Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bwana, mimi nafurahi ulivyosema hapo.My kaka unanicheka eeh?
Huo mtaala wa cmbridge ukiletwa kwa santa kayumba vp elm itapanda au itashuka nchini?
Huna pesa..Huku watoto hawachapwi bakora..... Kissing, touching, sex in the bathrooms ni kitu cha kawaida. Mwanangu simpereki Ng'oooooooo.
The world isnt fair kabisa yaani!!Hapana bwana, mimi nafurahi ulivyosema hapo.
Hawa bwana wanakuwa na points zao tofauti kidogo na hizi za kwetu.( Division)Matokeo yao huwa yanakuwaje?
Sasa mimi nianzie hapo kwenye mitaala mana sijaelewa tofauti ya hiyo mitaala miwili inayotajwaMtaala ni tofauti mkuu...wengi wanatumia cambridge
Hawafanyi hiyo mitihani yenu.. Product za huko hamzifikii hata nusuHakunaga TO..kwa shule kama hizo..hahahaaa mungu ana maajabu yake
But nahis itakua changamoto,unajua cambrige curiculum hua wanasoma o level kwa miaka miwili badala ya minne but mtaala wetu bongo miaka minne na bado syllabus haiishi..so mm nahis elim itashuka zaid tubak na mtaala wetu tuitapanda,sababu waliosoma huo mtaala watakuwa wako level moja na wa kimataifa,mawazo yangu tu
Unamuangaliaga Dr. Gwemaka Kifukwe yule wa Uongozi Institute? Product ya IST, ukimuangalia tu utajua akili na exposure yake ni next levelMasikini wanaongopeana sana na kufarajiana.
Mkuu umewahi kusoma hizi shule au kuwafahamu kwa ukaribu kama ndugu watu waliosoma hizi shule?
Mfano ni kama MO Dewji, au yule dogo aliesoma HOPAC kaenda Stanford kisha Harvad. Alie chukua zawadi kwenye shindano la kimataifa la kongamano la wachumi ambae kampuni kubwa USA zinamtaka.
Huu uzi usikunyime raha buanaa....The world isnt fair kabisa yaani!!
Mkuu ulitaka mtoto wa mgeni au diplomat asome mtaala wetu huu local?nchi za kiafrika tunashida sana yani tunatawaliwa kila eneo,hivi unaanzaje kuruhusu shule ambazo zipo nchini mwako kutumia mitaala ya nchi zingine.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huu uzi usikunyime raha buanaa....
Upumbavu kwasababu hukusoma huko au ??upumbavu tuu
Bruv wassuuuup..Upumbavu kwasababu hukusoma huko au ??
Pole sana mkuu wangu......
Teh teh teh teh.....
Mkuu kiufupi watu wanaongea wasiyoyajua.Unamuangaliaga Dr. Gwemaka Kifukwe yule wa Uongozi Institute? Product ya IST, ukimuangalia tu utajua akili na exposure yake ni next level
Bruv its well and good,Bruv wassuuuup..
Hapana buana siyo kila aliyesoma huko ni mtoto wa fisadi.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mafisadi ndio wananinyima raha.
But nahis itakua changamoto,unajua cambrige curiculum hua wanasoma o level kwa miaka miwili badala ya minne but mtaala wetu bongo miaka minne na bado syllabus haiishi..so mm nahis elim itashuka zaid tubak na mtaala wetu tu