Most beautiful MPs 2015-2020

Most beautiful MPs 2015-2020

Wafuatao ni wabunge warembo zaidi katika lililokuwa bunge la 2015-2020 lililovunjwa mwezi huu June 16

1. Upendo Peneza

Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA akiwakilisha mkoa wa Geita

View attachment 1484495

2. Halima Bulembo

Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CCM.

View attachment 1484498

3. Bonnah Kalua

Huyu alikuwa mbunge wa jimbo la segerea kwa tiketi ya CCM.

View attachment 1484496

4. Ester Matiko

Huyu alikuwa mbunge wa Tarime mjini kwa tiketi ya CHADEMA.

View attachment 1484497

5. Catherine Ruge

Huyu ni mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA.

View attachment 1484499

Mimi kwa upande wangu nimeona hao tu, ruksa kuongezea katika orodha. Je, wewe kwa upande wako unaona ni mbunge gani mwingine alikuwa mrembo zaidi katika bunge la Ndugai la 2015-2020.
Na Dada yetu Vicky kamata uzuri ulishaisha ama hawa ni young beautiful MP's?
 
Hapo Upendo Peneza anawazidi wote.
Umemtendea haki kuwa No.1
Niliwahi kumuona kabla hajawa Mbunge ni Mzuri mno mno.. halafu ni wale wa Dada wasiopaka Mavitu usoni.. hata Wanja, lipstick hapaki.. yupo Natural sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Dahh!!

So inawezekana kweli mwenyekiti huenda kafaidi sana eehh!!!?

😋😎😋😎😋
 
Wafuatao ni wabunge warembo zaidi katika lililokuwa bunge la 2015-2020 lililovunjwa mwezi huu June 16

1. Upendo Peneza

Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA akiwakilisha mkoa wa Geita

View attachment 1484495

2. Halima Bulembo

Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CCM.

View attachment 1484498

3. Bonnah Kalua

Huyu alikuwa mbunge wa jimbo la segerea kwa tiketi ya CCM.

View attachment 1484496

4. Ester Matiko

Huyu alikuwa mbunge wa Tarime mjini kwa tiketi ya CHADEMA.

View attachment 1484497

5. Catherine Ruge

Huyu ni mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA.

View attachment 1484499

Mimi kwa upande wangu nimeona hao tu, ruksa kuongezea katika orodha. Je, wewe kwa upande wako unaona ni mbunge gani mwingine alikuwa mrembo zaidi katika bunge la Ndugai la 2015-2020.
Beauty is in the eye of the beholder. Wewe ukimuona Zuhura kuwa mzuri, mwingine atasema Rehema ndiye hasa. Zaidi ya hayo, uzuri wa mgombea ubunge siyo mojawapo ya sifa za kuukwaa ubunge. Tutakuwa tumepotea njia sana kama mwezi Oktoba tutawapigia wagombea kufuatana na uzuri wa sura zao. Huenda hao wazuri wakawa mambumbumbu kupindukia. Kwenye mashindano ya Miss World, n.k. ni sawa kuangalia uzuri wa unayemchagua. Mwaka 1985 Mwalimu alilikaripia sana suala hili alipopata fununu kuna watu wanaozungumzia uzuri wa mmoja wa wagombea Urais. Mwalimu akaishia kusema kama mnamuona mzuri mchukueni mkanywe naye chai. Hapa tunajadili mambo mazito ya kitaifa.
 
Back
Top Bottom