Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

Mossad: Nguzo imara nyuma ya ustawi wa taifa la ISRAEL dhidi ya hila za SYRIA.

hadithi ya kutunga hii sasa kama syria walikuwa wanatumia barua kuwasiliana ilikuwaje huyo mwanasayansi akawa na laptop......uongo mtupu
Uwezo wako wa kiakili no mdogo sana...you can't think beyond the next meal.......invincible ignorance
 
Wewe unataka ulazalie kwenye nchi za watu kama panya ili iweje?.Ka nchi kenyewe kadogo hata wao hakawatoshi.Sasa wewe na akili zako finyu za kiafrica za kuzaliana hovyo bila mpango wala future ukaijaze nchi ya watu ili iweje.Kama unataka kuzaa kama panya baki kwenu africa penye nafasi ya kuzaliana kama panya buku..Mnakimbia kwenu kwenda nchi za watu afu mnaenda kulialia kubaguliwa mara kupigwa sijui sindano za uzazi...Ujinga wenu wa kutojua ku control uzazi ndo unawasabalisha mlimwe sindano za uzazi nyambaafu..,Africa ni kuzuri sana na kuna fursa nyingi sana..Kma hutaki kubaguliwa baki afirica nyumbani...Ukipeleka pua yako israel,utabaguliwa tuu,the same applied to russia na nchi nyingine,hakuna sehemu salama kwa mwafrica kama africa..
Sasa wew mkeo alete mtoto chotara la kiarabu na wew na mkeo ni weusi tii ,, bado utataka tena akuongezee kukuletea chotara lingine la pili?
 
watu wanaongozwa na chuki na ukiacha chuki ukuongoze huwez ku amua kwa akili. hakuna kilichotungwa hapo these are facts. utasema na six day war imetungwa. hata kama unawachukia israel kubali kuwa ni intelligent na mataifa ya kiarabu yana gwaya na kuamua kuuana wenywe kwa wenyewe tu

hadithi ya kutunga hii sasa kama syria walikuwa wanatumia barua kuwasiliana ilikuwaje huyo mwanasayansi akawa na laptop......uongo mtupu
 
watu wanaongozwa na chuki na ukiacha chuki ukuongoze huwez ku amua kwa akili. hakuna kilichotungwa hapo these are facts. utasema na six day war imetungwa. hata kama unawachukia israel kubali kuwa ni intelligent na mataifa ya kiarabu yana gwaya na kuamua kuuana wenywe kwa wenyewe tu
Israel wangekuwa intelligent ADOLF Hitler asingewaua kama kuku...
 
Israel wangekuwa intelligent ADOLF Hitler asingewaua kama kuku...
kipindi kile israel ilikuwa haijapata uhuru mkuu. ni miaka ya 1948 ndo walijiweka tayari kama nchi tena baada ya kupotea karne nyingi. hitler angekuwepo leo hii akajaribu kufanya ule ujinga, angekaangwa kama chapati kulekule ujerumani na muisrael akiwa palepale tel aviv. ndio maana waarabu wametia adabu kilichobaki kwao ni kula na kutita tu, kumgusa muisrael hawasubutu.
 
Halafu Israel hawakuuziwa codes na Russia ili wasionekane kwenye radar za Syria bali walitumia SUTER ELECTRONIC WARFARE kuBlind Syria radars zisiweze ona F15 na F16.
Wachunguzi wanasema hivyo Sasa,kama utabisha sawa
 
Na hao wanasayansi hawakufia kwenye mlipuko wa train ile..ndio maana unaona miili yao iliwekwa kwwnye majeneza maalumu na hata wabebaji walivalia mavazi maalumu...hao wanasayansi walifia ndani ya jengo wakifanya utafiti wa nyuklia....hiyo train ililipuliwa ili iwe cover story ...
Your view,
According to them, walikufa kwenye explosion
 
kipindi kile israel ilikuwa haijapata uhuru mkuu. ni miaka ya 1948 ndo walijiweka tayari kama nchi tena baada ya kupotea karne nyingi. hitler angekuwepo leo hii akajaribu kufanya ule ujinga, angekaangwa kama chapati kulekule ujerumani na muisrael akiwa palepale tel aviv. ndio maana waarabu wametia adabu kilichobaki kwao ni kula na kutita tu, kumgusa muisrael hawasubutu.
israel mpaka leo haijapata uhuru...Israel hawana lolote wanaitegemea Marekani....Bila Marekani hao Israel hata Tanzania tunawadunda....Israel ni nchi masikini sana wanaishi kwa kutegemea misaada kutoka Marekani........Hitler aliwakaanga baada ya kuona ni wadhaifu sana
 
israel mpaka leo haijapata uhuru...Israel hawana lolote wanaitegemea Marekani....Bila Marekani hao Israel hata Tanzania tunawadunda....Israel ni nchi masikini sana wanaishi kwa kutegemea misaada kutoka Marekani........Hitler aliwakaanga baada ya kuona ni wadhaifu sana
Tafuta size ya kuwaambia hayo.
 
