weka cost kama alivyofanya aliyeleta uziGo back and do research the second expensive school in Tanzania is Isamiro international School situated in Mwanza.
dreams are valid ila usipojiongeza kweli ataenda kayumbaHzo ndo shule nazo taka kumpleka mwanangu akizaliwa,
Mkuu..nchi za kiafrika tunashida sana yani tunatawaliwa kila eneo,hivi unaanzaje kuruhusu shule ambazo zipo nchini mwako kutumia mitaala ya nchi zingine.
Bei io ya IST ilikua miaka miwili iliopita, Sasa hivi High School ni 100 Million kwa mwakaYaan kuna watu wanasoma mwaka mmoja pesa sawaa na yangu kutoka darasa1 hadi chuo kikuu. Kwel No haki hapa nmejikuta naanza kukumbuka viada vyote nlivyosea tena nmeweka maximum ya juu na gharama zote nahc ndo naharibia hahaha 65M Labda mwanangu tena
True story...Kina mo dewji na kina manj ndo wamesoma hyo IST,...sasa angalia vichwa vyao,..hiv ushawai msikia dewj au manji wakiongea kuhusu ulimwengu wa biashara,ndo utajua hawa jamaa ni ma genius hata kama walirith mali,ku run bi empires kama zile inabid uwe genius asee,hawa jamaa wanaongeaga point had unajiuliza,hawa jamaa hii elim wametoa wap
Ha ha haakwa mwaka mkuu!yaani vyuma huwa havikazibkotekote kuna watu wana ukwasi toto kamasi unalishape akili kwa 60m kwa mwaka halafu lirudi na kimimba nachoma shule
Ha ha haaDaaah ngoja ni hustle namimi mwanang nimpeleke akafute tongotongo japo mhula mmoja halafu anarudi kumalizia mzimuni primary school
Wote ni vichwa lakini mazingira tofauti ya ufaulu,IQ inapimwa na mambo mengi mwanafunzi mwenye uwezo afifu akipelekwa Feza ataweza faulu wenzake watamburuza.Dhana ya ufaulu ukiachia mazingira ya kujifunzia Gene za Wazazi zinamchango mkubwa kwa akili ya mtoto na future ya mtotomkuu unajua kweli maana ya mtu genius?. Kati ya mtoto anayesoma FEZA mfano na anayesoma Mirare secondary school shule ya kata yenye waalimu 5 bila maabara wote wakipata dv one NECTA. Wa FEZA akiwa na 1.7 halafu wa mirare akawa na 1.9 hapo nani ni genius?. assume no leakage of examination
Sasa ndugu mtaala wa Cambridge wa uingereza unataka tena TO wa NECTA aingieje huko?Ma TO Huwa Wanatoka Uko Au Ada Kubwa Bure Tu
Unachekesha wewe jamaa,,,,rostam ,Mohammed dewji,bakhressa sons,manji,,,na wengine kibao ni alumnus wa huko,,tabia ni ya MTU,,hiyo fees ni gharama ya spaghetti, swimming pool,sausage na wengi wanajifunzia kulamba unga huko,Anamaliza shule hata kufua nguo hajui na ukipata bahati mbaya ukao aliyepitia huko watoto watakuwa wanakula chips kila siku tena za kununua magengeni.kupika na kufua sifuri ila English poa
[emoji23]Mkuu,atlas iko ubungo,ada haizidi milioni,naona umeshtuka kijana wa ccm
[emoji23] [emoji23]Hakuna jombaa, shule siyo mahindi kila mahali unaweza kuotesha.