Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh!Aiseee!!
Huku watoto hawachapwi bakora..... Kissing, touching, sex in the bathrooms ni kitu cha kawaida. Mwanangu simpereki Ng'oooooooo.
Tena hiyo ni ada tu bado vikolombwezo vingine hapoKwa mwaka mkuu. Yaani unalipa 65m per year.
Oh Kumbe PoaSasa ndugu mtaala wa Cambridge wa uingereza unataka tena TO wa NECTA aingieje huko?
Utakuwa unasubiri Meli Ubungo standi ya Bus
Gambushiiii....Wanaishiaa wapi lakini ?
Acha ukorofi mkuu..kuwa kama mimi huna ahela ya nyama basi kula dagaaMost of them International.. Schools
Watasoma wao na mi fees yao
Mtaala ni tofauti mkuu...wengi wanatumia cambridgeHakunaga TO..kwa shule kama hizo..hahahaaa mungu ana maajabu yake
We jamaa unatemaga sana sense....bravoKwa jicho la kawaida unaweza ukaona ni jambo la kawaida na kujikweza lakini kuna ubaguzi mkubwa sana wa kielimu
Wazungu ni watu wabaya sana
Tunaweza tukalaumu mitaala yetu na watunga sera na wao hawana choice bali kuzungukia humo humo kwenye kapu la syllabus walizopangiwa na mabwana wakubwa........
Wazungu mipango yao kuitawala dunia sio kiuchumi pekee bali kwenye nyanja zote......
My kaka unanicheka eeh?Teh teh teh!
Masikini wanaongopeana sana na kufarajiana.hiyo fees ni gharama ya spaghetti, swimming pool,sausage na wengi wanajifunzia kulamba unga huko,Anamaliza shule hata kufua nguo hajui na ukipata bahati mbaya ukao aliyepitia huko watoto watakuwa wanakula chips kila siku tena za kununua magengeni.kupika na kufua sifuri ila English poa
Huo mtaala wa cmbridge ukiletwa kwa santa kayumba vp elm itapanda au itashuka nchini?Mtaala ni tofauti mkuu...wengi wanatumia cambridge
Huo mtaala wa cmbridge ukiletwa kwa santa kayumba vp elm itapanda au itashuka nchini?Mtaala ni tofauti mkuu...wengi wanatumia cambridge