israel mpaka leo haijapata uhuru...Israel hawana lolote wanaitegemea Marekani....Bila Marekani hao Israel hata Tanzania tunawadunda....Israel ni nchi masikini sana wanaishi kwa kutegemea misaada kutoka Marekani........Hitler aliwakaanga baada ya kuona ni wadhaifu sana
israel hawajapata uhuru? wakati wanatambuliwa na umoja wa mataifa wakati huohuo wafilisti(wapalestina) hawatambuliwi na UN kama ni nchi bali ni authority tu. ukisema kuwa israel inamtegemea marekani ni kwamba tu hauelewi. Marekani kama unavyoiona kuna wayahudi milioni 10, hao ni wayahudi wengi kuliko wale wanaoishi israel (milioni nane 8). na wale wanaoishi marekani wengi walichagua fani nzuri, ni wamiliki wa viwanda, ni wanasiasa wakubwa, ndio matajiri wakubwa kupita wengi, na ndio wanaoshikilia uchumi wa marekani. wengi wapo chama cha republican (nadhani unaelewa impact yake trump akiingia madarakani). wana organisation wanachanga hela kila iitwapo leo kupeleka israel, kujenga majengo mapya ukanda wa magharibi na kufanya mambo ya msaada kwa wayahudi waishio israel. wengi walioko marekani, canada, agentina, ulaya etc huwa wanakuja kuserve katika jeshi la israel walau miezi sita hadi mwaka mmoja. hivyo hata hao milioni 10 waishio marekani huwa wanakuja kuserve kwenye jeshi la israel kwa mwaka mmoja. na wana dual citizenship, ni wamarekani na wakati huohuo ni waisrael. uchumi mkubwa duniani wamekamata wao, influence kubwa ya kisiasa wao, wakati mwingine utaona kama marekani wanafanya kitu kumbe ni wayahudi wanafanya kitu. hauwezi kuwakwepa, tulia tu hamna la kufanya.
 
israel hawajapata uhuru? wakati wanatambuliwa na umoja wa mataifa wakati huohuo wafilisti(wapalestina) hawatambuliwi na UN kama ni nchi bali ni authority tu. ukisema kuwa israel inamtegemea marekani ni kwamba tu hauelewi. Marekani kama unavyoiona kuna wayahudi milioni 10, hao ni wayahudi wengi kuliko wale wanaoishi israel (milioni nane 8). na wale wanaoishi marekani wengi walichagua fani nzuri, ni wamiliki wa viwanda, ni wanasiasa wakubwa, ndio matajiri wakubwa kupita wengi, na ndio wanaoshikilia uchumi wa marekani. wengi wapo chama cha republican (nadhani unaelewa impact yake trump akiingia madarakani). wana organisation wanachanga hela kila iitwapo leo kupeleka israel, kujenga majengo mapya ukanda wa magharibi na kufanya mambo ya msaada kwa wayahudi waishio israel. wengi walioko marekani, canada, agentina, ulaya etc huwa wanakuja kuserve katika jeshi la israel walau miezi sita hadi mwaka mmoja. hivyo hata hao milioni 10 waishio marekani huwa wanakuja kuserve kwenye jeshi la israel kwa mwaka mmoja. na wana dual citizenship, ni wamarekani na wakati huohuo ni waisrael. uchumi mkubwa duniani wamekamata wao, influence kubwa ya kisiasa wao, wakati mwingine utaona kama marekani wanafanya kitu kumbe ni wayahudi wanafanya kitu. hauwezi kuwakwepa, tulia tu hamna la kufanya.
sasa unabisha nini na umesema kweli israel inategemea misaada kutoka marekani..... Halafu acha uongo wako eti raia wa israel wameshika uchumi nitajie matajiri kumi tu wanaoongoza kwa utajiri raia wa israel.....wavumbuzi wote tunaowajua akina albet eistein, hakuna hata mmoja raia wa israel.......Israel imefanya ugunduzi gani zaidi ya kutumia vitu ilivyogunduliwa Wajerumani na ulaya huko?
 
Usisahau pia Mossad hata wewe watakutoa kizazi siku ukikanyaga Israeli, kama wanavyowafanyia watu weusi wote wenye asili ya Afrika waishio Israeli, na Waisraeli wanatuchukia sisi watu weusi zaidi kuliko binadamu yoyote yule, hivyo usijidaganye ukiona wanapigana na Waarabu ukafikiri wewe wanakupenda, ukiwauliza Waisraeli wachague kati ya Msyria na Muafrika kama mimi na wewe watachagua Msyria, na ndiyo maana hakuna Mwarabu aliyetolewa kizazi Israeli lkn Waafrika wote wamedungwa sindano na Mosad!
-Dah kwa kweli hapo umeongea hamna wa2 wenye racism kama waisrael halafu eti nchi teule .MUNGU HANA UPENDELEO HUO
 
Wa Ethiopia wenye asili ya ujudaism wanabaguliwa hatari huko Israel kuanzia mashuleni, pia huko Israel wanabaguana wenyewe kwa wenyewe hata wayahudi wa nje wakienda Israel full ubaguzi.
-vitu kama hivi bana tunatakiwa tujue hali ilivyo kiubaguzi ktk nchi za wenzetu sio kukazania tuuuu ujasusi
 
Hiyo yako ni Topic mpya hapa Complex alikuwa anajaribu kuonyesha UMAHILI wa Mossad ktk Kazi zao,,
Wew unaleta Udini wako kwenye huu UZI mtam .

