Most expensive schools in Tanzania

Most expensive schools in Tanzania

Kwa jicho la kawaida unaweza ukaona ni jambo la kawaida na kujikweza lakini kuna ubaguzi mkubwa sana wa kielimu

Wazungu ni watu wabaya sana

Tunaweza tukalaumu mitaala yetu na watunga sera na wao hawana choice bali kuzungukia humo humo kwenye kapu la syllabus walizopangiwa na mabwana wakubwa........

Wazungu mipango yao kuitawala dunia sio kiuchumi pekee bali kwenye nyanja zote......
 
Milioni 9 ×12=Milioni 108,Le boss akitoa ada ya mtoto mmoja ambayo ni million 65 atabakiwa na Milioni 43,assume ana watoto wawili,hapo ndo double standard itachukua mkondo wake na mwisho kuukubali ukweli kwamba IKULU sio top kwa kila kitu. Pesa inatafutwa kuna wahuni hawalali ase,hasa huyu chalii Bakhresa,Dangote,Manji kwa uchache nikiwataja.
 
Back
Top Bottom