Feza bado ni kayumba tu kwa hizoMmmm Feza haimo top 10!!!!
Uko mlikuaga mnasoma acceleration na pendulum Bob ..?Mimi ni miongoni mwa wanafunzi waliosoma ST,CONSTANTINE (Arusha)
Wakti huo ilikua haijajengwa secondry school
Nilimaliza la 7 nikaendelea ISM international school moshi
Hadi form3 wakani promot GRENJ SECONDRY SHOOL jijini Nairobi
Kwa mwenye swali kuhusiana na shule hizi aniulize nitamjibu tu
Kweli kabisa huwa wanauelewa mpana sana na wengi huwa watalaam wanaobobea kwenye mambo makubwa makubwaIla hzo shule watoto wake wanaosoma wanakuaga ma genius,..achana na u genius wa kukariri huu wa saint kayumba,..hawa madogo mfano wa hyo IST,..wanakuaga wanajua mambo meng sana,hata umchukue mtoto wa primary ukae uongee nae maswala yenye mantik,atakustaajabisha,so ukute sasa ana akili za kuzaliwa ndo utakubal..
Ni sawa na kusema mbona Man U haijawahi kuchukua kombe la Vodacom Premier League ?Mbona hatuwaoni kwenye top 10
Kupika na kufua ni basic life skills...haswa akiwa mtt wa kikeMkuu, mtoto aliyesoma IST unataka afikirie kufua?,sijui kupika?.Hayo ni mawazo ya uku uswahilini.
Because they are for us! Not for you!! So is the regions!!Most of these schools are situated in Dar and Arusha. What is the implication on these two regions? ISM have a campus in Arusha.
Tunazungumzia shule na siyo hifadhi ya wanyama,serengeti national park siyo shule mkuu!Savanah high school haimo..?
Hii ina hadi wanyama pori humo (hifadhi)
Ipo shinyanga
So what?Dah umenikumbusha yule manzi wangu mtoto kutoka Cameroon Reggina Sinsai alikua anasoma Braeburn -Kisongo, Arusha..
Tunazungumzia shule na siyo hifadhi ya wanyama,serengeti national park siyo shule mkuu!
Umenena vyema. Wengi wanaogopa hizi shule kwamba watoto watakuwa na malezi Mabaya. sasa kitu cha kujiuliza hivi jukumu la malezi ni la nani?Mleee mtoto katika njia impasayo naye hatooacha hata atakapo kuwa Mzee. Ukikimbia jukumu la kumlea mwanao, shetani atakusaidia kumlea. Mfundishe mwanao kuisikia sauti ya Mungu Na kuitii.
Mfundishe mtoto kuwa Na adabu usimfundishe nidhamu ya woga
Hii ni primary au? Kwa kweli Feza kwa curriculum yetu ni matawi mengine. Mzazi anayejua umuhimu wa exposure atampeleka.Nimelipa mwezi wa 9 USD 1000 admission, 800 chakula na 1900 fees shule nampeleka mwenyewe hapo Salasala. Kila semester ni 1900
arusha hewa ipo vizuri pia watu wenye pesa wapoNaona Shule nyingi za Kimataifa Zipo Arusha..
Arusha ni level ya Kimataifa..
ok napenda lugha ya kiingereza akiongea kalabani na p funkyTID,shaban robert,kajala jitegemee,
Sepetu DIS
P funk IST
Kali IST
kalaban IST
Muulize mrs shah kama yupo hai, nimetoka arusha meru mkuu!! Tena from pre_kindergarten! So proud!!Wewe umesoma shule gani?