Hatuongelei Ubaguzi hapa tunadadavua Umahili wa hawa watu Taifa la Mungu YEHOVA katka Kazi za mikono yao.
- HUU NDO UPUMBAVU WA SISI WABONGO UTABAKI NA WAZO LAKO HIVYO HIVYO TAIFA LA YEHOVA AFU SASA SAFIRI NENDA ISRAELI KAMA HAUTANYOFOLEWA KIZAZI UPUUUZI TU UNASHABIKIA WATU WAOVU KAMA WALE . UNGEJUA WANAVYOICHUKIA HII RANGI YETU NYEUSI USINGEONGEA TU ETI TAIFA LA MUNGU "REALLY?" AAA NDO SHIDA YA KISHIKIWA AKILI .
 
israel hawajapata uhuru? wakati wanatambuliwa na umoja wa mataifa wakati huohuo wafilisti(wapalestina) hawatambuliwi na UN kama ni nchi bali ni authority tu. ukisema kuwa israel inamtegemea marekani ni kwamba tu hauelewi. Marekani kama unavyoiona kuna wayahudi milioni 10, hao ni wayahudi wengi kuliko wale wanaoishi israel (milioni nane 8). na wale wanaoishi marekani wengi walichagua fani nzuri, ni wamiliki wa viwanda, ni wanasiasa wakubwa, ndio matajiri wakubwa kupita wengi, na ndio wanaoshikilia uchumi wa marekani. wengi wapo chama cha republican (nadhani unaelewa impact yake trump akiingia madarakani). wana organisation wanachanga hela kila iitwapo leo kupeleka israel, kujenga majengo mapya ukanda wa magharibi na kufanya mambo ya msaada kwa wayahudi waishio israel. wengi walioko marekani, canada, agentina, ulaya etc huwa wanakuja kuserve katika jeshi la israel walau miezi sita hadi mwaka mmoja. hivyo hata hao milioni 10 waishio marekani huwa wanakuja kuserve kwenye jeshi la israel kwa mwaka mmoja. na wana dual citizenship, ni wamarekani na wakati huohuo ni waisrael. uchumi mkubwa duniani wamekamata wao, influence kubwa ya kisiasa wao, wakati mwingine utaona kama marekani wanafanya kitu kumbe ni wayahudi wanafanya kitu. hauwezi kuwakwepa, tulia tu hamna la kufanya.
Mkuu unapoteza nguvu nyingi kumjibu mtu ambaye afya ya ubongo wake ina walakini.
 
israel hawajapata uhuru? wakati wanatambuliwa na umoja wa mataifa wakati huohuo wafilisti(wapalestina) hawatambuliwi na UN kama ni nchi bali ni authority tu. ukisema kuwa israel inamtegemea marekani ni kwamba tu hauelewi. Marekani kama unavyoiona kuna wayahudi milioni 10, hao ni wayahudi wengi kuliko wale wanaoishi israel (milioni nane 8). na wale wanaoishi marekani wengi walichagua fani nzuri, ni wamiliki wa viwanda, ni wanasiasa wakubwa, ndio matajiri wakubwa kupita wengi, na ndio wanaoshikilia uchumi wa marekani. wengi wapo chama cha republican (nadhani unaelewa impact yake trump akiingia madarakani). wana organisation wanachanga hela kila iitwapo leo kupeleka israel, kujenga majengo mapya ukanda wa magharibi na kufanya mambo ya msaada kwa wayahudi waishio israel. wengi walioko marekani, canada, agentina, ulaya etc huwa wanakuja kuserve katika jeshi la israel walau miezi sita hadi mwaka mmoja. hivyo hata hao milioni 10 waishio marekani huwa wanakuja kuserve kwenye jeshi la israel kwa mwaka mmoja. na wana dual citizenship, ni wamarekani na wakati huohuo ni waisrael. uchumi mkubwa duniani wamekamata wao, influence kubwa ya kisiasa wao, wakati mwingine utaona kama marekani wanafanya kitu kumbe ni wayahudi wanafanya kitu. hauwezi kuwakwepa, tulia tu hamna la kufanya.
Tanzania pia hutegemea misaada, je na yenyewe tuite haijapata uhuru.?
 
Back
Top Bottom