishie salam zangu za christmass mkuu Ishmael sjamuona jukwaani muda mrefu sana.
 
Kwa uelewa wangu mdogo chimbuko la mossad ni kikundi kilichofahamika kama "hagganah" kilichokua kikiingiza kinyemela wahamiaji wa kiisrael toka ulaya kuwarudisha nyumbani. Hapo ndipo mossad ilipozaliwa!
Mkuu, unawaweka wapi Jewish intelligence? - wao ndio waliohusika na urudishwaji wa wana Israel kwenye ardhi wanayoamini ni ya kwao, lakini zaidi kuwalinda hapo walipo dhidi ya tawala zinginezo ikiwemo mashirika makubwa ya kimataifa.
 
Swali langu moja tu, nataka nijue nani alimaliza vita au chuki kati ya jews na Germans...
 
Swali langu moja tu, nataka nijue nani alimaliza vita au chuki kati ya jews na Germans...
Labda ningependa kujibu swali lako kwa kuligawa nyanja mbili: ya juu na ya chini ama ya wazi na ya ndani.

Kwa nyanja wazi: Chuki ama vita baina ya mataifa haya mawili ilikomeshwa na wao wenyewe kwa makubaliano ya kuunda mahusiano muhimu (special relationship) miongoni mwao. Baada ya vita vya pili vya dunia na lile janga la kuuawa kwa Waisrael milioni sita, Ujerumani magharibi walijitolea kufidia mnamo mwaka 1952. Na miaka kumi na nne iliyokuja, yaani mwaka 1965, Israel na Ujerumani wakaanzisha mahusiano ya kidiplomasia. Hili lilikuja kusimishwa vizuri na uanzishaji wa balozi baina ya nchi hizi mbili; Israel huko Munich, na Ujerumani huko Tel Aviv.

Kwa nyanja ndani: si Ujerumani yote iliyoridhia kukaa meza moja na Israel. Ujerumani mashariki haikufanya makubaliano ya karatasi na Israel. Hata pale Ujerumani ilipokuja kuwa moja, bado ndani ya wajerumani kuna chuki. Wanaamini Israel ni wanafki na magaidi. Japokuwa Hili linakinzwa vikali na serikali yao kama ilivyo kwa mambo ya racism na xenophobia.

Bado kuna ukakasi unapoitaja Ujerumani kwenye masikio ya Muisrael, na kinyume vilevile ingawa wameshashirikiana kwenye mengi hata kupigana vita pamoja.
 
Ah naanza kuipata pata picha sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…