Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Kali Ongala ni nani?TID,shaban robert,kajala jitegemee,
Sepetu DIS
P funk IST
Kali IST
kalaban IST
[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe hata hajazaliwa
[emoji23][emoji23][emoji23]January napeleka mwanangu Atlass hapo ,akirudi uswazi anaonekana wakishua
Huyo kasoma kwa wajeda jitegemeeKajala huyu muigizaji au?
[emoji116]Kali Ongala ni nani?
mtoto wa Dr Remy Ongala
Darasa la kuogelea mkuu...hawa nao wapo shule gani!
View attachment 669062
Mkuu hebu weka kitabu na maswali manake najiulizaga wenzetu wanasomaga niniMkuu umekaririshwa.
Hivi umewahi kukaa na hao watu waliosoma hizo shule?
Nakuambia utaona maturity kubwa na reasoning kubwa sana inafanywa na mtoto wa miaka 16 aliemaliza form six hizo shule kuliko mtu mwenye bachelor degree au masters hasa hizi batch za JK era.
Mkuu ninachokuambia nakijua fika nimewahi kuwa karibu kikazi, kirafiki na ujirani na hao watu.
Sijasimuliwa nimejionea mwenyewe. Kama ukinibishia sana nitakupa angalau kitabu kimoja na sample ya maswali na nitakukutanisha na hao watu.
Hivi wewe ukiwa kidato cha nne unaweza hata kuandika portifolio yako kwa kiswahili achana na kiingereza?
Wewe ukiwa kidato cha nne unaweza kuandika hata program fupi ya computer ya basic arithematics?
Hizo fix za mtaala wa bongo mgumu hata sisi tulipigwa tangu enzi hizo.
Mimi nimefanya kazi na waalimu wa hizo shule na nimekuwa na subordinates kazini ambao wamesoma hizo shule. Pia nimefanya kazi kadhaa na wanafunzi wa hizo shule. Na nimekuwa na wabongo waliosoma mtaala wa kayumba hadi PHD nimeona tofauti kubwa mno kama ardhi na mawingu sio mbingu.
WEWE UMESIMULIWA MIMI NIMESHUHUDIA MUBASHARA.
Kwa kuongeza huwa wanafaya same exam na shule zote duniani zinazotumia IGCSE wanakuwa ranked kinchi,kiafrica na kiduniaHapo nimekupata mkuu
Sasa mkuu huo ugumu wa maisha ataupatia wapi?Somehow lakini wengi wao huwa wanakuwa ma-lazzy linapokuja suala zima la kukabiliana na changamoto ktk fields za maisha.
Wengi wanategemea kurithiHuyu mwanafunzi atakuja kufanya kazi gani ili arejeshe ada aliyosomea? Au kwenye kusomesha hatuangalii faida ya kipesa kulinganisha na mtaji tuliowekeza?
Nadhani kama asipopata kazi UN basi atajitahidi awe fisadi hata kwa msisitizo wa waliomsomesha ili aibe afidie ada aliyosomea.
Elimu nzuri zipo tena kwa gharama affordable.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hizo ada mbona za kawaida sana ukiconvert kwa Dollar,Comments nyingi humu zinaonesha jinsi Poverty Mentality ilivyowajaa wabongo wengi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Alafu sasa watoto waliosoma hizi shule hata wasipofika mbali na kuwa wahuni..uhuni wao sio ule wa Kantalamba au Songea Boys!
Kuna rafiki yangu yeye alisoma DIS,chuo kikuu akaenda Cardiff ada zaidi ya dola elf 30 kwa mwakaHuyu mwanafunzi atakuja kufanya kazi gani ili arejeshe ada aliyosomea? Au kwenye kusomesha hatuangalii faida ya kipesa kulinganisha na mtaji tuliowekeza?
Nadhani kama asipopata kazi UN basi atajitahidi awe fisadi hata kwa msisitizo wa waliomsomesha ili aibe afidie ada aliyosomea.
Elimu nzuri zipo tena kwa gharama affordable.
HAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAfuu akitoka hapo analipwa mshahara laki 4 kwa mwezii... haa ha ha..!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtaala mgumu au mMbovu? Tatizo wabongo tunapenda kujifariji kwa vitu vya kijinga...
Asante kwa takwimu zako zimesaidia sana hoja yangu kuelewekaKuna rafiki yangu yeye alisoma DIS,chuo kikuu akaenda Cardiff ada zaidi ya dola elf 30 kwa mwaka
sasa ivi anapokea 3.5M Kampuni moja ya Telecom apa bongo
Haijalishi kuwa na fani nzuri,Hao mwisho wa siku ndo wanakuwa wakuu wa vitengo katika makampuni ya baba zaoKuna wengine hadi chuo tumemaliza hatujafikia gharama za anayesoma chekechea hyo shule ya kwanza.
Mwisho wa siku tumekuwa na fani zetu nzuri tuu