Umasikini ni mbaya sana
Maana kila kitu unaona ni gharama,
Mtoto anayesoma Feza International
Akifika anapewa vitabu vyote, madaftari kila yakiisha, kalamu anapewa, nguo anafuliwa
Shuka anapewa
Darasani wanasoma wachache sana na kila somo unahama darasa na kwenda darasa la somo husika
Wana ECA ya arts, music, cooking (girls only) IT
Mwalimu anapewa wanafunzi wake anawafatilia, mwalimu anatembelea nyumbani kwa mtoto kuongea na wazazi
Kuna mengi sana hufanywa na hizi international School na ndio maana watu wanalipa 10000+ dollars ili mwanae awe pale
Lazima tukubali kua Kuna shule zinaandaa rulers na zingine the ruled