Most expensive schools in Tanzania

Most expensive schools in Tanzania

Umasikini ni mbaya sana
Maana kila kitu unaona ni gharama,

Mtoto anayesoma Feza International
Akifika anapewa vitabu vyote, madaftari kila yakiisha, kalamu anapewa, nguo anafuliwa
Shuka anapewa
Darasani wanasoma wachache sana na kila somo unahama darasa na kwenda darasa la somo husika
Wana ECA ya arts, music, cooking (girls only) IT
Mwalimu anapewa wanafunzi wake anawafatilia, mwalimu anatembelea nyumbani kwa mtoto kuongea na wazazi

Kuna mengi sana hufanywa na hizi international School na ndio maana watu wanalipa 10000+ dollars ili mwanae awe pale

Lazima tukubali kua Kuna shule zinaandaa rulers na zingine the ruled
Umenena vyema. Akili za kimaskini Siku zote ni fupi sana. Hatufikirii strategically, tunawaza leo leo tu.
 
Afuu akitoka hapo analipwa mshahara laki 4 kwa mwezii... haa ha ha..!!
Thubutuuuuu. Mkuu hadi hapo wanaosoma hizo shule sio watoto wa kajamba nani. Hao tayari washaandaliwa maisha wanasoma wanamaliza position zao wanazikuta. Hakuna anayeenda kufundisha tandahimba hapo
 
hivi hatuwezi kuweka hio Cambridge curriculum kwenye hizo shule za kawaida??? msione wazazi wako tayari kulipa hela nyingi ni sababu wanataka watoto wao wapate elimu yenye kiwango cha kimataifa,to close the gap waziri wa elimu angeintroduce hii kitu kwa shule za kawaida,then fees itashuka na kuwa fair kwa wote(wanaopeleka private na wanaosoma kwenye shule za kawaida.
wazo zuri shida waalimu na vitendea kazi havipo
 
Nahitaji kutafiti kubaini ni mawaziri na manaibu wangapi watoto wao Wanasoma kupitia elimu bure Ni wabunge wangapi watoto wao wananufaika kupitia elimu bure Ni makatibu wangapi wa utumishi wa umma watoto wao wanasoma kupitia elimu bure Hebu tufanye utafiti wa hili
 
Nahitaji kutafiti kubaini ni mawaziri na manaibu wangapi watoto wao Wanasoma kupitia elimu bure Ni wabunge wangapi watoto wao wananufaika kupitia elimu bure Ni makatibu wangapi wa utumishi wa umma watoto wao wanasoma kupitia elimu bure Hebu tufanye utafiti wa hili
Hakuna kitu kama hicho, jana nimepeleka wadogo zangu form one elimu bure Mzazi unaambiwa kwenda na ndoo ya lita kumi kwaajili ya kukalia hakuna viti, walimu wa sayansi pia hakuna....
 
Ila hzo shule watoto wake wanaosoma wanakuaga ma genius,..achana na u genius wa kukariri huu wa saint kayumba,..hawa madogo mfano wa hyo IST,..wanakuaga wanajua mambo meng sana,hata umchukue mtoto wa primary ukae uongee nae maswala yenye mantik,atakustaajabisha,so ukute sasa ana akili za kuzaliwa ndo utakubal..
Umeongea mkuu unastahili kutunukiwa!!
 
Primary School. Lakini mtoto anataka akiwa safi upstairs ,
Kwa kweli nakubaliana na wewe. Dunia imebadilika, tunapoelekea huko mbele, vyeti havitaangaliwa tena bali exposure ya mtu, communication skills, confidence, nk. Yaani wanasema 'soft skills' maana kila mtu cheti anacho.
 
Most of these schools are situated in Dar and Arusha. What is the implication on these two regions? ISM have a campus in Arusha.
Ni makazi ya wenye hela. Mabarozi nawafangakazi wa kimataifa. Mtanzania wa kawaida hawezi
 
Tatizo sizai tena na wakati nikizaa shule hizi sikuzisikia. Dah! Wakati ungerudishwa nyuma mbona hapo ndo pa kuwapeleka wanangu 14 Mola alonijalia na wote wamemaliza chuo kikuu
 
Back
Top Bottom